Ufahamu kuhusu eneo linaitwa Kisopwa Wilaya ya Kisarawe

Ufahamu kuhusu eneo linaitwa Kisopwa Wilaya ya Kisarawe

Kuna njia ya kupitia tabata Kifuru na ndiyo mostly inatumika kwenye almost shughuli nyingi za kibinadamu
Nina uzoefu na njia ya mloganzira ile unapita ile pori la jeshi

Aloo ukikakh vibaya uanweza kutekwa ila mwka huu nitakuja Tena kupatazma nione pakoje ninunue kiwanja
 
Nina uzoefu na njia ya mloganzira ile unapita ile pori la jeshi

Aloo ukikakh vibaya uanweza kutekwa ila mwka huu nitakuja Tena kupatazma nione pakoje ninunue kiwanja

Hahahahah hamna ila viwanja vingi vipo upande huu wa pili ukiwa unaangalia mashariki ya chimbo ndiko mji unakuwa maana ndiyo umeungana toka kinyerezi - kifuru - king’azi - vibura kisopwa…!

Next time pitia kifuru au maramba mawili ..! Japo kifuru ndiyo kupo [emoji106][emoji106][emoji106]•
 
Hahahahah hamna ila viwanja vingi vipo upande huu wa pili ukiwa unaangalia mashariki ya chimbo ndiko mji unakuwa maana ndiyo umeungana toka kinyerezi - kifuru - king’azi - vibura kisopwa…!

Next time pitia kifuru au maramba mawili ..! Japo kifuru ndiyo kupo [emoji106][emoji106][emoji106]•
Nitumie namb zako pm nikiwa nakuja unipe direction
 
Hii ndiyo thamani na gharama za kisopwa

IMG_5163.png
 
Usivamie kichwa kichwa mkuu.
kisopwa kuna gogoro kubwa la wanainchi na serikali kuhusu uvamizi wa eneo hilo..

Zilitembea fimbo huko Zaidi ya zile za wamasai na walinzi wa Zanzibar [emoji23][emoji23].
 
Usivamie kichwa kichwa mkuu.
kisopwa kuna gogoro kubwa la wanainchi na serikali kuhusu uvamizi wa eneo hilo..

Zilitembea fimbo huko Zaidi ya zile za wamasai na walinzi wa Zanzibar [emoji23][emoji23].
Labda zamani. Now hakuna hicho kitu, viwanja vimepimwa kabisa
 
Hahahahah hamna ila viwanja vingi vipo upande huu wa pili ukiwa unaangalia mashariki ya chimbo ndiko mji unakuwa maana ndiyo umeungana toka kinyerezi - kifuru - king’azi - vibura kisopwa…!

Next time pitia kifuru au maramba mawili ..! Japo kifuru ndiyo kupo [emoji106][emoji106][emoji106]•
Mbopo...msumi...mpigi magohe
 
Sawa mkuu, vp panafaa kuishi?
Mtu unaishi popote,saa yoyote.
Kuna pahali nilipita huko kisarawe nikielekea masaki(sio Obay)
Nikakuta watu wana mijengo balaa.
Ukijiuliza hawa huduma muhimu wanapataje nakosa jibu.
Nikafika ndani ndani huko kuna wawekezaji kabisa waswede na wachina.
Na raia wapo wanakula bata tu,huko hamna hata polisi ,
Watu wanalewa tu gongo la kufa mtu mchana kweupe.
Huyo maza kajiongeza kuna kisoko mjinga hukosi dagaa,nyanya,mafuta,vitunguu
 
Njoo huku upande wa vibura ndio pameungana vizuri na upande wa DSM.

Ila uwe makini usiuziwe eneo la Mloganzila.
Kuwa makini usiuziwe eneo la mtu au lenye migogoro ingawa yule kijana masai mwenyekiti wa kijiji ni mtu makini.

Pako vizuri sana.
 
Sure sure namaanisha hapa Kisopwa - VIBURA ila sijamaanisha KISARAWE yote…!

Ana hata ukiiangalia vizuri hii Kisopwa haijakaa upande wa Kisarawe hata kwenye ramani ya tanzania utaiona ipo Dar es salaam ila kwa sababu hivi vitu huwa vina change , we don’t why, sababu hata sisi wakazi wa huku hatupati huduma zetu za kila siku kisarawe zaidi ni ILALA na Ubungo

Na 99% shughuli zote za kujitafutia ridhiki ni Dar es salaam

Na hata ukiangalia miaka ya nyuma shuguli zote zinazo hutaji mambo ya kiserikali zilikuwa zina hudumiwa na kinondoni kabla ya kugaiwa ubungo na kinondoni..!
Mkuu unaforce sana hapo kisopwa pawe Dar es salaam, Maelezo mengi yasiyo na msingi
 
Mimi binafsi ni mkazi wa kisopwa - vibura , ni mji mpyaaa unao kuwa ka kasi yake tupo tunaishi huku nina miaka miwili now almost

Kuhusu umbali ni wewe inategemea unaelekea wapi

Mm shughuli zangu ni Posta natumia njia ya Tabata (Kifuru-kinyerezi- buguruni) to town

Ukiwa unaenda Kibaha unakatiza tu hapo eneo la Mlongazila hospital unatoboa morogoro road unaenda zako

Ukiwa unaenda airport unadondoka zako hapo down gongo la mboto huyoo!! Au unapitia kinyerezi unadondokea hapo Airport njia panda ulaya

Ukiwa unaenda Stand ya magufuli mabus ya mkoa unapitia hapo maramba mawili huyooo chap kwa dk tu

Mbona fresh kabisa anayekwambia kuna mashamba sio kweli watu wana viwanja n wanajenga ni mji unakuwa vizuri kwa kasi nzuri

Kwahiyo napenda nikutie moyo kabisa kwa asilimia 99.99% karibu sana …. KISOPWA- VIBURA kumenoga mnooo karibu sana..!

Mji ni rafiki sana changamoto ndogondogo hazikosekani kwa miji mipyaa especially barabara ila kunatia moyo safiii kabisa …!

Ukihitaji ushauri au maelekezo ni DM tu nitarespond..!
Mkuu ni km ngapi kutokea kifuru??

Mm nipo King'azi hapa ila ninashawishika pia kuja kuinvest huko
 
Ni nyuma ya hospital ya Mloganzira, kule kiwanja chenye ukubwa wa 400sqm unapata kwa milioni 2
Hicho ni kiwanja au bustani ya mboga? Nchi hii tuna ujinga mwingi sana sehemu kama hiyo unapimaje viwanja vya 20 x 20?
 
Atakayepita huko atutumie picha
 
Back
Top Bottom