Inawezekana kwasababu hatukuwahi kuambiwa specifications and functionalities ya trains zetu. Ila litakapotokea jambo la kama huyo dereva wa ufaransa ndio tutajua kuwa na ya kwetu hiyo technology yanayo ama๐Naamini hata SGR zetu zipo hivyo, maana mmh
Inawezekana kwasababu hatukuwahi kuambiwa specifications and functionality ya trains zetu. Ila litakapotokea jambo la kama huyo dereva wa ufaransa ndio tutajua kuwa na ya kwetu hiyo technology yanayo ama๐Naamini hata SGR zetu zipo hivyo, maana mmh
Yah tena yake ni advanced kwasababu hizi za dizeli unazoziona tu za tec ya miaka hiyo hicho kitu kipo.Naamini hata SGR zetu zipo hivyo, maana mmh
Basi vizuriYah tena yake ni advanced kwasababu hizi za dizeli unazoziona tu za tec ya miaka hiyo hicho kitu kipo.
Mkuu zaidi ya watu elfu 6 kwa siku wanakufa huko uzunguni, kwanini hawazuii??Mzungu afi kibwege ivo
Haya umeshinda bibie Demi, mwisho wa mwaka sipendi kubishana๐ ๐Dereva anafahamu gari lake
Hii akina Erythromycin au msanii lazima ailaumu ccm
Kama hujui baada ya karne moja ijayo asilimia 80 ya watu duniani watakuwa wameachana kabisa na mambo ya dini, mfano mdogo tu hata hapa Tanzania watu tayari wameshaanza huo mwendo hasa hasa vijana.Sio Ufaransa tu. Hata Vatican inategemewa waislam wengi watakuwepo huko baada ya watu wengi kuujua ukweli
Shetani kawaingia itakuwa haoKama hujui baada ya karne moja ijayo asilimia 80 ya watu duniani watakuwa wameachana kabisa na mambo ya dini, mfano mdogo tu hata hapa Tanzania watu tayari wameshaanza huo mwendo hasa hasa vijana.
Kadri siku zinavyozidi kusonga ndivyo watu wanavyogundua kwamba Mungu hana dini na kwamba dini hamuingizi mtu mbinguni ila ni usanii tu wa wanadamu.
Tayari wameanza watz ku proposes theories as if wao ndo wameiunda hyo technology hamjambo kwa kujipakulia minyama haya hapa kwenu na huko kazura simba inataumika wapiMambo ya Vigilance control hayo mzee ni muda wa 60 sec tu kitu kinaanza ku alert.
Huku ndio kuvurugwaWakuu,
Abiria 400 wa Treni nchini Ufaransa wamenusurika kifo baada ya dereva wa Treni kujirusha huku treni ikiwa kwenye mwendo kasi siku ya December 25,2024
.
Mamlaka ya reli Ufaransa imesema kuwa Dereva huyo aliyefahamika kwa jina la Bruno Rejony (52) mwenye uzoefu wa muda mrefu kwenye udereva wa Treni alitimiza dhamira yake ya kujiua na mwili wake uligundulika masaa mawili baadae.
.
Kutokana na teknolojia ya hali ya juu ya treni hiyo ilisimama yenyewe baada ya kugundua kuwa dereva hayupo kwenye kiti chake. Tukio hili lilisababisha kuchelewa kwa safari nyingi za Treni Jijini Paris siku ya Christmas
========================================================
More than 400 train passengers avoided harm on Christmas Eve after a driver jumped from the cab, leaving the train unmanned, the company says.
French national railway company SCNF told PEOPLE in a statement that the incident occurred on a high-speed line around 8 p.m. local time on Christmas Eve in the Seine-et-Marne region to the east of Paris when a train driver died by suicide "while the train was moving.โ
โThe entire railway family is in mourning and is very marked on this Christmas Day by this terrible tragedy,โ SCNF added in the translated statement.
The company said that the train avoided disaster as it was equipped with a new technology called the โAutomatic Standby with Downforce Control,โ which checks to ensure that there's an โactiveโ driver running the train โat all times.โ
The system kicked in and safely brought the train to a stop on the tracks.
Source: People
Labda ccm ya chadema chama mamaAfu uyo ethromycin mbona ccm
Ipi sasa ๐๐๐๐Nami naungana nao kuilaumu CCM kushindwa kuwekwa mifumo kama hiyo hapa nchini,........
Lawama ziendelee ๐๐๐
Bro nimekaa darasani miaka 4 kwa ajili ya hilo dude acha ujuajiTayari wameanza watz ku proposes theories as if wao ndo wameiunda hyo technology hamjambo kwa kujipakulia minyama haya hapa kwenu na huko kazura simba inataumika wapi