Mnafarijiana huko mitandaoni wakati France alishasogeza majeshi yake kuungana na na UK na US.
Tofautisha kati ya kumpatia silaha na kusaidia kupambana
Netanyahu kiburi kitamuua hakiamungu huwezi kuendesha nchi kwa kutegemea usa .pekee maana vitu kutoka usa ni ghali mno tofoito na ulayaalaa kumbe!!!
ngoja tuone...we kula mihogo ya kukaanga hapo buza huku ukisema ''Israel hategemei mtu kugawa kichapo''
U.S.A atatoa support kwa Israel hadi dakika ya mwisho, kwa taarifa yako tu ni kwamba wayahudi ndo wanashikilia uchumi wa U.S.A na dunia kwa ujumla na wao ndo wanaamua ni nani awe Rais wa U.S.A na ndiyo maana hakuna hata mgombea yeyote kati ya Kamala au Trump ambaye amelaani uvamizi wa Israel kwa gaza.Netanyahu kiburi kitamuua hakiamungu huwezi kuendesha nchi kwa kutegemea usa .pekee maana vitu kutoka usa ni ghali mno tofoito na ulaya
Hapo mwishoni rekebisha sema hakuna gaidi asiyekuwa salamaNi koloni lake....lile taifa la ufaransa ukianza kutafuta raia halisi wa pale ni kwa tochi....limetengenezwa na watu wa mataifa mbalimbali....Macron ameshausoma mchezo mapema tu ila ilibidi aende na upepo wa EU....yanayoendelea UN kwa mataifa almost yte kuwa against Bibi Netapaka kwa rais anayeona mbali ni lazima uhamishe magoli....maana vita vikiisha Hawa taifa teule watatumia ushawishi gani tena watu waanze kushirikiana nao....hapo middle east kwnyewe mshirika alikuwa anamtumqiniq Saudi Arabia naye ndo ndo hyo anqungana na hasimu wako Iran....utaurudisha uchumi wako kwa ushirikiano na wale jamaa wa maandishi matatu tu???...na baadhi ya vibaraka pale Ulaya???....kulipua zile pagers na electronic devices ni hesabu mbaya sana ambayo Wana wa Mungu wameifanya....kuuwa waarabu watu wanaweza wakafumbia macho ila vifaa vya kimawasiliano maana yake hakuna mtu aliye salama.....
Macron anataka silaha wapewe HizbullahMnafarijiana huko mitandaoni wakati France alishasogeza majeshi yake kuungana na na UK na US.
Tofautisha kati ya kumpatia silaha na kusaidia kupambana
Awapelekee tu, hajakatazwa.Macron anataka silaha wapewe Hizbullah
Definition ya ugaidi ni ipi....au unatembea na upepo bwana mdgoHapo mwishoni rekebisha sema hakuna gaidi asiyekuwa salama