MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,701
- 71,056
Wanapoingia ccm kuna kipengele kwenye JD(job description) yao kinachosema akili zako zote ziache huko huko ulikotoka akili utapewa ukifika ofisini kwenye ofisi yako mpya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe angalia utendaji wa jaji mutungi au lubuva ndiyo utajua kuwa ccm huwa wanatoa akili za wasomi wanaweka akili za kiccmUmetumia kipimo gani kuonesha/thibitisha kuwa hao uliowataja wamepungukiwa kwenye mental competences zao?
umeulizwa standard measure/measuring criteria ulizotumia, jibu, siyo kuleta bujbuj hapa.Wewe angalia utendaji wa jaji mutungi au lubuva ndiyo utajua kuwa ccm huwa wanatoa akili za wasomi wanaweka akili za kiccm
Standard measure ni kukubali kujitoa ufahamu na akili na kukubali kuwekewa akili za kiccmumeulizwa standard measure/measuring criteria ulizotumia, jibu, siyo kuleta bujbuj hapa.
Ilani ni kama weed.....unasema then hueleweki, then unatolea ufafanuzi usioeleweka.!
!
Kuvua akili is a must ukiteuliwa.
Utakuwa kila siku unatoa ufafanuzi kwa waliomuelewa vibaya
AKIJENGAHOJA ANATUMBULIWA MTARBAN. HE CAN NOT AND HE WILL NOT DARE!Imezoeleka kuwa ukiwa ndani ya ccm uelewa wako lazima some time uuweke pembeni ili ufuate matakwa ya chama katika harakati za kutekeleza ilani ya chama.
Tunayo mifano mingi ya wasomi na wenye upeo wa juu waliokuwa wajengaji wazuri wa hoja kwa wakati wao, lakini walipojumuishwa katika serikali ya ccm mpya ghafla walionekana kama hawana kitu kichwani na walidiriki kuyakana hata Yale waliyowahi kuyapigani kipindi cha nyuma! Hapa nawazungumzia watu kama akina Polepole, Kafulila, Machali na Kitila Mkumbo.
Sasa nije kwa Dr Kilagi ambaye alijipatia umaarufu siku za hivi karibuni kwa kuonesha kuijua sheria vizuri na kuitolea ufafanuzi bila kupepesa au kubase upande Fulani ili spate sifa kama wengine wafanyavyo.
Je baada ya kujumuishwa katika serikali ya ccm mpya atakuwa yuleyule tuliyemzoea aua atabadilika kama wengine?
Duh hii infaa kuingia Guinness book of record.Wanapoingia ccm kuna kipengele kwenye JD(job description) yao kinachosema akili zako zote ziache huko huko ulikotoka akili utapewa ukifika ofisini kwenye ofisi yako mpya
Imeishaingia kwenye toleo la Hivi karibuni mimi ndiyo nimeikuta hukoDuh hii infaa kuingia Guinness book of record.
Hongera mkuu kwa kubukua.Imeishaingia kwenye toleo la Hivi karibuni mimi ndiyo nimeikuta huko
Akili zake ameziacha getini, atazipitia akitumbiliwa.Huyo kaenda kuzalilishwa tu.
AKIJENGAHOJA ANATUMBULIWA MTARBAN. HE CAN NOT AND HE WILL NOT DARE!
Pole iwapo hata dhana ndogo unashindwa kuielewa.Standard measure ni kukubali kujitoa ufahamu na akili na kukubali kuwekewa akili za kiccm
Mchagasikutaka kuuliza chochote ila nimejikuta tu nauliza Sengerema Kuna makabila tofauti je! Ni msukuma?
Mkuu katika ubora wako.ni mzaliwa na mkazi wa wilaya ya sengerema mtaa wa misheni almaarufu soweto mkoani mwanza akiwa mtoto wa kwanza katika familia..amesoma huko huko mwanza na baadae alijiunga na masomo ya juu akisomea upadre pale kipalapala tabora lakini hakufikia azma hiyo baada ya kufukuzwa darasa zima kwa kile kilichodaiwa kugoma kuosha sahani za kulia chakula( walikuwa wakimaliza kula utaratibu uliokuwepo walikuwa hawaoshi sahan walizolia na wapishi ndio walifanya kazi hiyo) askofu akampa maelekezo baba gombera awaambie vijana wawe wanaosha sahan zao wenyewe..baba gombera(rector) alipowambia wakagoma na hivyo kufukuzwa darasa zima...
badae alijiunga UDSM akasoma sheria na amefanya kazi mashirkka kibao ya kimataifa kabla hajajiunga na St Augustine.ni mtendaji mzuri sana na very charismatic..anao ndugu zake na wadogo zake kama Denis Sebugwao (nae mwanasheria) na mwingine ni padre huko katika jimbo la geita..ameoa na ana watoto
umesahau sifa moja.Hahaha nyie ndio hamumuelewi mkuu wetu, yeye anachitaka uwe na PhD tu, siyo uwe mtendaji mzuri au sijui mchapakazi.
Ingekuwa mapenzi yake hata ma DC wote walipaswa kuwa na PhD tu hata kama ni za kusokita bangi.