Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeeeh Kwa hiyo hupajui,Wala huna connection,unalijua jina tu, sasa Nini kimekuvutia huko Kisopwa?Nipe connection mkuu
Hata mimi napafahamu hukoNaifahamu Kisopwa ya kuingilia pale Luguruni, then unapita Kwembe, unapita nyuma ya Mloganzila. Huko ndio tunapotoa vifusi vya kuweka barabarani. Pameanza kujengwa(kama ndipo).
We vipi wewe? Hapafai maana hakuna hewa watu wanaoenda kisopwa huwa wanabeba mitungi ya oxygen kama wazamiaji bahariniSawa mkuu, vp panafaa kuishi?
🤣Dah,we ni realman....sawa upate kipande KisopwaTulia mtoto mzuri
Ni pazuri shemeji. Muache aje Kisarawe ni moto. Hutaki nimpate jirani?Eeeeh Kwa hiyo hupajui,Wala huna connection,unalijua jina tu, sasa Nini kimekuvutia huko Kisopwa?
Kilichonishangaza ni hapo unaposema ni next baada ya Dar es Salam kujaa majumba...Kisopwa pazuri. Huko ni moja ya next baada ya Daslam kujaa majumba.
Ushauri ni kwamba ukifika huko nunua eneo kubwa angalau Sqr meter 1000 na kuendelea ili upate hewa nzuri zaidi.
Huko maeneo ni bei chee na huna sababu ya kununua 20 kwa 20.
Karibu sana Kisarawe!
Hapana,napenda upate jirani,ila umenichanganya ulivyopapa sifa,mbona Kisarawe pamezubaa sana?Hilo unalolisema limekaaje....na vipi kuhusu miundo mbinu mpaka kukamata morogoro road ni kilometers ngapi?Ni pazuri shemeji. Muache aje Kisarawe ni moto. Hutaki nimpate jirani?
Ni kweli. Viwanja vyenye bei ya kawaida vipo Kiluvya ya Dar, Kiluvya ya Kisarawe, na Kiluvya ya Kibaha kwa sasa.Kilichonishangaza ni hapo unaposema ni next baada ya Dar es Salam kujaa majumba...