Ufahamu kuhusu eneo linaitwa Kisopwa Wilaya ya Kisarawe

Ufahamu kuhusu eneo linaitwa Kisopwa Wilaya ya Kisarawe

Usivamie kichwa kichwa mkuu.
kisopwa kuna gogoro kubwa la wanainchi na serikali kuhusu uvamizi wa eneo hilo..

Zilitembea fimbo huko Zaidi ya zile za wamasai na walinzi wa Zanzibar [emoji23][emoji23].

Kisopwa sehemu gani kuna mgogoro wa uvamizi?? Zaidi ya Tondoloni ambako watu walitolewa miaka ya nyuma huko…! Sisi tunaishi huko na tuna details zote za mji huo..!
 
Kisopwa kwa sasa maji ya bomba yapo,umeme upo,barabara iko chini ya tan road so inarekebishwa mara kwa mara. Potential kwa baadae once mloganzila ikijengwa ikaisha. Kwa sasa viwanja vya 20x20 ni million 4 na kuendelea. Watu wananunua na kujenga na km watu wawili nawajua wameshahamia tayar kati ya watu walionunu mwaka jana. Wenyeji wapo na nyumba zipo japo si nyingi sana. Miaka 10 mbele kutakuwa potential sana ni km watu wanaokaa changanyikeni wamepakana na chuo so umuhimu wake kwa baadae utakuwa hvyo
 
Back
Top Bottom