Ufahamu kuhusu eneo linaitwa Kisopwa Wilaya ya Kisarawe

Ufahamu kuhusu eneo linaitwa Kisopwa Wilaya ya Kisarawe

Hapana,napenda upate jirani,ila umenichanganya ulivyopapa sifa,mbona Kisarawe pamezubaa sana?Hilo unalolisema limekaaje....na vipi kuhusu miundo mbinu mpaka kukamata morogoro road ni kilometers ngapi?
Kuhusu km inategemea na umbali kilipo kiwanja.

Kisarawe pamezubaa kiasi ila kwa mtu anayetaka kuwekeza katika kilimo panafaa sana.

Pia mtu anayetaka utulivu.

By the way ardhi ni investment ambayo huhitaji gharama kubwa kuipa thamani.

Thamani yake inapanda yenyewe. Kikubwa ni kupata elimu ili ufahamu ni wapi ununue. But Kisopwa panafaa kwa sàbabu ni mpakani na Manispaa ya Ubungo.
 
Kuhusu km inategemea na umbali kilipo kiwanja.

Kisarawe pamezubaa kiasi ila kwa mtu anayetaka kuwekeza katika kilimo panafaa sana.

Pia mtu anayetaka utulivu.

By the way ardhi ni investment ambayo huhitaji gharama kubwa kuipa thamani.

Thamani yake inapanda yenyewe. Kikubwa ni kupata elimu ili ufahamu ni wapi ununue. But Kisopwa panafaa kwa sàbabu ni mpakani na Manispaa ya Ubungo.
Oooh sawa Sasa nimekusoma mkuu
 
Mimi binafsi ni mkazi wa kisopwa - vibura , ni mji mpyaaa unao kuwa ka kasi yake tupo tunaishi huku nina miaka miwili now almost

Kuhusu umbali ni wewe inategemea unaelekea wapi

Mm shughuli zangu ni Posta natumia njia ya Tabata (Kifuru-kinyerezi- buguruni) to town

Ukiwa unaenda Kibaha unakatiza tu hapo eneo la Mlongazila hospital unatoboa morogoro road unaenda zako

Ukiwa unaenda airport unadondoka zako hapo down gongo la mboto huyoo!! Au unapitia kinyerezi unadondokea hapo Airport njia panda ulaya

Ukiwa unaenda Stand ya magufuli mabus ya mkoa unapitia hapo maramba mawili huyooo chap kwa dk tu

Mbona fresh kabisa anayekwambia kuna mashamba sio kweli watu wana viwanja n wanajenga ni mji unakuwa vizuri kwa kasi nzuri

Kwahiyo napenda nikutie moyo kabisa kwa asilimia 99.99% karibu sana …. KISOPWA- VIBURA kumenoga mnooo karibu sana..!

Mji ni rafiki sana changamoto ndogondogo hazikosekani kwa miji mipyaa especially barabara ila kunatia moyo safiii kabisa …!

Ukihitaji ushauri au maelekezo ni DM tu nitarespond..!
 

Attachments

  • 4B129387-27F2-4C45-8812-D7AA4A841A2A.jpeg
    4B129387-27F2-4C45-8812-D7AA4A841A2A.jpeg
    109.1 KB · Views: 21
  • 4E4B6E6C-0589-402E-A0FC-4044901C7AA8.jpeg
    4E4B6E6C-0589-402E-A0FC-4044901C7AA8.jpeg
    345.8 KB · Views: 21
  • C0EFF0E5-7209-4A70-8502-5E3095724FF3.jpeg
    C0EFF0E5-7209-4A70-8502-5E3095724FF3.jpeg
    317.5 KB · Views: 20
  • 37B38530-23F8-47E0-B850-8694A2D20F7B.jpeg
    37B38530-23F8-47E0-B850-8694A2D20F7B.jpeg
    317 KB · Views: 20
  • 91A4EEFE-4BFE-40B7-9F0C-AEC6928188BE.jpeg
    91A4EEFE-4BFE-40B7-9F0C-AEC6928188BE.jpeg
    317 KB · Views: 18
  • ACB321B7-4693-4D2D-84C1-D7E4B0713543.jpeg
    ACB321B7-4693-4D2D-84C1-D7E4B0713543.jpeg
    283 KB · Views: 19
  • 56B007E7-8A7A-40E5-91E3-5BC452AD666E.jpeg
    56B007E7-8A7A-40E5-91E3-5BC452AD666E.jpeg
    276.2 KB · Views: 16
  • 75E9D9B3-B907-4F93-A347-0296F175CDFD.jpeg
    75E9D9B3-B907-4F93-A347-0296F175CDFD.jpeg
    1.1 MB · Views: 17
  • F1DEFA88-04AB-4EA8-A86A-0974583C5EC3.jpeg
    F1DEFA88-04AB-4EA8-A86A-0974583C5EC3.jpeg
    921.6 KB · Views: 18
  • 06FB5464-FD3B-4B66-B2BB-AD82041899AB.jpeg
    06FB5464-FD3B-4B66-B2BB-AD82041899AB.jpeg
    1.4 MB · Views: 14
  • 19D89359-A176-4833-A46B-C5910C868BF1.jpeg
    19D89359-A176-4833-A46B-C5910C868BF1.jpeg
    1,023.8 KB · Views: 16
  • 675144E8-6CED-499E-87EA-7BBCF1715FF5.jpeg
    675144E8-6CED-499E-87EA-7BBCF1715FF5.jpeg
    975.4 KB · Views: 16
  • 50A9AD84-377B-4A46-A5BC-23DADBA556FD.png
    50A9AD84-377B-4A46-A5BC-23DADBA556FD.png
    1.1 MB · Views: 18
  • 71D929E3-6E2D-484C-BA0A-AF71BA95FFEA.jpeg
    71D929E3-6E2D-484C-BA0A-AF71BA95FFEA.jpeg
    386.6 KB · Views: 17
  • 95CDE755-6226-45EB-BC42-55046A7CF3AB.png
    95CDE755-6226-45EB-BC42-55046A7CF3AB.png
    12.4 KB · Views: 18
  • C1260B37-B04E-44A4-AD9C-7F9AE9FE3204.jpeg
    C1260B37-B04E-44A4-AD9C-7F9AE9FE3204.jpeg
    147.8 KB · Views: 15
  • 1B2FC1C4-CD53-47F0-B630-1CD6A08CA0E7.jpeg
    1B2FC1C4-CD53-47F0-B630-1CD6A08CA0E7.jpeg
    1.9 MB · Views: 15
  • 39DA5BB7-ED37-4A53-887D-17639D3FBA4C.jpeg
    39DA5BB7-ED37-4A53-887D-17639D3FBA4C.jpeg
    1.1 MB · Views: 16
  • 62A38A77-0532-4BFB-9DB7-61B59438D073.jpeg
    62A38A77-0532-4BFB-9DB7-61B59438D073.jpeg
    843 KB · Views: 16
  • 565AE8DD-D536-4990-8AB8-57BBA97831F8.jpeg
    565AE8DD-D536-4990-8AB8-57BBA97831F8.jpeg
    1.3 MB · Views: 19
Kupata shamba now sio rahisi labda kiwanja kaka…! Na ukihitaji eneo kubwa mengi yameshikwa na watu wenye uchumi mkubwa..! Ila maeneo yapo tele

Mashamba Kisarawe yamejaa tele. Labda useme hapo Kisopwa Centre ndipo adimu.
 
Mashamba Kisarawe yamejaa tele. Labda useme hapo Kisopwa Centre ndipo adimu.

Sure sure namaanisha hapa Kisopwa - VIBURA ila sijamaanisha KISARAWE yote…!

Ana hata ukiiangalia vizuri hii Kisopwa haijakaa upande wa Kisarawe hata kwenye ramani ya tanzania utaiona ipo Dar es salaam ila kwa sababu hivi vitu huwa vina change , we don’t why, sababu hata sisi wakazi wa huku hatupati huduma zetu za kila siku kisarawe zaidi ni ILALA na Ubungo

Na 99% shughuli zote za kujitafutia ridhiki ni Dar es salaam

Na hata ukiangalia miaka ya nyuma shuguli zote zinazo hutaji mambo ya kiserikali zilikuwa zina hudumiwa na kinondoni kabla ya kugaiwa ubungo na kinondoni..!
 
Hapana,napenda upate jirani,ila umenichanganya ulivyopapa sifa,mbona Kisarawe pamezubaa sana?Hilo unalolisema limekaaje....na vipi kuhusu miundo mbinu mpaka kukamata morogoro road ni kilometers ngapi?

Mbona pemechangamka na pamejitenga sana na Mji wa kisarawe sijui ni nini pamefanya now kujumuishwa na kisarawe maana before kinondoni kugawanywa palikuwa wilaya ya kinondoni
IMG_6888.jpg

IMG_4789.jpg

IMG_5102.jpg

IMG_7087.jpg

IMG_7088.jpg

IMG_7335.jpg

IMG_7334.jpg

IMG_8399.jpg

IMG_8398.jpg
 
Kisopwa pazuri. Huko ni moja ya next baada ya Daslam kujaa majumba.

Ushauri ni kwamba ukifika huko nunua eneo kubwa angalau Sqr meter 1000 na kuendelea ili upate hewa nzuri zaidi.

Huko maeneo ni bei chee na huna sababu ya kununua 20 kwa 20.

Karibu sana Kisarawe!
Eneo la mloganzila ni la serikali ni eneo la Tangayika Packers ikiwa ni pamoja na eneo la mnada wa Pugu. Hilo ni mapalio yaani holding ground ya kutunzia mifugo ikingoja kusafirishwa au kupelekwa kiwandani kwa wakati kilipokuwa kinafanya kazi. Haimaanishi kuwa sio eneo la serikali tena. Kabka hujatapeliwa nenda ardhi.
 
unakaribia kustaafu nini mana kwa kijana huwezi kufikiria kuishi kisarawe

Pamejitenga mbali sana na kisarawe mbona……! Hahahahahah labda sababu kumepewa wilaya hiyo….!!! Ila mbona Unyama tele tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Eneo la mloganzila ni la serikali ni eneo la Tangayika Packers ikiwa ni pamoja na eneo la mnada wa Pugu. Hilo ni mapalio yaani holding ground ya kutunzia mifugo ikingoja kusafirishwa au kupelekwa kiwandani kwa wakati kilipokuwa kinafanya kazi. Haimaanishi kuwa sio eneo la serikali tena. Kabka hujatapeliwa nenda ardhi.
Kwa hiyo Mloganzila yote ni ya Serikali?
 
Eneo la mloganzila ni la serikali ni eneo la Tangayika Packers ikiwa ni pamoja na eneo la mnada wa Pugu. Hilo ni mapalio yaani holding ground ya kutunzia mifugo ikingoja kusafirishwa au kupelekwa kiwandani kwa wakati kilipokuwa kinafanya kazi. Haimaanishi kuwa sio eneo la serikali tena. Kabka hujatapeliwa nenda ardhi.

Ni eneo limepimwa kwa makazi kaka na watu wana hati halali za umiliki ……! View attachment Kwembe__4Kisopwa.pdf
 
Habari wadau. Kuna mdau yeyote anafahamu hili eneo. Je panafaa kuweka makazi yaani kujenga na kuishi?

Nategemea majibu kutoka kwenu.
Nimewahi kwenda kuchukuqa kifusi huko Alo ni ndanj nadani mno lzm uwe na usafiri wako Kam pikipiki japo Ni ndani sna unapita mloganziala
 
Naifahamu Kisopwa ya kuingilia pale Luguruni, then unapita Kwembe, unapita nyuma ya Mloganzila. Huko ndio tunapotoa vifusi vya kuweka barabarani. Pameanza kujengwa(kama ndipo).
Nadhani tushawai kukutana kwenye kifusi huko huko Nina faw langu na mende sijajuwa Hadi SAS ule mgodi bado upo kweli
 
Nimewahi kwenda kuchukuqa kifusi huko Alo ni ndanj nadani mno lzm uwe na usafiri wako Kam pikipiki japo Ni ndani sna unapita mloganziala

Kuna njia ya kupitia tabata Kifuru na ndiyo mostly inatumika kwenye almost shughuli nyingi za kibinadamu
 
Back
Top Bottom