Bwana Mapesa
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 2,551
- 1,777
Mmesahau kuhusu Totoz tuu..anapenda watoto kwa kweli na kujisifia ,niwe muwazi tuuNaomba kujua wasifu wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali(AG).
=======
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmesahau kuhusu Totoz tuu..anapenda watoto kwa kweli na kujisifia ,niwe muwazi tuuNaomba kujua wasifu wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali(AG).
=======
Ukiacha suala la roho nzuri kwa wanafunzi na walimu wenzake ni sifa gani za ziada za kiutendaji unaweza kutuelezea?Huyu jamaa namfahamu kama mtu mwenye roho nzuri kutokana na jinsi alivyokuwa anaishi VIZURI na malecturer wenzake na wanafunzi wa sheria pale SAUT.
Sijashangaa yeye kupata nafasi hiyo maana wengi aliowasaidia walimuombea mema.
Anatokea kolomije, kaoa mchaga wa romboNaomba kujua wasifu wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali(AG).
=======
Kwani watu wote wanaoishi Mwanza na wilaya zake ni wasukuma?Kumbe naye ngosha
Ongezea hapo na yule Rioba wa TBCMleta mada naona umekuja kichokozi kweli.. Nikuulize hivi..
Unawafahamu watu hawa kabla ya teuzi zao??
1. H. Polepole
2. K. Mkumbo
3. A. Mghwira
4. P. Kabudi
5. A. Msando
Umepata majibu.. Sasa ebu rudia tena swali lako..
Hahaha maharamia wakiteka mtaa rooters ni wafuasi wao. Wananchi mnakuwa chini ya ulinzi mpaka majambazi yaondoke. Vumilia yakitosheka yataondoka wananchi tutabaki huru na tutaendelea na maisha yetu.umesahau sifa moja.
Uwe unatokea kanda ya nyonyo
Ukisoma maelezo ya aina hii unaweza ukadhani tumepata bonge la genius, kumbe lugha tu na kujipamba. Mara director, mara country adviser, mara bhla-bhla! Je si ni huyu aliyelaani kuzuiya makinikia? au tumemsahau ni mwingine?ni mzaliwa na mkazi wa wilaya ya sengerema mtaa wa misheni almaarufu soweto mkoani mwanza akiwa mtoto wa kwanza katika familia..amesoma huko huko mwanza na baadae alijiunga na masomo ya juu akisomea upadre pale kipalapala tabora lakini hakufikia azma hiyo baada ya kufukuzwa darasa zima kwa kile kilichodaiwa kugoma kuosha sahani za kulia chakula( walikuwa wakimaliza kula utaratibu uliokuwepo walikuwa hawaoshi sahan walizolia na wapishi ndio walifanya kazi hiyo) askofu akampa maelekezo baba gombera awaambie vijana wawe wanaosha sahan zao wenyewe..baba gombera(rector) alipowambia wakagoma na hivyo kufukuzwa darasa zima...
badae alijiunga UDSM akasoma sheria na amefanya kazi mashirkka kibao ya kimataifa kabla hajajiunga na St Augustine.ni mtendaji mzuri sana na very charismatic..anao ndugu zake na wadogo zake kama Denis Sebugwao (nae mwanasheria) na mwingine ni padre huko katika jimbo la geita..ameoa na ana watoto
Naona vetting yake ilipita kwenye desk lakoni mzaliwa na mkazi wa wilaya ya sengerema mtaa wa misheni almaarufu soweto mkoani mwanza akiwa mtoto wa kwanza katika familia..amesoma huko huko mwanza na baadae alijiunga na masomo ya juu akisomea upadre pale kipalapala tabora lakini hakufikia azma hiyo baada ya kufukuzwa darasa zima kwa kile kilichodaiwa kugoma kuosha sahani za kulia chakula( walikuwa wakimaliza kula utaratibu uliokuwepo walikuwa hawaoshi sahan walizolia na wapishi ndio walifanya kazi hiyo) askofu akampa maelekezo baba gombera awaambie vijana wawe wanaosha sahan zao wenyewe..baba gombera(rector) alipowambia wakagoma na hivyo kufukuzwa darasa zima...
badae alijiunga UDSM akasoma sheria na amefanya kazi mashirkka kibao ya kimataifa kabla hajajiunga na St Augustine.ni mtendaji mzuri sana na very charismatic..anao ndugu zake na wadogo zake kama Denis Sebugwao (nae mwanasheria) na mwingine ni padre huko katika jimbo la geita..ameoa na ana watoto
Sebugwao huyu wa mgodi wa serikali kule biharamulo? Stamico?ni mzaliwa na mkazi wa wilaya ya sengerema mtaa wa misheni almaarufu soweto mkoani mwanza akiwa mtoto wa kwanza katika familia..amesoma huko huko mwanza na baadae alijiunga na masomo ya juu akisomea upadre pale kipalapala tabora lakini hakufikia azma hiyo baada ya kufukuzwa darasa zima kwa kile kilichodaiwa kugoma kuosha sahani za kulia chakula( walikuwa wakimaliza kula utaratibu uliokuwepo walikuwa hawaoshi sahan walizolia na wapishi ndio walifanya kazi hiyo) askofu akampa maelekezo baba gombera awaambie vijana wawe wanaosha sahan zao wenyewe..baba gombera(rector) alipowambia wakagoma na hivyo kufukuzwa darasa zima...
badae alijiunga UDSM akasoma sheria na amefanya kazi mashirkka kibao ya kimataifa kabla hajajiunga na St Augustine.ni mtendaji mzuri sana na very charismatic..anao ndugu zake na wadogo zake kama Denis Sebugwao (nae mwanasheria) na mwingine ni padre huko katika jimbo la geita..ameoa na ana watoto
Profile kubwa ila wakishagaingia kwenye system ya gavumenti wanapotea
Sebugwao huyu wa mgodi wa serikali kule biharamulo? Stamico?
Wacha kukariri mkuu.
Ajaanza ata kufanya kazi ushatabiri atafeli, sema ulitaka apewe nani?
akalete bombadia kwanza ndio tuone kweli tumepata mwanasheria mkuu!
ha ha haaa... Duh... Poa mkuu ila..Swali hili limepata jibu!
"KWELI TUMEPATA MWANASHERIA MKUU"
Mkuu heshima kwako, naona ACT wazalendo wamefukua handaki wanapeleka kwa Pilatohuyu ni human right activict mmoja hivi, haijui vizuri ofisi ya AG na ninamuonea huruma sana kwasababu atapata shida mno kwenye utendaji. mkuu anakosea kuwateua watu kushika nyadhifa maeneo ambayo hawana practice nayo. shida itampata kwenye kujibu maswali bungeni, hakika atapata shida sana, atatakiwa kusoma sana sana la sivyo kitakuwa kichekesho.
angalia CV yake humo ukurasa wa 63 uone kama anastahili hata kuwa mtumishi wa nafasi hiyo.Mkuu heshima kwako, naona ACT wazalendo wamefukua handaki wanapeleka kwa Pilato
huyu ni human right activict mmoja hivi, haijui vizuri ofisi ya AG na ninamuonea huruma sana kwasababu atapata shida mno kwenye utendaji. mkuu anakosea kuwateua watu kushika nyadhifa maeneo ambayo hawana practice nayo. shida itampata kwenye kujibu maswali bungeni, hakika atapata shida sana, atatakiwa kusoma sana sana la sivyo kitakuwa kichekesho.
Shikamoo mkuuKwa vyovyote vile lazma anatokea ziwani