Danpol
JF-Expert Member
- Aug 15, 2013
- 5,727
- 8,918
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Peleka google ikusaidieMuwage mnasamalize Bhasi! Una copy na kupaste yote hayo ya nini?
Moderator pia muwe mnasaidia kutafsiri kidogo hili siyo jukwaa la kimataifa!
COVID-19
Allahumma ameen
We jamaa mkenya utakua umekaa bongo mda mrefu sana maana unamaneno kama unaishi uswahili kwetu kwa mpalangeEti wako "worried" kwa nini maambukizi ni kwa kiasi kidogo Afrika? Washindwe na walegee...
Ni gani? Mbona?[emoji3]We jamaa mkenya utakua umekaa bongo mda mrefu sana maana unamaneno kama unaishi uswahili kwetu kwa mpalange
kitochi
Jidai kula popo ndio uone kama tangawizi itamudu kitu au sijui hizo chenga chenga.hahah mafu hay na dalili hizo za ugonjwa huo tunaugua huku kila leo tunakunywa tangawizi na malimao ukizidiwa sana una kunywa piliton au zile za chenga chenga
Umechemka ni D stands for DiseaseCOVID-19
CORONA VIRUS DECEMBER 2019.
D stand for December mwezi ambao ugonjwa ulianza na kugunduliwa. Nipe loke zangu.
Du! Kuna ka ukweli aseeNiliwaamba huu ni ugonjwa wa watu weupe. Wale vijana wetu wote waliopo Wuhan hakuna hata mmoja anayeumwa.
Ni kama mdondo tu ambako kwao ni mafua ya ndege na yaliwaua sana BuT sisi tunakula hadi kibudu cha mdondo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ohohooo[emoji4]Kavipi waviongezee ukali zaidi labda vinaweza tusababishia walau pua kuwasha kwa mbaali
Sent using Jamii Forums mobile app
Covid= Corona Virus Desease na pia kuna nCovid=Novel Corona Virus Desease NI HIVYO KIONGOZIHivi kama hii corona ni 'Covid-19', je kuna Covid-1-18? Kama ndio, zilikuwaje? Halafu Covid maana yake ni nini?