Ndo apo Sasa siku samia akiondoka wanaanzisha chama chenye falsafa za SSH na kusumbua Kama wale wa umoja party
Hapo juu ni picha ya kikundi cha ngoma kutoka Bagamoyo walioambatana na Samia huko Marekani.
Duru zinatabanaisha kila mwana kikundi ameidhinishiwa kitita cha milioni 3 kila siku kama matumizi yake awapo huko hiyo ni pamoja na gharama za hotel.
Ikumbukwe gharama zote hizo ni kwa muda wa wiki mbili.
NB: Karibu Tanzania nchi ambayo bodaboda ukimtazama tu anawasha pikipiki 😄!
What is wrong with that?Cha ajabu zaidi mpiga ngoma mmoja ni afisa utamaduni wilaya fulani na kuna mkata viuno ni afisa mapato wilaya fulani
Mkapa angekuwa hai ningemuuliza "personally" wivu wa kike maana yake nini? Una tofauti gani na wivu mwingine? Kuna wivu wa kike na wa kiume?"Wivu wa kike" by The late Mkapa
Huyu mleta mada haeleweki. Kwenye Heading kaandika ni 3M kwa SIKU; kwenye maelezo hajasema kama ni kwa siku. Nashindwa kuelewa which is whichNi pesa ndogo sana hio kwa wiki mbili wamedhulumiwa sana, God forbid , its unfair kbsa Million 3 Marekani kwa wiki mbili hela mbuzi kbsa hio.
Safi Sana JF, habari za uzushi na uongo kama za mleta mada si za kuachwa tu.===
FACT CHECKED: Wasanii walioambatana na Rais kwenye Royal Tour si kweli kuwa wanalipwa kiasi hicho cha fedha kilichotajwa. Jamiiforums, inatambua kuwa wasanii wamelipwa kwa kazi na sio kwa siku. Na fedha wanayolipwa haifiki kiwango cha Tsh. milioni kwa fedha za kitanzania. Taarifa zaidi kukujia.
Acha ujinga Newyork ukilala hotel ya usd 200 ni hoteli nzuri sana na msosi na fujo zote kwa siku ni kama usd 100 kwa hiyo kwa siku usd 300 inatosha kabisa huu ni ufisadi kwa siku USD 1500? nimeishi NYC kwa hiyo najua gharama zakeMilioni tatu hizo ni dola karibia 1500 kumbuka wako jiji la new york mi naona wamewaonea sana itakua wanalala vichochoroni huko na hamna hata kula bata..