Ufaransa: Afungwa miaka 20 Kwa kumbaka mkewe na kualika wanaume wengine 50 wambake mkewe

Ufaransa: Afungwa miaka 20 Kwa kumbaka mkewe na kualika wanaume wengine 50 wambake mkewe

Ndio.

Au unadhani hao watu 50 ndio pekee wanaoishi huko? Au ulipoambiwa Kuna ustaarabu, demokrasia na elimu Bora basi ukajua ni kwa 100% na hakuna udhaifu hata kidogo? Huoni kuna walioandamana kumsapoti huyo mama na hatua zikachukuliwa?

Njoo huku shithole sasa:

Polisi ndiye anaagiza wahuni wakabake na hachukuliwi hatua yoyote, na ni 'wananzengo' wachache sana wanaoguswa na kupaza sauti kulaani na kutaka haki itendeke.

Utekaji unafanyika mchana kweupe huku 'wananzengo' wakishangaa kama nyumbu, mateka wanateswa wakiwa vituo vya polisi na baadaye kutupwa maporini wakiwa aidha wamekufa au wapo mahututi, na hakuna hatua yoyote inayochukuliwa.

Mtu anapigwa risasi mchana kweupe katika eneo lenye ulinzi wa serikali 24/7 huku CCTV camera za serikali zikimulika, lakini kabla ya tukio ulinzi unaondolewa, camera zinaondolewa baada ya tukio na hakuna uchunguzi wowote unaofanyika!

Viongozi wa vyama pinzani wanaohubiri na kuact kupambania demokrasia hawataki upinzani kwenye nafasi zao, bado hujaja kwenye vituko vya dola kwenye chaguzi katika kukibeba chama twawala kishinde kwa 100/99.9% dhidi ya vyama pinzani.
💯✔️
 
am i missing somethng here?

kwa hyo huyo mwanamke baada ya kutoka kwenye hzo dawa baada ya kubakwa alikuwa hajihisi kitu/tofauti kwenye mwili wake (to be precise kwenye sehemu zake za siri)?
Mwanamke mahakamani amesema kuna wakati alikuwa akizinduka usingizini alikuwa anajisikia kama ametoka kujifungua
 
Mwanamke mahakamani amesema kuna wakati alikuwa akizinduka usingizini alikuwa anajisikia kama ametoka kujifungua
Hii stori watu wanaiangalia kama hadithi tu. Hebu fikiria awe ni mama au bibi yako na baba au Babu yako ndiyo kafanya huo uahalfu. Wazia utakavyojisikia.

Halafu mmojawapo wa hao wabakaji uwe unamfahamu
 
Back
Top Bottom