Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
- Thread starter
-
- #21
Sisi tulisafisha jana leo walipendekeza mama yako ndiyo zamu yakeLeo zamu ya nani kusafisha kabuli hapo chato?
Basi endeleeni kusafisha na leoSisi tulisafisha jana leo walipendekeza mama yako ndiyo zamu yake
Zamu siyo yetu mwenye zamu ya leo unaye hapo ,mjuze.Basi endeleeni kusafisha na leo
Msitusumbue humu!
Sizani kama iyo pesa ni nyingi kwa hadhi ya mji kama New York, pamoja na hayo hao ni watanzania wenzetu acheni wafaidiView attachment 2193728
Hapo juu ni picha ya kikundi cha ngoma kutoka Bagamoyo walioambatana Samia huko Marekani.
Duru zinatabanaisha kila mwana kikundi ameidhinishiwa kitita cha milioni 3 kama matumizi yake awapo huko hiyo ni pamoja na gharama za hotel.
Ikumbukwe gharama zote hizo ni kwa muda wa wiki mbili.
Nb: Karibu Tanzania nchi ambayo bodaboda ukimtazama tu anawasha pikipiki [emoji1]!
Ajira humuhumu Tz, sio tunaenda kuwaajiri wazunguMbona mwendazake alikuwa anahamisha ikulu kwenda chato na watu kibaoooo....!
Acheni nongwa mwacheni mama.
Kuna wabeba box wangapi wanajua kucheza ngoma hilo dili si wangewapa diaspora tu.Sizani kama iyo pesa ni nyingi kwa hadhi ya mji kama New York, pamoja na hayo hao ni watanzania wenzetu acheni wafaidi
Uzi wa chuki na wivu huu ufutwe haraka sana unajejenga chuki tu hakuna lolote "kagame anapolipa 1.5 trillion p/a huko uingereza kila mwaka huyu ungemwitaje?View attachment 2193728
Hapo juu ni picha ya kikundi cha ngoma kutoka Bagamoyo walioambatana Samia huko Marekani.
Duru zinatabanaisha kila mwana kikundi ameidhinishiwa kitita cha milioni 3 kama matumizi yake awapo huko hiyo ni pamoja na gharama za hotel.
Ikumbukwe gharama zote hizo ni kwa muda wa wiki mbili.
Nb: Karibu Tanzania nchi ambayo bodaboda ukimtazama tu anawasha pikipiki 😄!
Hata ikiwa ni ya serekali ni pesa inayotumia kwa Mara moja tu,kwa TANGAZO KUBWA KABISA, N THEN TUNASUBIRI MATUNDA YA TANGAZO,KUMBUKA RAIS AMEPATA UWEKEZAJI WA TRILION 2.8 UNAOKUJA TANZANIA,ESTIMATE NDGUYO HAJAPATA AJIRA.Msigwa alisema sio pesa ya serikali.
Kama sio ya serikali sijui ina toka wapi?
Roya tour naifananisha na mvua za Lowassa za ThailandView attachment 2193728
Hapo juu ni picha ya kikundi cha ngoma kutoka Bagamoyo walioambatana Samia huko Marekani.
Duru zinatabanaisha kila mwana kikundi ameidhinishiwa kitita cha milioni 3 kama matumizi yake awapo huko hiyo ni pamoja na gharama za hotel.
Ikumbukwe gharama zote hizo ni kwa muda wa wiki mbili.
Nb: Karibu Tanzania nchi ambayo bodaboda ukimtazama tu anawasha pikipiki 😄!
Kama taarifa zako ni za kweli basi hiyo posho ni ndogo sana waliyopewa, sijui kama hata shopping watafanya.View attachment 2193728
Hapo juu ni picha ya kikundi cha ngoma kutoka Bagamoyo walioambatana Samia huko Marekani.
Duru zinatabanaisha kila mwana kikundi ameidhinishiwa kitita cha milioni 3 kama matumizi yake awapo huko hiyo ni pamoja na gharama za hotel...