Ufaransa: Dereva wa treni ajirusha nje wakati anaendesha, watu 400 wanusurika kufa

Ufaransa: Dereva wa treni ajirusha nje wakati anaendesha, watu 400 wanusurika kufa

Duh! I hope na SGR yetu ina similar technology ukizingatia track ni moja tu kwenda na kurudi.

It should be such that ikigundua kuna train inakuja oppositely 1km ahead automatically ikate umeme na kusimama. Otherwise, yanaweza tokea maafa yasiyo na mfano.

Ukitaka kujua yanakimbia muwe mmesimamia kupisha la upande wa pili speed yake ni balaa. TRC mtupe assurance ya hii kitu.
Emugabo
 
Wazungu washavurugwa technology imeamia Asian uchumi umeamia Asian Africa nao wanawatoa mbio wakoloni Zama aziwezi kubaki kana jana. Maisha lazima ya songe na kwengine..
 
Ndugu yangu rudia Physics yako yaani treni ya SGR i-sense kuwa treni nyingine yaja 1km isimame, unajua hii ya bongo ni 160km/hr, so ni chini ya sekunde 3 imeshamaliza km moja, worse enough kuna nyingine the opposite. Aahh wapi....!!! Ndema.
Hiyo physics umesomea Kizimkazi obviously!!

Kwani kama speed ni 160Km/H it means inatembea 2.67 Km/minute

Ambayo inatuletea 160K/H = na 160km ÷ 3600 seconds
= na 0.0444

Ambayo ni M 44.4

Kwa hiyo kwa sekunde tatu itambea M133.2
 
Kutokana na teknolojia ya hali ya juu ya treni hiyo ilisimama yenyewe baada ya kugundua kuwa dereva hayupo kwenye kiti chake. Tukio hili lilisababisha kuchelewa kwa safari nyingi za Treni Jijini Paris siku ya Christmas
Viongozi wetu wamejifunza nini kutokana na red line
 
ata SGR ipo iyo technology ya sensitivity ya dreva hakiwa hana endesha treni kipo upande wa kulia sikumbuki mda hila kina mda wake wa ku sense kama yupo au hayupo hata ikitokea kafarik hinasensi
 
ata SGR ipo iyo technology ya sensitivity ya dreva hakiwa hana endesha treni kipo upande wa kulia sikumbuki mda hila kina mda wake wa ku sense kama yupo au hayupo hata ikitokea kafarik hinasensi
Wewe raia wa nchi gani unaandika kiswahili kibaya namna hii?
 
Wakuu,

Abiria 400 wa Treni nchini Ufaransa wamenusurika kifo baada ya dereva wa Treni kujirusha huku treni ikiwa kwenye mwendo kasi siku ya December 25,2024
.
Mamlaka ya reli Ufaransa imesema kuwa Dereva huyo aliyefahamika kwa jina la Bruno Rejony (52) mwenye uzoefu wa muda mrefu kwenye udereva wa Treni alitimiza dhamira yake ya kujiua na mwili wake uligundulika masaa mawili baadae.
.
Kutokana na teknolojia ya hali ya juu ya treni hiyo ilisimama yenyewe baada ya kugundua kuwa dereva hayupo kwenye kiti chake. Tukio hili lilisababisha kuchelewa kwa safari nyingi za Treni Jijini Paris siku ya Christmas

========================================================

More than 400 train passengers avoided harm on Christmas Eve after a driver jumped from the cab, leaving the train unmanned, the company says.

French national railway company SCNF told PEOPLE in a statement that the incident occurred on a high-speed line around 8 p.m. local time on Christmas Eve in the Seine-et-Marne region to the east of Paris when a train driver died by suicide "while the train was moving.”

“The entire railway family is in mourning and is very marked on this Christmas Day by this terrible tragedy,” SCNF added in the translated statement.


The company said that the train avoided disaster as it was equipped with a new technology called the “Automatic Standby with Downforce Control,” which checks to ensure that there's an “active” driver running the train “at all times.”

The system kicked in and safely brought the train to a stop on the tracks.

Source: People
Acha kabisa! Mzungu acha achana naye!
Kwetu wote kwishnei!
 
Back
Top Bottom