Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi nimeiona aljazeera leo mchana japo sikuizingatia sana. Kumbe ilikuwa viral na hot news hivi?Hii kesi nimeiona, na kulikuwa na maandamano kabisa ya kumuunga mkono huyo mama.
Inasikitisha.
au kama alivyofanywa king louis wa 16Kwa ukatili waliofanya ilipaswa wanyonge mbele ya hadhara
Al Jazeera hawajairipoti vizuri, Sky News ndio nimeangalia asubuhi hadi walionesha hukumu live.Hata mimi nimeiona aljazeera leo mchana japo sikuizingatia sana. Kumbe ilikuwa viral na hot news hivi?
Hata kwenye familia iliyostaarabika na kujaa wasomi kuna uwezekano wa kuwepo one or more than one black sheep of the family.Huko si ndio tunaambiwa kwenye wastaarabu, mabingwa wa democrasia, walioelimika nk
Tuliza futa ilo Dunia iko mbioKuna watu wakatili sana aisee
💯✔️Ndio.
Au unadhani hao watu 50 ndio pekee wanaoishi huko? Au ulipoambiwa Kuna ustaarabu, demokrasia na elimu Bora basi ukajua ni kwa 100% na hakuna udhaifu hata kidogo? Huoni kuna walioandamana kumsapoti huyo mama na hatua zikachukuliwa?
Njoo huku shithole sasa:
Polisi ndiye anaagiza wahuni wakabake na hachukuliwi hatua yoyote, na ni 'wananzengo' wachache sana wanaoguswa na kupaza sauti kulaani na kutaka haki itendeke.
Utekaji unafanyika mchana kweupe huku 'wananzengo' wakishangaa kama nyumbu, mateka wanateswa wakiwa vituo vya polisi na baadaye kutupwa maporini wakiwa aidha wamekufa au wapo mahututi, na hakuna hatua yoyote inayochukuliwa.
Mtu anapigwa risasi mchana kweupe katika eneo lenye ulinzi wa serikali 24/7 huku CCTV camera za serikali zikimulika, lakini kabla ya tukio ulinzi unaondolewa, camera zinaondolewa baada ya tukio na hakuna uchunguzi wowote unaofanyika!
Viongozi wa vyama pinzani wanaohubiri na kuact kupambania demokrasia hawataki upinzani kwenye nafasi zao, bado hujaja kwenye vituko vya dola kwenye chaguzi katika kukibeba chama twawala kishinde kwa 100/99.9% dhidi ya vyama pinzani.
Ya kufanyaje,. Na kwa kipi hasa?Na wewe zamu yako itafika tu
Wameishia kwa miaka 50 ndiyo unasema siyo mke?Sio mke wake; alimuoa kwa Malengo hayo, so hatuwezi kusema ni mke!
Mwanamke mahakamani amesema kuna wakati alikuwa akizinduka usingizini alikuwa anajisikia kama ametoka kujifunguaam i missing somethng here?
kwa hyo huyo mwanamke baada ya kutoka kwenye hzo dawa baada ya kubakwa alikuwa hajihisi kitu/tofauti kwenye mwili wake (to be precise kwenye sehemu zake za siri)?
Hii stori watu wanaiangalia kama hadithi tu. Hebu fikiria awe ni mama au bibi yako na baba au Babu yako ndiyo kafanya huo uahalfu. Wazia utakavyojisikia.Mwanamke mahakamani amesema kuna wakati alikuwa akizinduka usingizini alikuwa anajisikia kama ametoka kujifungua