Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Mkuu kiukweli Lissu is NOT intelligent, ni mtu mwenye tabia ya kujifanya ana akili.Lissu nilikua namthamini kama msomi makini, tangu alipoanza kumsema Nyerere bunge la katiba nikagundua kuna nati hazipo sawa, lakini ni kawaida ya watu wenye uwezo mkubwa kidarasa kufeli kwenye maisha ya kijamii
Na sijui kama Lissu alikuwa amezaliwa 1961.
Na hao wasomi '61 na wapiga kura kidemokrasia 1961-1971 sijui kama huko Ikungi walikuwepo.
Ni wajinga tu hawajui kuwa kina Lissu wamesoma baada ya shule nyingi za Mission kutaifishwa na hata shule za sekondari kusoma bure.
Leo mtu anatukana mamba baada ya kuvuka mto.
Lissu angekuwa ana lima vitunguu Singida leo.
Lissu Ni boya sana kwa mkewe. Hata kubaki Ulaya ni pressure ya mkeI've always thought there is some psychological problem with this guy.
Kwanza anaongea na authority ambayo hana, only kutawaliwa na mke.
Hata wewe unatawaliwa na mkeo, no wonder limekukeraThat is non of your concern. Tunaongelea issues za mamlaka makubwa ya rais yalitoka wapi...the source of the history of imperial presidency in Tanzania. Kuwa na akili basi kidogo
Hivi kwani ni lipi Mwalimu alificha?Technically Mwalimu alipewa Uhuru kwenye sahani, Tanganyika ilikuwa inaelekea kupewa uhuru kabla hata struggle za Mwalimu na wenzake hazijaanza, go educate yourself something called TANGANYIKA UNDER THE TRUSTEESHIP COUNCIL utaelewa vizuri, British hawakuwa na interest ya kuendelea kuwa Tanzania walikuwa wanataka tuu mtu wa kumwamini kumwachia nchi
Kwani uliishi enzi za Mwalimu peke yako?Sisi tulioishi Na Mfalme Na huyu Laanatullahi Nyerere tunajua Lissu anaongea Mimi . Nyerere alikuwa zaidi ya diktator , tukimwita Haambiliki. Akijifanya ni mungu Mtu
Kwani uliishi enzi za Mwalimu peke yako?
Nasi tulikuwepo, tumesoma bure hadi Ulaya chini yake, tumefanya kazi chini yake.
Kama hukuushirikisha ubongo wako wakati ule, huwezi kumlaumu Mwalimu.
Hivi kwani ni lipi Mwalimu alificha?
Mbona ni yeye mwenyewe alikuwa anatamka hivyo, na hata mikutano yake alikuwa anawaambia Wananchi kuwa "Waingereza wamepewa tu dhamana ya kutuandaa kujitawala..ila hawa waliopo hawasemi ukweli" Mwalimu mwenyewe alikuwa anatamka hivi.
lakini je ilikuwa tubaki tu tumekunja mikono kusubiri hisani ya Waingereza wakijisikia ndio tuwe huru? na ilikuwa inajulikana ni lini? na kwani hii ni nchi yao mpaka watupangie wao kwamba tupo tayari ama la? kwa hiyo kwa akili yako hizo harakati zilikuwa smooth tu kwa kuwa Waingereza walikuwa tayari kutoa uhuru?...kama ambavyo hawakuwa na haki ya kuja tangu mwanzo basi hawakuwa na sababu ya kuwepo hata siku hiyo Watanganyika walipotaka uhuru wao.
Na ukumbuke Mwalimu aliingia kuongoza harakati ambazo zilikuwa tayari zipo, sasa kama wewe na kizazi chako ndio mna akili ya kukaa na kusubiri hisani ya Bwana wenzako hawakuwa hivyo...walitaka uhuru wao hapo hapo.
Hili jukwaa mmejaa wazushi sioni hata kuna Mtu wa maana anajadili kwa kutenda haki...wengi mnatanguliza majungu kwa manufaa yenu mnayoyajua mkiongozwa na huyo Lisu wenu...hopeless kabisa.
Mwalimu kama binaadamu na sio Malaika lakini tunayomlaumu nayo tujiridhishe kwanza badala ya kuokoteza tu taarifa na kujifanya Wajuaji ili hali huna hata robo la maana la kufikia uwezo na kipaji alichokuwa nacho Mwalimu.
Hoja ya kipuuzi sana.Akazipeleka wapi??? km hata nyumba yake tu ya kuishi alijengewa kwa msaada wa jeshi!!...achene majungu!! By the way kwa nini mtu achukue Mali yako unamuangalia tu si upigane mpaka tone la mwisho la damu??
Mbona kreluu alipigana mpaka akaua! na akanyongwa live ! sasa kwa upande wako km mtu alizurumiwa na akatula basi aliridhika kuwa na yeye alidhurumu, hakustahili kumiliki Mali hiyo!
hata wewe kwanini hukusema wakt yupo?? wanachi wake waliomtuma kuwaongoza wamzodoe !! sasa nakwambia sema hapa hapa alimzurumu nani?? mie nimudishie mara saba make hela tuu ninazo!
Mkuu ungejibu hoja za Lissu badala ya kushambulia nyumba yake ya Tegeta🤣Lissu ni jirani yangu huku TEGETA. Msimchukulie serious kwa kuwa hana hata nguvu ya kum command mkewe. Mkewe ndiyo sauti ya Nyumba. Miaka michache iliyopita mkewe alimfukuza mama mzazi wa Tundu Lissu aliyekuwa amekuja kutoka Ikungi kujiuguza.
Thereafter Mama alihamia kwa Binti yake mwingine hadi umauti ulipompata. Hawa watu wanachoweza ni kuchonga midomo tu. Kama huwezi kutawala Nyumba yako utawezaje kutawala umma mkubwa wa Tanzania
Bila wazungu wenyewe kukubalina kuachia Afrika na makoloni mengine hata leo wangekuwepo hakuna cha Nyerere wala Nkuruma wangethubutu. Ukweli usemweTechnically Mwalimu alipewa Uhuru kwenye sahani, Tanganyika ilikuwa inaelekea kupewa uhuru kabla hata struggle za Mwalimu na wenzake hazijaanza, go educate yourself something called TANGANYIKA UNDER THE TRUSTEESHIP COUNCIL utaelewa vizuri, British hawakuwa na interest ya kuendelea kuwa Tanzania walikuwa wanataka tuu mtu wa kumwamini kumwachia nchi
Hili ni la kupongezwa kqa Hayati Nyerere. Kipindi chake pia kilikuwa kigumu sana. Mapinduzi afrjka kila kona🤣But angalau yeye hakuwa mlafi na alikuwa na maono makubwa
Napenda Jinsi Lissu alivyo fair na muwazi.Ukitaka kumsikia Lissu akimsema kwa uzuri Mwalimu Nyerere tafuta anapozungumzia maadili ya uongozi.
..Lissu ametamka mara nyingi bila taswiswi kwamba Mwalimu Nyerere alikuwa msafi, hakutumia ofisi kujilimbikizia mali, na alistaafu Uraisi bila pensheni.
Lissu ni jirani yangu huku TEGETA. Msimchukulie serious kwa kuwa hana hata nguvu ya kum command mkewe. Mkewe ndiyo sauti ya Nyumba. Miaka michache iliyopita mkewe alimfukuza mama mzazi wa Tundu Lissu aliyekuwa amekuja kutoka Ikungi kujiuguza.
Thereafter Mama alihamia kwa Binti yake mwingine hadi umauti ulipompata. Hawa watu wanachoweza ni kuchonga midomo tu. Kama huwezi kutawala Nyumba yako utawezaje kutawala umma mkubwa wa Tanzania
Kwani Mkuu wewe uko wapi unasema unakuja kukamata Usukani? Kumbuka Rais Samia yupo yupo sana hadi 2035Peleka huko vijijini wakaliwe na chatu! ...naam! hapo Mwafrica kiroho kwatuuu!!…...nyie subirini tu nakuja kamata usukani nasema wabongo km nyie mbona mtakoma Mwana shikilia sana hii avatar!
Unajuaje? wewe , may be na familia yako umezoea kuwaonea wanawake. Huyu ni msomi, anajua issues za gender balance.Lissu Ni boya sana kwa mkewe. Hata kubaki Ulaya ni pressure ya mke
Huna budi kumwelewa mtu kiundani ili kupima kauli zake.Mkuu ungejibu hoja za Lissu badala ya kushambulia nyumba yake ya Tegeta🤣
Una tatizo na hilo?Kama ni kusoma mpaka Leo watu wanasoma kwa scolarships Za Bure. Wewe utakuwa ni mtoto wa kibaraka wa Nyerere. Na mlipatiwa nyumba ya watu ya kukwapuliwa Na shamba la kuchukuliwa kwa nguvu.
Acha kushiriki kusambaza ujinga! Lissu hana hata chembe ya akili ya kumzungumza Mwalimu Nyerere kirahisi. # Basi si mumheshimu Mwalimu kwa kujenga taifa moja la Tanzania!🙏🙏🙏
Ndio hujagusia hoja yake hata chembe?Huna budi kumwelewa mtu kiundani ili kupima kauli zake.