kwa uzoefu gani? ngoja tu niishie hapa. yetu macho. bora angechukua tu hata wakili wa kujitegemea mzoefu.huwezi kuleta mabadiliko kwa kutumia watu waliokalili mifumo iliyofeli. unahitaji mtu anayeweza kuseti dira na kutazama system iliyoko chini yake ina act vipi?
wanaoijua ofisi hiyo wengi wamekwisha ota sugu na mambo ya ovyo wanayaona ya kawaida maana walishayazoea.
ni bora kuleta mtu anayefikiri nje ya mifumo yao waliyojenga ndani ya ofisi.
Tumekupata mkuu asante sana. Namtakia kazi njema sana.ni mzaliwa na mkazi wa wilaya ya sengerema mtaa wa misheni almaarufu soweto mkoani mwanza akiwa mtoto wa kwanza katika familia..amesoma huko huko mwanza na baadae alijiunga na masomo ya juu akisomea upadre pale kipalapala tabora lakini hakufikia azma hiyo baada ya kufukuzwa darasa zima kwa kile kilichodaiwa kugoma kuosha sahani za kulia chakula( walikuwa wakimaliza kula utaratibu uliokuwepo walikuwa hawaoshi sahan walizolia na wapishi ndio walifanya kazi hiyo) askofu akampa maelekezo baba gombera awaambie vijana wawe wanaosha sahan zao wenyewe..baba gombera(rector) alipowambia wakagoma na hivyo kufukuzwa darasa zima...
badae alijiunga UDSM akasoma sheria na amefanya kazi mashirkka kibao ya kimataifa kabla hajajiunga na St Augustine.ni mtendaji mzuri sana na very charismatic..anao ndugu zake na wadogo zake kama Denis Sebugwao (nae mwanasheria) na mwingine ni padre huko katika jimbo la geita..ameoa na ana watoto
Mkuu Faiza Foxy kwani yupo wapi siku hizi? niliwahi kula ban humu sababu yake!Faiza Foxy angekuwa hai angejionea hili la wasomi wa pale MUM walivyosaulika. Saizi full ukanda na udini tu.
waliokuwa chini ya masaju na wenye uzoefu ktk ofisi hiyo.Wacha kukariri mkuu.
Ajaanza ata kufanya kazi ushatabiri atafeli, sema ulitaka apewe nani?
Peponi....Mkuu Faiza Foxy kwani yupo wapi siku hizi? niliwahi kula ban humu sababu yake!
watu walikuwa wanataka hilini mzaliwa na mkazi wa wilaya ya sengerema mtaa wa misheni almaarufu soweto mkoani mwanza akiwa mtoto wa kwanza katika familia..amesoma huko huko mwanza na baadae alijiunga na masomo ya juu akisomea upadre pale kipalapala tabora lakini hakufikia azma hiyo baada ya kufukuzwa darasa zima kwa kile kilichodaiwa kugoma kuosha sahani za kulia chakula( walikuwa wakimaliza kula utaratibu uliokuwepo walikuwa hawaoshi sahan walizolia na wapishi ndio walifanya kazi hiyo) askofu akampa maelekezo baba gombera awaambie vijana wawe wanaosha sahan zao wenyewe..baba gombera(rector) alipowambia wakagoma na hivyo kufukuzwa darasa zima...
badae alijiunga UDSM akasoma sheria na amefanya kazi mashirkka kibao ya kimataifa kabla hajajiunga na St Augustine.ni mtendaji mzuri sana na very charismatic..anao ndugu zake na wadogo zake kama Denis Sebugwao (nae mwanasheria) na mwingine ni padre huko katika jimbo la geita..ameoa na ana watoto
mbona aliyepita nae ni kanda ya ziwa mkuuAnother lake zone guy looh tumekwisha kila uteuzi kanda ya kwao
Kwani huyo mama hatunaye tena ?Faiza Foxy angekuwa hai angejionea hili la wasomi wa pale MUM walivyosaulika. Saizi full ukanda na udini tu.
Kumbe naye ngoshani mzaliwa na mkazi wa wilaya ya sengerema mtaa wa misheni almaarufu soweto mkoani mwanza akiwa mtoto wa kwanza katika familia..amesoma huko huko mwanza na baadae alijiunga na masomo ya juu akisomea upadre pale kipalapala tabora lakini hakufikia azma hiyo baada ya kufukuzwa darasa zima kwa kile kilichodaiwa kugoma kuosha sahani za kulia chakula( walikuwa wakimaliza kula utaratibu uliokuwepo walikuwa hawaoshi sahan walizolia na wapishi ndio walifanya kazi hiyo) askofu akampa maelekezo baba gombera awaambie vijana wawe wanaosha sahan zao wenyewe..baba gombera(rector) alipowambia wakagoma na hivyo kufukuzwa darasa zima...
badae alijiunga UDSM akasoma sheria na amefanya kazi mashirkka kibao ya kimataifa kabla hajajiunga na St Augustine.ni mtendaji mzuri sana na very charismatic..anao ndugu zake na wadogo zake kama Denis Sebugwao (nae mwanasheria) na mwingine ni padre huko katika jimbo la geita..ameoa na ana watoto
sikutaka kuuliza chochote ila nimejikuta tu nauliza Sengerema Kuna makabila tofauti je! Ni msukuma?ni mzaliwa na mkazi wa wilaya ya sengerema mtaa wa misheni almaarufu soweto mkoani mwanza akiwa mtoto wa kwanza katika familia..amesoma huko huko mwanza na baadae alijiunga na masomo ya juu akisomea upadre pale kipalapala tabora lakini hakufikia azma hiyo baada ya kufukuzwa darasa zima kwa kile kilichodaiwa kugoma kuosha sahani za kulia chakula( walikuwa wakimaliza kula utaratibu uliokuwepo walikuwa hawaoshi sahan walizolia na wapishi ndio walifanya kazi hiyo) askofu akampa maelekezo baba gombera awaambie vijana wawe wanaosha sahan zao wenyewe..baba gombera(rector) alipowambia wakagoma na hivyo kufukuzwa darasa zima...
badae alijiunga UDSM akasoma sheria na amefanya kazi mashirkka kibao ya kimataifa kabla hajajiunga na St Augustine.ni mtendaji mzuri sana na very charismatic..anao ndugu zake na wadogo zake kama Denis Sebugwao (nae mwanasheria) na mwingine ni padre huko katika jimbo la geita..ameoa na ana watoto
Ndo umejibu nini sasa? kwenye mambo ya msingi jitahidi kuficha hisia zako kwanzaWote wamewekwa hapo kwa kazi maalum kutetea udikteta
Swissme
Another merit based appointment ...wonderful!Another lake zone guy looh tumekwisha kila uteuzi kanda ya kwao
Kwa jinsi ilivyofikia lazima apatikane mtu ambaye ataleta mawazo mapya tu na sio hao unawasema mkuu.waliokuwa chini ya masaju na wenye uzoefu ktk ofisi hiyo.
Wewe hebu acha hizo faiza fox alifariki lini jamani moderators ondoeni huu uzushiFaiza Foxy angekuwa hai angejionea hili la wasomi wa pale MUM walivyosaulika. Saizi full ukanda na udini tu.
kwa uzoefu gani? ngoja tu niishie hapa. yetu macho. bora angechukua tu hata wakili wa kujitegemea mzoefu.
Mtaelewa tu!!Another lake zone guy looh tumekwisha kila uteuzi kanda ya kwao