Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa!Kwani unalazimishwa kwenda sokoni ? utawatuma waliochanjwa wakufanyie hio service wakuletee kwako... Kama jamii wanafanya wanachodhani ni cha manufaa kwa jamii yao
Umbo la nyoka lipo ndani ya huyo mnyamaMbona unajichanganya mwenyewe mara useme ni Nyoka mara useme umbo la huyo Nyoka halieleweki.
Ni sawasawa na kusema umbo la Pundamlia huyo liko ndani Ng'ombe, au umeanza kuchanganyikiwa ndugu?Umbo la nyoka lipo ndani ya huyo mnyama
Wakati wote MUNGU ni mwemaNawasalimu kwa jina la JMT!
Tanzania kuchanja chanjo ya Corona ni swala la hiyari siyo lazima na kiukweli hili ni jambo jema.
Namuomba Mungu mwenyezi tusifikie ile hali ya nchi ya Ufaransa ambayo imewatangazia wananchi wake wasiochanja kwamba ifikapo 01/08/2021 hawataruhusiwa kununua vitu sokoni.
Mungu ni mwema wakati wote!
Kwahiyo wafe njaa au wachome chanjo? 😂😂😂 , dawa ni kumchoma chanjo hausigeli tu, inatosha; ila daah, hausigeli naye ni mtoto wa mtu, siwezi mfanyia hivyo, tutalima wenyewe 😂😂Nawasalimu kwa jina la JMT!
Tanzania kuchanja chanjo ya Corona ni swala la hiyari siyo lazima na kiukweli hili ni jambo jema.
Namuomba Mungu mwenyezi tusifikie ile hali ya nchi ya Ufaransa ambayo imewatangazia wananchi wake wasiochanja kwamba ifikapo 01/08/2021 hawataruhusiwa kununua vitu sokoni.
Mungu ni mwema wakati wote!
Hahahaaaa........!Kwahiyo wafe njaa au wachome chanjo? 😂😂😂 , dawa ni kumchoma chanjo hausigeli tu, inatosha
Hapana..hapa ni ujio wa hukumu ya mwisho..baada ya unyakuo kisha ndio atakuja waz waz kuhukumu ulimwengu..ila wakat wa unyakuo ni kimya kimyaa..mtakuwa wawil kitandani moja atatwaliwa mwingine ataachwaa..mtakuwa shamban wawil mmoja atatwaliwa mmoja ataachwa.Bado.
"Ndipo itakapoonekana ishara yake Mwana wa Adamu mbinguni; ndipo mataifa yote ya ulimwengu watakapoomboleza, nao watamwona Mwana wa Adamu akija juu ya mawingu ya mbinguni pamoja na nguvu na utukufu mwingi." Mathayo Mtakatifu 24:30
Ww jamaa mbona unakuwa mzito kuelewa ama umepewa chanjo ya covid!!???Ni sawasawa na kusema umbo la Pundamlia huyo liko ndani Ng'ombe, au umeanza kuchanganyikiwa ndugu?
Hebu nieleweshe kwa Luga nyepesi.Ww jamaa mbona unakuwa mzito kuelewa ama umepewa chanjo ya covid!!???
manake ndio mikato yanu hii ku prolong mambo unecessarilly!!!
UmeuwaNimeona na USA MZee Biden katangaza watumishi wooote wa Umma kuwa lazima wachanjwe!
Mbongo hajawahi kushindwa figisu yoyote ile wewe.....!
Muda si mrefu naanza kuuza vyeti (orijino) vya kuonyesha umechanjwa J&J, hata kama watalazimisha kutuwekea "chip" nitamwaga chanjo zao kukuchoma maji tu na chip nitakuwekea.
karibu sana pm!
Umekariri,hata tukikwambia kifo ni asili yako utapinga.sababu unaishi ndani ya box.Siku zote mshahara wa ujinga huwa ni madhara makubwa..
Katiba ipo,ama huna taarifa??Ndio hapa umuhimu wa katiba unaonekana pale mtu analala huko na kuamka kujiamulia vitu
Nani kazuia chanjo??magufuli aliishawahi kuzuia chanjo??Unawezaje kuzuia chanjo halafu kuna watu wanahitaji chanjo hiyo, ila kwa opinion zako unajiamulia kusema hapana?
Una taarifa kwamba mpaka sasa kila nchi ina vigezo vyake na aina yake ya chanjo,au hakuna kitu unaelewa??Watanzania wangapi walikua wanasafiri kwenda nje na kucheleweshwa chanjo kuliwaingiza gharama za ajabu kufanya vipimo na kukaa quarantine kwa gharama wasizotarajia?
Chanjo imeanza kutolewa mwaka gani mkuu???naona ni kama hata huelewi unachoandika.Chanjo ingekuja zamani wazee na hata waliokuwa na pre-existing comorbidities wangeokolewa?
Labda uthibitishe kwamba kila mtu alikufa kwa corona,otherways hakuna uhalali wa madai hayo.Maisha ya wangapi yalipotea sababu ya mtu mmoja asiyetaka chanjo? Madhara ya kuwaondoa wategemezi na wapendwa wa familia mbalimbali kwa maamuzi yake binafsi nani atalipa?
Hayo ni machache tu
Ww vuta picha ya nyoka mwenye mabawa na pembe + macho makali ndio mnyama mwenyewe huyoHebu nieleweshe kwa Luga nyepesi.
Hiyo hiari ni siasa tu na mtachanja mpende msipende.
Watajua wapi pa kuwabana mpaka mchanje.
Ni swala la muda tu.
Izo chapa 666 zenyewe ziliandikwa na mzungu sa sjui tunakimbia nn666 in action... Tuendeleee kujifukiza ndugu zanguni
Haya maandiko waliandika wazungu wenyeweUfunuo wa Yohana 13:17
tena kwamba mtu awaye yote asiweze kununua wala kuuza, isipokuwa ana chapa ile, yaani, jina la mnyama yule, au hesabu ya jina lake.
Sasa anapigaje mihuri wakati hana mikono ana mabawa?Ww vuta picha ya nyoka mwenye mabawa na pembe + macho makali ndio mnyama mwenyewe huyo
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Tanzania kuchanja chanjo ya Corona ni swala la hiyari siyo lazima na kiukweli hili ni jambo jema.
Namuomba Mungu mwenyezi tusifikie ile hali ya nchi ya Ufaransa ambayo imewatangazia wananchi wake wasiochanja kwamba ifikapo 01/08/2021 hawataruhusiwa kununua vitu sokoni.
Mungu ni mwema wakati wote!