Ni koloni lake....lile taifa la ufaransa ukianza kutafuta raia halisi wa pale ni kwa tochi....limetengenezwa na watu wa mataifa mbalimbali....Macron ameshausoma mchezo mapema tu ila ilibidi aende na upepo wa EU....yanayoendelea UN kwa mataifa almost yte kuwa against Bibi Netapaka kwa rais anayeona mbali ni lazima uhamishe magoli....maana vita vikiisha Hawa taifa teule watatumia ushawishi gani tena watu waanze kushirikiana nao....hapo middle east kwnyewe mshirika alikuwa anamtumqiniq Saudi Arabia naye ndo ndo hyo anqungana na hasimu wako Iran....utaurudisha uchumi wako kwa ushirikiano na wale jamaa wa maandishi matatu tu???...na baadhi ya vibaraka pale Ulaya???....kulipua zile pagers na electronic devices ni hesabu mbaya sana ambayo Wana wa Mungu wameifanya....kuuwa waarabu watu wanaweza wakafumbia macho ila vifaa vya kimawasiliano maana yake hakuna mtu aliye salama.....