Ufahamu wasifu wa Mwanasheria Mkuu mpya wa Serikali, Dkt. Adelardus Kilangi

kwa uzoefu gani? ngoja tu niishie hapa. yetu macho. bora angechukua tu hata wakili wa kujitegemea mzoefu.
 
Tumekupata mkuu asante sana. Namtakia kazi njema sana.
 
watu walikuwa wanataka hili
 
Ukitaka kuharibu CV yako kuwa AG wa Tanzania , huko hakuna weledi , mwendo ni kutekeleza Maagizo tu , Kama unabisha waulize Chenge na Werema .
 
Kumbe naye ngosha
 
sikutaka kuuliza chochote ila nimejikuta tu nauliza Sengerema Kuna makabila tofauti je! Ni msukuma?
 
Ukubwa wa pua sio wingi wa makamasi
 
kwa uzoefu gani? ngoja tu niishie hapa. yetu macho. bora angechukua tu hata wakili wa kujitegemea mzoefu.

Omba wewe kazi utapewa maana unaonekana unawajua sana watu
 
Hahaha nyie ndio hamumuelewi mkuu wetu, yeye anachitaka uwe na PhD tu, siyo uwe mtendaji mzuri au sijui mchapakazi.
Ingekuwa mapenzi yake hata ma DC wote walipaswa kuwa na PhD tu hata kama ni za kusokita bangi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…