Ufafanuzi wa Tundu Lissu juu ya Mamlaka makubwa ya Kikatiba aliyonayo Rais wa Tanzania yalitoka wapi. Nyerere hakuwa kama tunavyohubiriwa!

Ufafanuzi wa Tundu Lissu juu ya Mamlaka makubwa ya Kikatiba aliyonayo Rais wa Tanzania yalitoka wapi. Nyerere hakuwa kama tunavyohubiriwa!

Soma historia hii



Maweee magabachori wanafiki wale, waongo, wezi wakubwa ndumila kuwili, hata ufanyeje, jipendekeze tu lkn hawatakupenda forever nyani mweusi,

AGAKHAN aende wapi na hapo bongo aligema na gema na atagema Hosp zake zilikuwepo na bado zipo mpaka kesho!...labda km huzijui!..usiamini kila kinachoandikwa na yeyote!!

yaani unamjua adui yako kweli wewe??
 
Maweeeee!! mniachie mie….mbavu zangu mieeee!!! 😁😁😁😁😁😁😆😆😆😆😆😆😆😆😆 Shamba alitoe wapi huyo kilaza wa karne??? amini maneno yangu wala usihangaike!

Hao ndo wajukuu wa walevi km mleta mada ambao walikuwa wanakwepa kwenda kushiriki kwenye Mashamba ya vijiji vya ujamaa, na vyama vya Ushirika!!.. walichangiwa na wana vijiji tu, ili wasome S/Msingi bure!!

si unajua Nyerere alikuwa smart sana Elimu ilikuwa lazima?? tena alikuwa anasema kabisaa ''JIFUNZE KUSOMA WAKATI NI HUU!! ...Sasa leo yame wakuta watasemaje kwani?? ebu weka kidogo ile picha tukumbushane!

Dada pichuko elimiu ndiyo hii ya kutembeza bakuli Na kuwekeana tuzo hata ya kwenda kunya?
Na nyote kukimbilia kugombea ubunge Na udiwani hata kwa kutoa roho ya mtu kwa njaa?
 
Maweee magabachori wanafiki wale, waongo, wezi wakubwa ndumila kuwili, hata ufanyeje, jipendekeze tu lkn hawatakupenda forever nyani mweusi,

AGAKHAN aende wapi na hapo bongo aligema na gema na atagema Hosp zake zilikuwepo na bado zipo mpaka kesho!...labda km huzijui!..usiamini kila kinachoandikwa na yeyote!!

yaani unamjua adui yako kweli wewe??

Nyerere alishapinduliwa , waliomrudisha madarakani ni Wakoloni Waingereza kwa masharti ya kuivamia Zanzibar .
Na aliivamia Zanzibar Na kuuwa watu kwa maelfu
 
Nyerere alishapinduliwa , waliomrudisha madarakani ni Wakoloni Waingereza kwa masharti ya kuivamia Zanzibar .
Na aliivamia Zanzibar Na kuuwa watu kwa maelfu

Huwa unavuta misokoto mingapi ya bangi kwa saa moja? Bwege sana wewe!
 
Dada pichuko elimiu ndiyo hii ya kutembeza bakuli Na kuwekeana tuzo hata ya kwenda kunya?
Na nyote kukimbilia kugombea ubunge Na udiwani hata kwa kutoa roho ya mtu kwa njaa?
Hiyo hiyo!! ndo yenyewe chetu chetu bana kwani nani atatuuliza???...hata ukienda kusoma elimu km ile ya
 
Maweee magabachori wanafiki wale, waongo, wezi wakubwa ndumila kuwili, hata ufanyeje, jipendekeze tu lkn hawatakupenda forever nyani mweusi,

AGAKHAN aende wapi na hapo bongo aligema na gema na atagema Hosp zake zilikuwepo na bado zipo mpaka kesho!...labda km huzijui!..usiamini kila kinachoandikwa na yeyote!!

yaani unamjua adui yako kweli wewe??

Naona lugha imekupiga chenga hujaelewa kilichoandikwa, walioondoka ni Wasmaili wake siyo yeye Agha Khan. Kumbuka pia Agha Khan alikuwa na shule nyingi tu ambazo Nyerere alizitaifisha. Mfano ni Lugalo Secondary School

 
Back
Top Bottom