macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Unajua maana ya neno ''mke''?Sio mke wake; alimuoa kwa Malengo hayo, so hatuwezi kusema ni mke!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua maana ya neno ''mke''?Sio mke wake; alimuoa kwa Malengo hayo, so hatuwezi kusema ni mke!
Jamaa alikuwa anakutana nao kwenye internet kwa ku-chat. Hivyo ni kama alikuwa anakuambia hali halisi, ukikubali unapewa masharti ya jinsi ya kwenda kwake na kufanya huo unyama. Na amefanya kwa muda mrefu kweli, zaidi ya miaka kumi. Na wala asingegundulika ila alishikwa shopping center anamrekodi mwanamke mwingine clip ya video kwa kuweka simu chini ya miguu yake ili anase sehemu za ndani ya gauni. Polisi walipoenda kufanya search nyumbani kwake ndiyo wakakutana na hizo clips nyingi za mke wake alizorekodi. Wanaume 50 ndiyo waliweza kujulikana na kufuatilia mawasiliano yake na ´clips alizorekodi. Wengine kama 20 hivi hawajatambulikana. Kweli duniani kuna mambo. Wakati sisi wengine mpenzi wetu akipitiwa na hata mwanamme mmoja tu tunatoa talaka, yeye anatafuta watu wa kumfanyia unyama. Nadhani huu ni ugonjwa mbaya sana.Ndiyo jamaa kafungwa miaka 20 yeye na wenzake.
Kilichoshangaza watu ni kuwa kundi hilo la wabakaji halitokani na watu wa aina Moja ya jamii au umri.
Ni watu wenye historia tofauti tofauti.
Unajua maana ya neno ''mke''?
Akili zako unazielewa mwenyewe.Najua, na nasema sio mke wake
duh hii ni balaa sasaMwamanaume mmoja huko Ufaransa amefungwa miaka 20 kwa kosa la kumbaka aliyekuwa mkewe na kualika wanaume wengine 50 kumbaka mkewe kwa muda wa miaka 10.
Mwanaume huyo aliyefahamika kwa jina la Dominique Pelicot alikuwa anambaka mkewe Giselle Pelicot (Mrs) baada ya kumpa dawa za usingizi kwa kipindi cha miaka 10 mfululizo.
Pia Dominique akaanza kuwaalika wanaume wengine kuja kumbaka mkewe akiwa hajitambui na kuchukua picha za video wakati mkewe akibakwa na yeye mwenyewe alijichukua video wakati akimbaka mkewe akiwa hajitambui.
Kwa sababu Baltazar Engongo hajapata mpinzani ndiyo maana hii imepowaaKesi imekuwa kwenye vyombo vya habari kwa muda mrefu hii. Nashangaa Bongo wanavyopenda mambo kama haya ni kwanini hawakuishikia bango.
Akili zako unazielewa mwenyewe.
Mke hapimwi kwa lengo la kuoa au unamfanyia nini wakati wa ndoa. Huyu ni mke wake ila alikuwa anamfanyia unyama.Amefanya hivyo vitendo kwa miaka 10 na ameishi naye kwenye ndoa Kwa miaka 10, ina maana lengo la kumuoa ni hovyo vitendo; kwa hiyo sio mke
Mke hapimwi kwa lengo la kuoa au unamfanyia nini wakati wa ndoa. Huyu ni mke wake ila alikuwa anamfanyia unyama.
Hata huko Ufaransa kwenyewe mwanzoni haikushikiwa bango.Kesi imekuwa kwenye vyombo vya habari kwa muda mrefu hii. Nashangaa Bongo wanavyopenda mambo kama haya ni kwanini hawakuishikia bango.
Ndio.Huko si ndio tunaambiwa kwenye wastaarabu, mabingwa wa democrasia, walioelimika nk
Na wajukuu piaNi mkewe, na watoto wapo
Democrasia ni mfumo tu, haimaanishi hakutokuwa na wahalifu. Wahalifu wako kila kona kila jamiiHuko si ndio tunaambiwa kwenye wastaarabu, mabingwa wa democrasia, walioelimika nk
Siyo mabhangi kweli hayo?Mwamanaume mmoja huko Ufaransa amefungwa miaka 20 kwa kosa la kumbaka aliyekuwa mkewe na kualika wanaume wengine 50 kumbaka mkewe kwa muda wa miaka 10.
Mwanaume huyo aliyefahamika kwa jina la Dominique Pelicot alikuwa anambaka mkewe Giselle Pelicot (Mrs) baada ya kumpa dawa za usingizi kwa kipindi cha miaka 10 mfululizo.
Pia Dominique akaanza kuwaalika wanaume wengine kuja kumbaka mkewe akiwa hajitambui na kuchukua picha za video wakati mkewe akibakwa na yeye mwenyewe alijichukua video wakati akimbaka mkewe akiwa hajitambui.