Ufaransa: Afungwa miaka 20 Kwa kumbaka mkewe na kualika wanaume wengine 50 wambake mkewe

Ufaransa: Afungwa miaka 20 Kwa kumbaka mkewe na kualika wanaume wengine 50 wambake mkewe

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Mwamanaume mmoja huko Ufaransa amefungwa miaka 20 kwa kosa la kumbaka aliyekuwa mkewe na kualika wanaume wengine 50 kumbaka mkewe kwa muda wa miaka 10.

Mwanaume huyo aliyefahamika kwa jina la Dominique Pelicot alikuwa anambaka mkewe Giselle Pelicot (Mrs) baada ya kumpa dawa za usingizi kwa kipindi cha miaka 10 mfululizo.

Pia Dominique akaanza kuwaalika wanaume wengine kuja kumbaka mkewe akiwa hajitambui na kuchukua picha za video wakati mkewe akibakwa na yeye mwenyewe alijichukua video wakati akimbaka mkewe akiwa hajitambui.
 
Mwamanaume mmoja huko Ufaransa amefungwa miaka 20 kwa kosa la kumbaka aliyekuwa mkewe na kualika wanaume wengine 50 kumbaka mkewe kwa muda wa miaka 10.

Mwanaume huyo aliyefahamika kwa jina la Dominique Pelicot alikuwa anambaka mkewe Giselle Pelicot (Mrs) baada ya kumpa dawa za usingizi kwa kipindi cha miaka 10 mfululizo.

Pia Dominique akaanza kuwaalika wanaume wengine kuja kumbaka mkewe akiwa hajitambui na kuchukua picha za video wakati mkewe akibakwa na yeye mwenyewe alijichukua video wakati akimbaka mkewe akiwa hajitambui.
Ugonjwa wa akili huo
 
Mwamanaume mmoja huko Ufaransa amefungwa miaka 20 kwa kosa la kumbaka aliyekuwa mkewe na kualika wanaume wengine 50 kumbaka mkewe kwa muda wa miaka 10.

Mwanaume huyo aliyefahamika kwa jina la Dominique Pelicot alikuwa anambaka mkewe Giselle Pelicot (Mrs) baada ya kumpa dawa za usingizi kwa kipindi cha miaka 10 mfululizo.

Pia Dominique akaanza kuwaalika wanaume wengine kuja kumbaka mkewe akiwa hajitambui na kuchukua picha za video wakati mkewe akibakwa na yeye mwenyewe alijichukua video wakati akimbaka mkewe akiwa hajitambui.
Hii kesi nimeiona, na kulikuwa na maandamano kabisa ya kumuunga mkono huyo mama.
Inasikitisha.
 
Hii kesi nimeiona, na kulikuwa na maandamano kabisa ya kumuunga mkono huyo mama.
Inasikitisha.
Kabisa..

Jamaa alikamatwa baada ya kukutwa akichukua Kwa Siri kwa kutumia simu yake, picha ya ndani ya sketi ya Binti mmoja ndani ya Supermarket.

Alipopekuliwa simu yake, laptop na vifaa vingine vya kielectronik ndipo picha za mkewe akibakwa zikagundulika.
 
Hii ni habari ya kutisha na ya kusikitisha.

Dawa za usingizi na za kufanya mtu aathirike kimwili na kihisia kwa miaka 10? Hatari ⚠️

Huu ni uhalifu mkubwa, na ni muhimu wahusika kuwajibika kwa vitendo vyao.
 
Hii ni habari ya kutisha na ya kusikitisha.

Dawa za usingizi na za kufanya mtu aathirike kimwili na kihisia kwa miaka 10? Hatari ⚠️

Huu ni uhalifu mkubwa, na ni muhimu wahusika kuwajibika kwa vitendo vyao.
Ndiyo jamaa kafungwa miaka 20 yeye na wenzake.

Kilichoshangaza watu ni kuwa kundi hilo la wabakaji halitokani na watu wa aina Moja ya jamii au umri.

Ni watu wenye historia tofauti tofauti.
 
Ndiyo jamaa kafungwa miaka 20 yeye na wenzake.

Kilichoshangaza watu ni kuwa kundi hilo la wabakaji halitokani na watu wa aina Moja ya jamii au umri.

Ni watu wenye historia tofauti tofauti.
Alikuwa anaalika watu kupitia mitandao
Hii mitandao ni mibaya sana
Aibu waliowapelekea familia zao kwa ujinga wao na tamaa
Kuna watu wana enjoy kubaka can you believe that
 
Mwamanaume mmoja huko Ufaransa amefungwa miaka 20 kwa kosa la kumbaka aliyekuwa mkewe na kualika wanaume wengine 50 kumbaka mkewe kwa muda wa miaka 10.

Mwanaume huyo aliyefahamika kwa jina la Dominique Pelicot alikuwa anambaka mkewe Giselle Pelicot (Mrs) baada ya kumpa dawa za usingizi kwa kipindi cha miaka 10 mfululizo.

Pia Dominique akaanza kuwaalika wanaume wengine kuja kumbaka mkewe akiwa hajitambui na kuchukua picha za video wakati mkewe akibakwa na yeye mwenyewe alijichukua video wakati akimbaka mkewe akiwa hajitambui.
Kesi imekuwa kwenye vyombo vya habari kwa muda mrefu hii. Nashangaa Bongo wanavyopenda mambo kama haya ni kwanini hawakuishikia bango.
 
Back
Top Bottom