Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 8,174
- 16,794
We jamaa ni muongoKwa zile bullet train za japan, dereva kuna kifaa anatakiwa kukanyaga kila ya dakika 2 hivi. Kisipokanyagwa safety measures zinakua-activated fasta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We jamaa ni muongoKwa zile bullet train za japan, dereva kuna kifaa anatakiwa kukanyaga kila ya dakika 2 hivi. Kisipokanyagwa safety measures zinakua-activated fasta
EmugaboDuh! I hope na SGR yetu ina similar technology ukizingatia track ni moja tu kwenda na kurudi.
It should be such that ikigundua kuna train inakuja oppositely 1km ahead automatically ikate umeme na kusimama. Otherwise, yanaweza tokea maafa yasiyo na mfano.
Ukitaka kujua yanakimbia muwe mmesimamia kupisha la upande wa pili speed yake ni balaa. TRC mtupe assurance ya hii kitu.
HApana mkuu, yani kila baada ya tusemw dakika mbili unakanyaga na kuachia countdown inaanza upya so jiwe halitaweza fanya kaziHiyo ya kukanyaga mbona siyo, hapo c anakuwekea jiwe aruka zake
HahahjqjqKwa treni kama za kwetu huku anatakaiwa muongozaji asiwe peke yake
Hiyo physics umesomea Kizimkazi obviously!!Ndugu yangu rudia Physics yako yaani treni ya SGR i-sense kuwa treni nyingine yaja 1km isimame, unajua hii ya bongo ni 160km/hr, so ni chini ya sekunde 3 imeshamaliza km moja, worse enough kuna nyingine the opposite. Aahh wapi....!!! Ndema.
Fatilia. " dead man's handle or switch in japanese trains"We jamaa ni muongo
Viongozi wetu wamejifunza nini kutokana na red lineKutokana na teknolojia ya hali ya juu ya treni hiyo ilisimama yenyewe baada ya kugundua kuwa dereva hayupo kwenye kiti chake. Tukio hili lilisababisha kuchelewa kwa safari nyingi za Treni Jijini Paris siku ya Christmas
Shida ya afya ya akiliJamaa alipigwa kibuti
Hapo saw nimeelewa vizuri sasaHApana mkuu, yani kila baada ya tusemw dakika mbili unakanyaga na kuachia countdown inaanza upya so jiwe halitaweza fanya kazi
Huyu itakuwa mkiristo mwenye msimamo mkali wa dini yakeHakuwa amesilimu kweli ?
Dah. Mzungu kakupa nini? Watoto wadogo tu American wanawaua watu wazima kwa risasi mbele ya Umati wa watu, umesikia Africa case kama hizo?Mzungu afi kibwege ivo
Wasiwasi wenu tu CCM tuko makini na maisha ya mtanzaniaViongozi wetu wamejifunza nini kutokana na red line
Wee jamaa wewe, unataka kuchafua hali ya hewa.Hakuwa amesilimu kweli ?
Wewe raia wa nchi gani unaandika kiswahili kibaya namna hii?ata SGR ipo iyo technology ya sensitivity ya dreva hakiwa hana endesha treni kipo upande wa kulia sikumbuki mda hila kina mda wake wa ku sense kama yupo au hayupo hata ikitokea kafarik hinasensi
Jamani mbona sina sumu, hali ya hewa naichafuajeWee jamaa wewe, unataka kuchafua hali ya hewa.
Acha kabisa! Mzungu acha achana naye!Wakuu,
Abiria 400 wa Treni nchini Ufaransa wamenusurika kifo baada ya dereva wa Treni kujirusha huku treni ikiwa kwenye mwendo kasi siku ya December 25,2024
.
Mamlaka ya reli Ufaransa imesema kuwa Dereva huyo aliyefahamika kwa jina la Bruno Rejony (52) mwenye uzoefu wa muda mrefu kwenye udereva wa Treni alitimiza dhamira yake ya kujiua na mwili wake uligundulika masaa mawili baadae.
.
Kutokana na teknolojia ya hali ya juu ya treni hiyo ilisimama yenyewe baada ya kugundua kuwa dereva hayupo kwenye kiti chake. Tukio hili lilisababisha kuchelewa kwa safari nyingi za Treni Jijini Paris siku ya Christmas
========================================================
More than 400 train passengers avoided harm on Christmas Eve after a driver jumped from the cab, leaving the train unmanned, the company says.
French national railway company SCNF told PEOPLE in a statement that the incident occurred on a high-speed line around 8 p.m. local time on Christmas Eve in the Seine-et-Marne region to the east of Paris when a train driver died by suicide "while the train was moving.”
“The entire railway family is in mourning and is very marked on this Christmas Day by this terrible tragedy,” SCNF added in the translated statement.
The company said that the train avoided disaster as it was equipped with a new technology called the “Automatic Standby with Downforce Control,” which checks to ensure that there's an “active” driver running the train “at all times.”
The system kicked in and safely brought the train to a stop on the tracks.
Source: People