Aaah sio sana, afu kwenye Soko la hisa Kuna product zaidi ya hisa, Kuna hatifungani pia Kuna vipande vya utt nazo zipo frexhUwekezaji wa hisa kwenye hii awamu ya tano ni sawa na kuchoma pesa.
Awamu hii mauzo ya hisa yalishuka kwa kiwango ambacho hakija wahi onekana dokea DSE ianze.
Sent using Jamii Forums mobile app