Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wakuu,
Abiria 400 wa Treni nchini Ufaransa wamenusurika kifo baada ya dereva wa Treni kujirusha huku treni ikiwa kwenye mwendo kasi siku ya December 25,2024
.
Mamlaka ya reli Ufaransa imesema kuwa Dereva huyo aliyefahamika kwa jina la Bruno Rejony (52) mwenye uzoefu wa muda mrefu kwenye udereva wa Treni alitimiza dhamira yake ya kujiua na mwili wake uligundulika masaa mawili baadae.
.
Kutokana na teknolojia ya hali ya juu ya treni hiyo ilisimama yenyewe baada ya kugundua kuwa dereva hayupo kwenye kiti chake. Tukio hili lilisababisha kuchelewa kwa safari nyingi za Treni Jijini Paris siku ya Christmas
========================================================
More than 400 train passengers avoided harm on Christmas Eve after a driver jumped from the cab, leaving the train unmanned, the company says.
French national railway company SCNF told PEOPLE in a statement that the incident occurred on a high-speed line around 8 p.m. local time on Christmas Eve in the Seine-et-Marne region to the east of Paris when a train driver died by suicide "while the train was moving.”
“The entire railway family is in mourning and is very marked on this Christmas Day by this terrible tragedy,” SCNF added in the translated statement.
The company said that the train avoided disaster as it was equipped with a new technology called the “Automatic Standby with Downforce Control,” which checks to ensure that there's an “active” driver running the train “at all times.”
The system kicked in and safely brought the train to a stop on the tracks.
Source: People
Abiria 400 wa Treni nchini Ufaransa wamenusurika kifo baada ya dereva wa Treni kujirusha huku treni ikiwa kwenye mwendo kasi siku ya December 25,2024
.
Mamlaka ya reli Ufaransa imesema kuwa Dereva huyo aliyefahamika kwa jina la Bruno Rejony (52) mwenye uzoefu wa muda mrefu kwenye udereva wa Treni alitimiza dhamira yake ya kujiua na mwili wake uligundulika masaa mawili baadae.
.
Kutokana na teknolojia ya hali ya juu ya treni hiyo ilisimama yenyewe baada ya kugundua kuwa dereva hayupo kwenye kiti chake. Tukio hili lilisababisha kuchelewa kwa safari nyingi za Treni Jijini Paris siku ya Christmas
========================================================
More than 400 train passengers avoided harm on Christmas Eve after a driver jumped from the cab, leaving the train unmanned, the company says.
French national railway company SCNF told PEOPLE in a statement that the incident occurred on a high-speed line around 8 p.m. local time on Christmas Eve in the Seine-et-Marne region to the east of Paris when a train driver died by suicide "while the train was moving.”
“The entire railway family is in mourning and is very marked on this Christmas Day by this terrible tragedy,” SCNF added in the translated statement.
The company said that the train avoided disaster as it was equipped with a new technology called the “Automatic Standby with Downforce Control,” which checks to ensure that there's an “active” driver running the train “at all times.”
The system kicked in and safely brought the train to a stop on the tracks.
Source: People