Ufahamu kuhusu nyota za angani

Ufahamu kuhusu nyota za angani

speed ya mwanga hatuwezi kufikia close na speed ya mwanga tunaweza tukafikia yaani speed ya 177,000 miles/ second ambapo kwa speed tukisema tukitume chombo kwenye alpha centauri( nyota iliyokaribu na mfumo wetu wa jua itatuchukua miaka 5 tu ila kwa kutumia chemical energy spacecraft itachukua zaidi ya. miaka 50,000 kufika kwenye hiyo nyota

sasa kazi ipo kwenye kutengeneza anti matter space vehicle

Mpaka sasa wanasayansi wameweza kutengeneza anti matter ambayo inafikia uzito wa nanograms 18

zimetengenezwa pale fermilab tevatron particle accerelator ni 15 nanograms,CERN ( 1 nanogram) DESY(Germany) 2 nanograms

Hicho kiwango cha antimatter kilichotengezwa mpaka sasa hivi dunia nzima nishati yake haiwezi hata kuchemsha kikombe cha chai, nanogram ni ndogo sana

1 gram ya anti matter inaweza kutengeneza mlipuko kama wa nuclear bomb
Kutengeneza gram 1 ya anti matter inahitajika 25 million billion kilowatt of energy na ina cost million billion dollars
Labda descendants wetu miaka ijayo wataweza kutengeneza anti matter

anti matter ikikutana na matter ya kawaida inatengeneza kiasi kikubwa cha energy, cosmic rays wanasayansi wanasema zina anti matter

Prolpusion system nyingine ambayo inaweza kufikia speed ya light ni warp drive ila bado sijaijua vizuri na bado ni science fiction kizazi hiki hatauweza kutengeneza

Labda mkuu kifyatu aje atuelezee wrap drive kama anaijua kiundani
Umenipa somo baaabu kubwa,kwahiyo tuseme kwa vizazi hivi vya sasa hatutashuhudia binadamu kwenda nje ya solar system yetu.
 
Umenipa somo baaabu kubwa,kwahiyo tuseme kwa vizazi hivi vya sasa hatutashuhudia binadamu kwenda nje ya solar system yetu.
Kwa sasa hatuweza kushuhudia tatizo kubwa ni kwamba mtu hawezi kupona na hizo radiation zilizopo kwenye outer space na vile vile chance ya kurudi duniani ni ndogo sana na wakiwa kwenye hicho chombo wanaweza kuwa machizi sababu watakuwa wamekaa sehemu moja ndogo kwa muda mrefu

Ila kupeleka chombo peke yake mpaka sasa hivi tumeweza kuna chombo kinaitwa voyager 1 and voyager 2 vimeishika toka nje ya solar system yetu, vilipelekwa angani mwaka 1977 na vitaendelea na safari mpaka itakapofika mwaka 2025,vimeisha tembea billions of kilometres kuna kipindi viliiona dunia kama kidoti kidogo cha blue, ila kwa sasa sidhani kama vinaiona dunia maana vipo mbali sana
 
Kwa sasa hatuweza kushuhudia tatizo kubwa ni kwamba mtu hawezi kupona na hizo radiation zilizopo kwenye outer space na vile vile chance ya kurudi duniani ni ndogo sana na wakiwa kwenye hicho chombo wanaweza kuwa machizi sababu watakuwa wamekaa sehemu moja ndogo kwa muda mrefu

Ila kupeleka chombo peke yake mpaka sasa hivi tumeweza kuna chombo kinaitwa voyager 1 and voyager 2 vimeishika toka nje ya solar system yetu, vilipelekwa angani mwaka 1977 na vitaendelea na safari mpaka itakapofika mwaka 2025,vimeisha tembea billions of kilometres kuna kipindi viliiona dunia kama kidoti kidogo cha blue, ila kwa sasa sidhani kama vinaiona dunia maana vipo mbali sana
Kwa maana hiyo dhumuni la wanaanga kwa sasa ni nini ............. Ikiwa ndani ya solar system yetu hakuna sehemu nyingine kwenye uhai,na huko nje ya solar system yetu ndio haiwezekani kufika binadamu.......???
 
Kwa maana hiyo dhumuni la wanaanga kwa sasa ni nini ............. Ikiwa ndani ya solar system yetu hakuna sehemu nyingine kwenye uhai,na huko nje ya solar system yetu ndio haiwezekani kufika binadamu.......???
Kwa sasa wanaanga wana madhumuni mengi tu, ila kubwa moja wapo ambalo wanalipigania ni kuweka space base kwenye mwezi,na pia kuweka camp na kuanzisha makazi kwenye sayari ya mars,na wameanza na hilo kwa ku tengeneza kituo cha utafiti maarufu kama international space station ( ISS) huko wanaanga wanafanya majaribio mengi yakiwepo binadamu atawezaje kuishi kwenye zero gravity,mimea itawezaje kukua kwenye zero gravity

Huwezi jua huenda kukawa na uhai kwenye mifumo mingine ya nyota maana kuna nyota nyingi sana, na kila nyota ila planet zake huenda kukawa na uhai somewhere wanaanga bado wanaendelea kufanya utafiti,voyager 1 na 2 zilivyotumwa mwaka 1977 zilikuwa na details kuhusu sisi ikiwepo DNA structure yetu na location ya solar system yetu ili endapo kama kuna aliens huko wakikiona chombo hicho au kikienda kuangukia sehemu walipo wapate hizo details na watutafute

Kuna mwaka wanaanga waliiona sayari moja siikumbuki jina lake ila. walituma radio signals ziende kwenye sayari wanasema ina possibility yakua na uhai, ila hizo signal zitachukua takribani miaka 25,000 kufika kwa hiyo kama tutapata majibu basi ni miaka mingi ijayo
 
Duh haya mambo kazi kweli kweli kuna muda wanasayansi wenyewe huwa wanachunguza mpk wanachoka
 
Sijui kwa Tanzania ni maduka gani zinapatikana. Lakini kwa kutumia telescope nzuri ya kawaida (kibei) unaweza kuona sayari zote lakini sio milima na mito. Utaiona sayari yenyewe na miezi inayoizunguuka au pete (rings) kama za Saturn. Unaweza kuona mabonde na milima ya mwezi wetu lakini sio ya sayari.

Ulizia UDSM au vyuo vingine kama wana Astronomical club ili uweze kutumia telescope zenye nguvu kubwa ambazo kwa kawaida ni ghali sana kwa mtu binafsi kuzinunua.
mkuu hivi hizo Pete za Saturn zilisababishwa na nini? Na kwanini zipo vile?
Nini msaada wake kwa Saturn?
 
Tukiweza kuijaza Mars na hewa ya Oxygen maisha yanawezekana hata kama kuna baridi. Hapa Duniani Waeskimo wanaishi north pole ambako kumeganda karibuni mwaka mzima.
Mkuu kwanini north pole ndio tu kuwe na barafu sio na south pole na kwa dunia yetu south ipo wapi?
 
Kwa jibu la ki-imani tunaweza kusema Mungu mwenyewe ametuweka hapa duniani. Mimi si mbobezi wa imani za dini kwa hiyo nitashindwa kuitetea dhana hii.

Lakini ki-sayansi, gravity ya Jupiter ni kubwa kiasi ya kwamba tukienda huko tungekandamizwa na kuwa kama chapati. Kuna chombo (probe) walioipeleka NASA ndani ya Jupiter. Baada ya muda mfupi wa kutuma taarifda za upepo mkali na vimbunga, ilizima haraka sana ilipo-register gravity ya hali ya juu sana.

Hii haina maana hakuna uhai ndani ya Jupiter, la, bali sio wa viumbe kama sisi. Kama tunataka mahala pengine tunapoweza kuishi sisi katika hii solar system yetu basi inabidi pawe na vigezo vinavyofanana na hapa kwetu. Ndio maana wanasayansi wamejikita kupeleka watu Mars kwa sababu kuna uwezekano wa kutengeneza maandhari ya sisi kuishi.

Sijui kama nimelijibu swali lako?
samahani kwa maswali mengi kwani binadamu alitokeaje yaani chanzo cha binadamu kuwa hapa sayansi inasemaje?
 
samahani kwa maswali mengi kwani binadamu alitokeaje yaani chanzo cha binadamu kuwa hapa sayansi inasemaje?
Nakumbuka hili swali lilijibiwa mwanzo kabisa wa mada kuwa chanzo cha uhai au kutokea kwa binadamu kulitokana na vumbi (dust) na vipande vipande vilivyobaki katika utengezwaji wa nyota na kupitia katika process mbalimbali za mabadiliko ndipo uhai ukatoa...if not mistaken
 
Nakumbuka hili swali lilijibiwa mwanzo kabisa wa mada kuwa chanzo cha uhai au kutokea kwa binadamu kulitokana na vumbi (dust) na vipande vipande vilivyobaki katika utengezwaji wa nyota na kupitia katika process mbalimbali za mabadiliko ndipo uhai ukatoa...if not mistaken
OK asante sana sikuwa nimeona kama lilijibiwa ndio maana nikauliza
 
Kwa sasa hatuweza kushuhudia tatizo kubwa ni kwamba mtu hawezi kupona na hizo radiation zilizopo kwenye outer space na vile vile chance ya kurudi duniani ni ndogo sana na wakiwa kwenye hicho chombo wanaweza kuwa machizi sababu watakuwa wamekaa sehemu moja ndogo kwa muda mrefu

Ila kupeleka chombo peke yake mpaka sasa hivi tumeweza kuna chombo kinaitwa voyager 1 and voyager 2 vimeishika toka nje ya solar system yetu, vilipelekwa angani mwaka 1977 na vitaendelea na safari mpaka itakapofika mwaka 2025,vimeisha tembea billions of kilometres kuna kipindi viliiona dunia kama kidoti kidogo cha blue, ila kwa sasa sidhani kama vinaiona dunia maana vipo mbali sana
Hivi wamatumia njia gani kupata mawasiliano na hizo voyages ambazo zipo mbali na dunia? Kuna mionzi inatumika hapo
 
Hakijazidi 30,000km/h...........speed ya mwanga hata 10% bado hutajaweza kufikia
Mkuu vipi kuhusu tachyonic particles zilizogunduliwa kwenye space inasemekana zinamove faster than light. hii imekaaje hapo
 
Mkuu samahani. Naona nilipitiwa. Nilidhani nimekujibu.

Voyager1 na Voyager2 zilirushwa mwaka 1977 (September 5, na August 20) zikiwa na majukumu mawili kila chombo.

Voyager 1
Jukumu la kwanza:
Kutembelea na kuzichunguza sayari za Jupiter, Saturn (na mwezi wa Saturn uitwao Titan).

Jukumu la pili:
Kuendelea na safari mpaka kutoka nje ya solar system yetu (Heliosphere) na kutuma taarifa za anga la huko.

Iko wapi kwa sasa (May 2016):
Iko kwenye Interstellar space zaidi ya km 21,000,000,000 kutoka hapa. (Ni sawa na umbali wa duniani mpaka kwenye jua mara 136).

Bado inawasiliana nasi?
Ndio. Huchukua takriban masaa 20 hivi kwa ujumbe kutoka Voyager1 kutufikia kupitia mtandao wa Deep-Space-Network.

Lini mwisho wa hii mission?
Nishati ya hiki chombo inapatikana kwa jenerata la nuclear. Inakadiriwa ifikapo mwaka 2025 hili jenerata litaishiwa nguvu na hapo ndio itakuwa mwisho wa mission hii.

Je kikikamatwa na aliens?
Kama watakikamata kabla ya 2025 basi kitatufahamisha. Wakikikamata baada ya 2025 basi tena ndio tutakuwa tumeula.

*******************************************************
Voyager 2
Jukumu la kwanza:
Kutembelea na kuzichunguza sayari za Jupiter, Saturn (na mwezi wa Saturn uitwao Titan), Uranus na Neptune.

Jukumu la pili:
Kama la Voyager1

Iko wapi kwa sasa (April 2016):
Iko kwenye ukingo wa heliosphere zaidi ya km 17,000,000,000 kutoka hapa. (Ni sawa na umbali wa duniani mpaka kwenye jua mara 110).

Bado inawasiliana nasi?
Ndio. Huchukua takriban masaa 17 hivi kwa ujumbe kutoka Voyager2 kutufikia kupitia mtandao wa Deep-Space-Network.
Kuhusu voyage mkuu kifyatu alilijibu vzr hapa!
jay john
 
mkuu hivi hizo Pete za Saturn zilisababishwa na nini? Na kwanini zipo vile?
Nini msaada wake kwa Saturn?
Pete za Saturn zinaweza kuwa zilitengenezwa na vimondo vikubwa au hata takataka ambazo hazikuweza kujitengeneza kuwa mwezi na zikabaki ndogondogo na zinaelea angani. Sehemu kubwa ya hizi takataka katika hizi pete ni maji (barafu)
 
Mkuu vipi kuhusu tachyonic particles zilizogunduliwa kwenye space inasemekana zinamove faster than light. hii imekaaje hapo
Wanayasansi wanasema ni hypothetical tu, bado hawajazigundua, ina maana hazipo, na kama zikiwepo duuh inabidi rewrite baadhi ya laws za physics
 
Back
Top Bottom