Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Perfect.As longer as it is a virus, we are not safe, they can undergo mutation and become more dangerous if their arguments are based on immunity. Its sounds like these whites are not happy why Africans are not more vulnerable to Corona virus! God help us on this!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mkuu umenichekesha kweli.Miafrika mjiandae kutekwa na kupelekwa kwenye maabara yao ili wafanye tafiti kipi kilicho ndani yenu kinazuia Corona.
Wazungu hawamjui Mungu, je wachina au wairan utasemaje.hahahaha, waache wafe hao wazungu! hawamjui Mungu!
[emoji3][emoji3][emoji3]Kavipi waviongezee ukali zaidi labda vinaweza tusababishia walau pua kuwasha kwa mbaali
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushindwe na ulegee,na hawatakufa.Utatangulia na utawaacha wanadunda.
Covid-19 ni Code Name tu ya huo ugonjwa kama inavyotambuliwa na WHO na hakuna Covid-18/17/16 nk. Neno Covid haina maana yoyote semantically.Hivi kama hii corona ni 'Covid-19', je kuna Covid-1-18? Kama ndio, zilikuwaje? Halafu Covid maana yake ni nini?
Co-CoronaCovid-19 ni Code Name tu ya huo ugonjwa kama inavyotambuliwa na WHO na hakuna Covid-18/17/16 nk. Neno Covid haina maana yoyote semantically.
Nimerejea na majibu
hahah mafu hay na dalili hizo za ugonjwa huo tunaugua huku kila leo tunakunywa tangawizi na malimao ukizidiwa sana una kunywa piliton au zile za chenga chengaNiliwaamba huu ni ugonjwa wa watu weupe. Wale vijana wetu wote waliopo Wuhan hakuna hata mmoja anayeumwa.
Ni kama mdondo tu ambako kwao ni mafua ya ndege na yaliwaua sana BuT sisi tunakula hadi kibudu cha mdondo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ile kidogo ingeniuwa nikaenda hospital wakanipima wanavyo juwa wao mwisho wa siku wakaniambia huna Maleria wala UTI huna infection yoyote kwenye dam kameze paracetamol!Siyo kila vijidudu vya maradhi vinashambulia kila race. SARS iliua wachina wengi pia na sidhani pia kama kuna mwafrika alidhurika. Likewise kwa mwafrika kufa kwa mafua ni ajabu na kweli. Hata huwezi jua pengine hii corona ilishatupitia na haikupata mtu.
Yale mafua ya ajabu November December na hata Januari, huleta kichwa kuuma, misuli kuuma, mifupa kuuma, wengine waliharisha sana, mwili kukosa nguvu na wengi walidhani malaria..... ilikuwa nini? Najiuliza tu!
D=Disease.
Corona virus disease 2019Hivi kama hii corona ni 'Covid-19', je kuna Covid-1-18? Kama ndio, zilikuwaje? Halafu Covid maana yake ni nini?
I Hali ilinipata December aiseeSiyo kila vijidudu vya maradhi vinashambulia kila race. SARS iliua wachina wengi pia na sidhani pia kama kuna mwafrika alidhurika. Likewise kwa mwafrika kufa kwa mafua ni ajabu na kweli. Hata huwezi jua pengine hii corona ilishatupitia na haikupata mtu.
Yale mafua ya ajabu November December na hata Januari, huleta kichwa kuuma, misuli kuuma, mifupa kuuma, wengine waliharisha sana, mwili kukosa nguvu na wengi walidhani malaria..... ilikuwa nini? Najiuliza tu!