Ufaransa yashangazwa kwanini virusi vya Corona haviwadhuru Waafrika

Ufaransa yashangazwa kwanini virusi vya Corona haviwadhuru Waafrika

Hivi kama hii corona ni 'Covid-19', je kuna Covid-1-18? Kama ndio, zilikuwaje? Halafu Covid maana yake ni nini?
Co - Corona
Vi - Virus
D - Disease
19 - 2019

Kwahiyo COVID - 19 ni jina la ugonjwa unaotokana na kirusi cha Corona ambalo limetungwa na shirika la Afya ulimwenguni ( WHO ) .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siyo kila vijidudu vya maradhi vinashambulia kila race. SARS iliua wachina wengi pia na sidhani pia kama kuna mwafrika alidhurika. Likewise kwa mwafrika kufa kwa mafua ni ajabu na kweli. Hata huwezi jua pengine hii corona ilishatupitia na haikupata mtu.

Yale mafua ya ajabu November December na hata Januari, huleta kichwa kuuma, misuli kuuma, mifupa kuuma, wengine waliharisha sana, mwili kukosa nguvu na wengi walidhani malaria..... ilikuwa nini? Najiuliza tu!
Mwaka gan kiongozi
 
Hahahaha, waache wafe hao wazungu! hawamjui Mungu!
Inachekesha kuona unasema hawamjui Mungu watu waliokuletea habari za huyo Mungu. Hao ni kati ya wazungu au waarabu ambao wanakufa kwa Coronavirus!
Kuna maswali mengi sana juu ya imani, huenda ndio maana inaitwa imani.
 
Hivi kama hii corona ni 'Covid-19', je kuna Covid-1-18? Kama ndio, zilikuwaje? Halafu Covid maana yake ni nini?
Hiyo 19 ni kutoka katika mwaka 2019 maana ndipo ulipokuwa detected kwa mara ya kwanza,

Ni system tu imetumika kuupatia jina maana ni ugonjwa mpya

Inshort COVID-19 stands for Corona Virus Disease-2019

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siyo kila vijidudu vya maradhi vinashambulia kila race. SARS iliua wachina wengi pia na sidhani pia kama kuna mwafrika alidhurika. Likewise kwa mwafrika kufa kwa mafua ni ajabu na kweli. Hata huwezi jua pengine hii corona ilishatupitia na haikupata mtu.

Yale mafua ya ajabu November December na hata Januari, huleta kichwa kuuma, misuli kuuma, mifupa kuuma, wengine waliharisha sana, mwili kukosa nguvu na wengi walidhani malaria..... ilikuwa nini? Najiuliza tu!
Walisema ni Dengue Fever ile..

Kiuna day Niliumwa kichwa na joto kali mwilini Mafua kipanda uso balaa... Machestkofe yalisaidia na Panador
 
Back
Top Bottom