Ufahamu wasifu wa Mwanasheria Mkuu mpya wa Serikali, Dkt. Adelardus Kilangi

Wanapoingia ccm kuna kipengele kwenye JD(job description) yao kinachosema akili zako zote ziache huko huko ulikotoka akili utapewa ukifika ofisini kwenye ofisi yako mpya
 
Umetumia kipimo gani kuonesha/thibitisha kuwa hao uliowataja wamepungukiwa kwenye mental competences zao?
Wewe angalia utendaji wa jaji mutungi au lubuva ndiyo utajua kuwa ccm huwa wanatoa akili za wasomi wanaweka akili za kiccm
 
Wewe angalia utendaji wa jaji mutungi au lubuva ndiyo utajua kuwa ccm huwa wanatoa akili za wasomi wanaweka akili za kiccm
umeulizwa standard measure/measuring criteria ulizotumia, jibu, siyo kuleta bujbuj hapa.
 
P
!
!
Kuvua akili is a must ukiteuliwa.
Utakuwa kila siku unatoa ufafanuzi kwa waliomuelewa vibaya
Ilani ni kama weed.....unasema then hueleweki, then unatolea ufafanuzi usioeleweka.

Kama vile...Uchangiaji elimu ni marufuku........then oooh hamkutuelewa, tulimaanisha wazazi wakitaka wachangie. hahahahhaaa
 
AKIJENGAHOJA ANATUMBULIWA MTARBAN. HE CAN NOT AND HE WILL NOT DARE!
 
Mtoa hoja umekua too specific kw ccm sana lakn hyo point of concentration ipo kote even outside political arenas.... Assume una kampuni je mfanyakaz wako utakubal awe n mising yake tofaut n yako?? Lakn pia mataifa makubwa kama USA under Trump we Witness the same!!! Also in ancient times this was too.... Look on Athens en Roman political admnistration by then.... So don't jugde it as if limeanza Leo hapa kwetu..!!!!so kuna means Ya kuendeleza mising hyo ukilazimika kufuata mising y mtu. ..taasisi n pia serikal etc.... Pia.... Hii kwenye management en administration ipo imezumgumzwa
 
Mleta mada naona umekuja kichokozi kweli.. Nikuulize hivi..
Unawafahamu watu hawa kabla ya teuzi zao??
1. H. Polepole
2. K. Mkumbo
3. A. Mghwira
4. P. Kabudi
5. A. Msando

Umepata majibu.. Sasa ebu rudia tena swali lako..
 
Mkuu katika ubora wako.
Umeadimika sana
 
Hahaha nyie ndio hamumuelewi mkuu wetu, yeye anachitaka uwe na PhD tu, siyo uwe mtendaji mzuri au sijui mchapakazi.
Ingekuwa mapenzi yake hata ma DC wote walipaswa kuwa na PhD tu hata kama ni za kusokita bangi.
umesahau sifa moja.
Uwe unatokea kanda ya nyonyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…