Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Mwamanaume mmoja huko Ufaransa amefungwa miaka 20 kwa kosa la kumbaka aliyekuwa mkewe na kualika wanaume wengine 50 kumbaka mkewe kwa muda wa miaka 10.
Mwanaume huyo aliyefahamika kwa jina la Dominique Pelicot alikuwa anambaka mkewe Giselle Pelicot (Mrs) baada ya kumpa dawa za usingizi kwa kipindi cha miaka 10 mfululizo.
Pia Dominique akaanza kuwaalika wanaume wengine kuja kumbaka mkewe akiwa hajitambui na kuchukua picha za video wakati mkewe akibakwa na yeye mwenyewe alijichukua video wakati akimbaka mkewe akiwa hajitambui.
Mwanaume huyo aliyefahamika kwa jina la Dominique Pelicot alikuwa anambaka mkewe Giselle Pelicot (Mrs) baada ya kumpa dawa za usingizi kwa kipindi cha miaka 10 mfululizo.
Pia Dominique akaanza kuwaalika wanaume wengine kuja kumbaka mkewe akiwa hajitambui na kuchukua picha za video wakati mkewe akibakwa na yeye mwenyewe alijichukua video wakati akimbaka mkewe akiwa hajitambui.