dindilichuma
JF-Expert Member
- Dec 19, 2015
- 1,736
- 2,699
Ikiwa na maana kila familia imepata zaidi ya kilo 5 za nyama.Kilo mia ng'ombe au ndama. Ngombe kuanzia 300+
Hongereni wana Chalinze kwa sherehe ya Eid.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikiwa na maana kila familia imepata zaidi ya kilo 5 za nyama.Kilo mia ng'ombe au ndama. Ngombe kuanzia 300+
Wamepigwa, utakuta wamegawa kwa familia 10-20 tu.Ikiwa na maana kila familia imepata zaidi ya kilo 5 za nyama.
Hongereni wana Chalinze kwa sherehe ya Eid.
Huo ugomvi sasa madamKuna wafadhili huwa wanatoa kama sadaka. Kinachonishangaza hiko kitambi chake, mchomoko.
wengi 130 - 200 mkuu .Kilo mia ng'ombe au ndama. Ngombe kuanzia 300+
Huo ni uzito wote.Kilo mia ng'ombe au ndama. Ngombe kuanzia 300+
Visima ni kazi ya serikali,hapo watu wametoa sadaka kwa Mungu' wao, acheni ujingani visima 10-7, vingesupport familia nyingi kuliko nyama
Sasa huo ufisadi uko wapi hapo?Ukiacha ulechango wa harusi ambapo naibu waziri Ridhiwani alichangia million 30 leo ameposti kuwa wamechinja zaidi ya Ng'ombe 1500 kwa ajili ya idi.
Chalinze hakuna maji, kumejaa umaskini hasa huko ndani ndani ,shule zipo hovyo zimejaa nyufa hakuna madarasa ila mbunge anajisifia kuchinja Ng'ombe 1500+
USSR
mungu anataka nyama sio. ila sio kuwapata watu maji safi. utabarikiwa kwa kutoa nyama nyingi kwa watu.Visima ni kazi ya serikali,hapo watu wametoa sadaka kwa Mungu' wao, acheni ujinga
uislamu kama ni kugawa nyama, y'all fools. mungu hayupo huko then.Wabongo bhana 🙌
Bc na ww gawa hiyo nyama yako
Kwahiyo kwenye hilo shamba lake ana hao ng'ombe 1,500?Sasa huo ufisadi uko wapi hapo?
Hujuwi kuwa Kikwete alipostaafu kaweka shamba la kufuga ng'ombe huko Kwake? Waturuki kila mwaka wanachinja ng'ombe na kugawa sadaka yao, mwaka huu wamempa tenda Mzee wa Msoga,
Sasa hapo ufisadi uko wapi?
Huwa mkikosa la kusema mnahororoja na kubwabwaja kama wehu.
You’re fucking asshole! That is your money. Where did he get that money? He stole it (from you).Kwani shido ni nini hiyo life yake private
WOW!Ukiacha ulechango wa harusi ambapo naibu waziri Ridhiwani alichangia million 30 leo ameposti kuwa wamechinja zaidi ya Ng'ombe 1500 kwa ajili ya idi.
Chalinze hakuna maji, kumejaa umaskini hasa huko ndani ndani ,shule zipo hovyo zimejaa nyufa hakuna madarasa ila mbunge anajisifia kuchinja Ng'ombe 1500+
USSR
Hawa wafadhili wanajuwa kula tu siku hii ya ibada?Anaposema tumechinja haimaanishi yeye binafsi ndio katoa mpunga wote,kuna watu wenye fedha zao na kwa imani yao wanatoa sadaka katika maeneo tofauti tofauti ikiwemo kwa huyo mheshimiwa
Kwahiyo tuache kuwa na mitazamo hasi