Ufanyaji kazi wa viagra

Point mkuu
 
Kaja,nimepiga mbili anafosi anawai night shift,tumevutana mlangoni kanishinda nguvu,maana mashine ipo wima hadi mizizi,nguvu za juu zote zimehamia chini! Nasubiri ilale nikabugie maji baridi kupunguza ,hatari aisee
Iwekee barafu....pole sana kamanda
Kwanini umemnywea? Ni mpya, kala hela zako au shida nini??!
 
Kama ulimeza NJOI unapaswa ubalishe
,
Ni Viagra ya Bei rahisi sokoni yenye ubora hafifu mno ili kumudu soko ushindani.

Kwa beginners hata Kama uchumi hauruhusu sn, angalau uanze na ERECTO.

Hayo matakataka ya NJOI yanatenezwa hapo GONGO LA MBOTO na waswahili wenzetu Changamoto Sana.

Wengi wanalalamika
 
Namie naweza kutumia Erecto? nataka nitoe kama angela white
 
Ni bahati mbaya icho kisungura mimi sikijui. Lakini moja ya side effect ya viagra ni kulower blood pressure, sasa kwa hali ya kawaida tu isingaliwezekana apewe vitu vya kupunguza zaidi presha ya damu yake akati ishashuka na ipo chini sababu ya viagra aliotumia.

Afu priton inauwezo wa kuongeza blood pressure na sio kushusha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…