Ufanyike mdahalo (Debate) kumaliza utata kuhusu Bandari

Ufanyike mdahalo (Debate) kumaliza utata kuhusu Bandari

Debate ndo itakuletea maendeleo?

Tatizo Watanzania mnaoenda sana kupiga mdomo alafu kazi zero.

Hakuna cha debate wala nini. Uwekezaji uendelee maana tumechelewa sana na muda hauko upande wetu
Unawahi wapi ndugu,

Sie hatuna haraka,

Tumestuka, safari hiyo, mbeleni itatupeleka kuzimu.!!!

Pia ulijinadi ni mwanasheria NGULI,

Njoo live tupambane Kwa HOJA!!!!🔥
 
Debate ndo itakuletea maendeleo?

Tatizo Watanzania mnaoenda sana kupiga mdomo alafu kazi zero.

Hakuna cha debate wala nini. Uwekezaji uendelee maana tumechelewa sana na muda hauko upande wetu
We jamaa mbona mpumbavu sana, huoni debate inaweza kuleta matokeo mazuri! Au unaogopa ukiamini wazi upande wako utashindwa?
Watu kama wewe ni sijui akili huwa mnaweka wapi linapokuja swala la maslahi ya nchi. Pumbavu sana.😈
 
Back
Top Bottom