Tetesi: Ufisadi: Inasemekana kila mwanakikundi wa ngoma kutoka Bagamoyo walioenda Marekani matumizi kwa siku ni milioni 3!

Tetesi: Ufisadi: Inasemekana kila mwanakikundi wa ngoma kutoka Bagamoyo walioenda Marekani matumizi kwa siku ni milioni 3!

View attachment 2193728

Hapo juu ni picha ya kikundi cha ngoma kutoka Bagamoyo walioambatana Samia huko Marekani.

Duru zinatabanaisha kila mwana kikundi ameidhinishiwa kitita cha milioni 3 kama matumizi yake awapo huko hiyo ni pamoja na gharama za hotel.

Ikumbukwe gharama zote hizo ni kwa muda wa wiki mbili.

Nb: Karibu Tanzania nchi ambayo bodaboda ukimtazama tu anawasha pikipiki [emoji1]!
Sizani kama iyo pesa ni nyingi kwa hadhi ya mji kama New York, pamoja na hayo hao ni watanzania wenzetu acheni wafaidi
 
Sizani kama iyo pesa ni nyingi kwa hadhi ya mji kama New York, pamoja na hayo hao ni watanzania wenzetu acheni wafaidi
Kuna wabeba box wangapi wanajua kucheza ngoma hilo dili si wangewapa diaspora tu.
 
View attachment 2193728

Hapo juu ni picha ya kikundi cha ngoma kutoka Bagamoyo walioambatana Samia huko Marekani.

Duru zinatabanaisha kila mwana kikundi ameidhinishiwa kitita cha milioni 3 kama matumizi yake awapo huko hiyo ni pamoja na gharama za hotel.

Ikumbukwe gharama zote hizo ni kwa muda wa wiki mbili.

Nb: Karibu Tanzania nchi ambayo bodaboda ukimtazama tu anawasha pikipiki 😄!
Uzi wa chuki na wivu huu ufutwe haraka sana unajejenga chuki tu hakuna lolote "kagame anapolipa 1.5 trillion p/a huko uingereza kila mwaka huyu ungemwitaje?
 
Ila mbona siwaoni wale vijana wao . naona Kama ni walimu hao
 
Msigwa alisema sio pesa ya serikali.
Kama sio ya serikali sijui ina toka wapi?
 
Msigwa alisema sio pesa ya serikali.
Kama sio ya serikali sijui ina toka wapi?
Hata ikiwa ni ya serekali ni pesa inayotumia kwa Mara moja tu,kwa TANGAZO KUBWA KABISA, N THEN TUNASUBIRI MATUNDA YA TANGAZO,KUMBUKA RAIS AMEPATA UWEKEZAJI WA TRILION 2.8 UNAOKUJA TANZANIA,ESTIMATE NDGUYO HAJAPATA AJIRA.
•Huwa nachukia baadhi ya watu kujitoa ufahamu, hasa pale unapomwona rais anajitahidi kwa dhati kuirudisha Tanzania tuliyoizoea ambayo iliwahi kuelezwa ya kwamba uharibifu wa kiuchumi uliofanya na yule jamaa ungeliigharimu Tanzania MIAKA 10,mpaka kukaa sawa,sasa mama anajaribu kufanya badala ya MIAKA 10 basi angalau itumike miwili.
 
Wewe hacha uchochezi,hapo Kuna Bilioni 7, zimetolewa na wadau Sasa unataka zitumikeje bhwana nenda kacheze Ngoma na wewe unufaike
 
View attachment 2193728

Hapo juu ni picha ya kikundi cha ngoma kutoka Bagamoyo walioambatana Samia huko Marekani.

Duru zinatabanaisha kila mwana kikundi ameidhinishiwa kitita cha milioni 3 kama matumizi yake awapo huko hiyo ni pamoja na gharama za hotel.

Ikumbukwe gharama zote hizo ni kwa muda wa wiki mbili.

Nb: Karibu Tanzania nchi ambayo bodaboda ukimtazama tu anawasha pikipiki 😄!
Roya tour naifananisha na mvua za Lowassa za Thailand
 
View attachment 2193728

Hapo juu ni picha ya kikundi cha ngoma kutoka Bagamoyo walioambatana Samia huko Marekani.

Duru zinatabanaisha kila mwana kikundi ameidhinishiwa kitita cha milioni 3 kama matumizi yake awapo huko hiyo ni pamoja na gharama za hotel...
Kama taarifa zako ni za kweli basi hiyo posho ni ndogo sana waliyopewa, sijui kama hata shopping watafanya.

Tukumbuke hiyo ni bei ya iPhone pro max moja tu, ila muhimu zaidi tuache roho za kimaskini, chuki bila sababu na roho za kishirikina.

Hivi mtu anatoka Marekani ashindwe hata kununuwa begi la kuburuza na kununulia vizawadi ndugu zake?

Huu ni zaidi ya ushirikina ni roho mbaya iliyofikia viwango vya mwisho kabisa hata ukimuangalia mtu kwa jicho unamdhuru.
 
Back
Top Bottom