Ufisadi: Tumechinja ng 'ombe zaidi ya 1500 asema Ridhiwani Kikwete

Ufisadi: Tumechinja ng 'ombe zaidi ya 1500 asema Ridhiwani Kikwete

Ukiacha ulechango wa harusi ambapo naibu waziri Ridhiwani alichangia million 30 leo ameposti kuwa wamechinja zaidi ya Ng'ombe 1500 kwa ajili ya idi.

Chalinze hakuna maji, kumejaa umaskini hasa huko ndani ndani ,shule zipo hovyo zimejaa nyufa hakuna madarasa ila mbunge anajisifia kuchinja Ng'ombe 1500+


USSR
kwahiyo ulitaka sikukuu hii tunywe hayo maji???
 
Ukiacha ulechango wa harusi ambapo naibu waziri Ridhiwani alichangia million 30 leo ameposti kuwa wamechinja zaidi ya Ng'ombe 1500 kwa ajili ya idi.

Chalinze hakuna maji, kumejaa umaskini hasa huko ndani ndani ,shule zipo hovyo zimejaa nyufa hakuna madarasa ila mbunge anajisifia kuchinja Ng'ombe 1500+


USSR
Umesoma vizuri ukaelewa ? Au chuki tu zinakusumbua
 
Ni aibu kwa kiongozi kujitapa na ufahari wa kiasi hicho huku wananchi wake wakiteseka, kachaguliwa atumikie wananchi siyo kujisifu na mambo yasiyo ya msingi
 
Hiyo ni ibada maalum kwa ajili ya kuchinja na kutoa sadaka ,,kwahiyo tusihusishe ibada hii na shida za wananchi
Sawa mkuu; lakini mimi naamini hakuna" IBADA" iliyo muhimu zaidi kuliko kuleta mabadiliko katika maisha ya wananchi kwa kuwajengea uwezo au huduma kuliko kuwapa mlo wa siku moja!

Naona jina lako ni la kituruki 'Etugrul', nawe ni mhusika katika ibada hiyo waliyofanyiwa wenyeji wa Chalinze?
 
Ukiacha ulechango wa harusi ambapo naibu waziri Ridhiwani alichangia million 30 leo ameposti kuwa wamechinja zaidi ya Ng'ombe 1500 kwa ajili ya idi.

Chalinze hakuna maji, kumejaa umaskini hasa huko ndani ndani ,shule zipo hovyo zimejaa nyufa hakuna madarasa ila mbunge anajisifia kuchinja Ng'ombe 1500+


USSR
naibu waziri naona ana mimba wakati mzee wake anajitahidi kufanya mazoezi kila siku kulinda afya
 
Hapo Watanganyika wenzengu rohoo kwatuuu,na shida zote tukasahau..

HIvi hao Waturiki hawezi kusaidia kwenye HUDUMA zingine kama VISIMA ,Shule pasipo kuathiri IMANI na THAWABU yao?
 
Sawa mkuu; lakini mimi naamini hakuna" IBADA" iliyo muhimu zaidi kuliko kuleta mabadiliko katika maisha ya wananchi kwa kuwajengea uwezo au huduma kuliko kuwapa mlo wa siku moja!

Naona jina lako ni la kituruki 'Etugrul', nawe ni mhusika katika ibada hiyo waliyofanyiwa wenyeji wa Chalinze?
Yaan hata sijui nianzie wapi kulieleza hili,,ibada ni jambo lolote ambalo Mungu analipenda,iwe ni kwa vitendo au kwa maneno

Sasa kusaidia watu ni ibada na ni jambo ambalo linapaswa kufanywa kila siku katika maisha yetu

Lakini ibada hii ya kuchinja inakuja kwa mwaka mara moja na ni tendo la kukumbuka tukio maalumu lililo tokea enzi za nabii ibrahim pale alipo oteshwa ndoto na Allah kama mtihani wa kutekeleza agizo lake la kumchinja mwane ili kudhibitisha imani yake

Kwahiyo ibrahim alifaulu pale alipokuwa tayar kutekeleza agizo hilo kwa kumchinja mwanae Ismail/ishamael ,ndipo Allah akashusha kondoo toka mbinguni achinjwe badala ya kumchinja mwanae

Sasa ibada hii hufanyika baada ya mahujaji kumaliza kutekeleza ibada ya hija na ndio kuchinja kunafuatia

Kwahiyo naona umepata picha kwamba hii ni ibada maalumu na haihusiani na kufanya matendo mengine nje ya hapo


Kwahiyo nyama inatolewa kama sadaka tu lkn ibada ipo kwenye kuchinja

Asante
 
Maji si yanatoka tu wami pale yanaingia chalinze
Inakuwaje wale wako karibu na wami wakose maji Ila maeneo kama kibaha maji yawepo ya kueleweka??
 
Kachukua pesa za mradi wa maji ndo akanunulia ng'ombe au ni zake binafsi na wadau wake?? Za maji ilaumu serikali siyo kumlaumu mtu binafsi. Harusi yangu nikitumia milion 100 wakati shule ya mtaani kwangu haina chaki hilo si kosa langu braza.
Hii JF naona kila siku inapoteza watu Makini wa kuwaza na kudadavua Mambo...Liziwani sio kama wewe Mkuu, yule ni mbunge na wabunge kwenye kampain zao uwa wanaomba kura huku wakitoa ahadi wakichaguliwa watayatimiza hayo aliyoyaandika Mleta Mada.
Tujifunze kutumia Akili na kichwa kuwaza sio kukimbilia kureply ujinga ujinga tu .
 
Yaan hata sijui nianzie wapi kulieleza hili,,ibada ni jambo lolote ambalo Mungu analipenda,iwe ni kwa vitendo au kwa maneno

Sasa kusaidia watu ni ibada na ni jambo ambalo linapaswa kufanywa kila siku katika maisha yetu

Lakini ibada hii ya kuchinja inakuja kwa mwaka mara moja na ni tendo la kukumbuka tukio maalumu lililo tokea enzi za nabii ibrahim pale alipo oteshwa ndoto na Allah kama mtihani wa kutekeleza agizo lake la kumchinja mwane ili kudhibitisha imani yake

Kwahiyo ibrahim alifaulu pale alipokuwa tayar kutekeleza agizo hilo kwa kumchinja mwanae Ismail/ishamael ,ndipo Allah akashusha kondoo toka mbinguni achinjwe badala ya kumchinja mwanae

Sasa ibada hii hufanyika baada ya mahujaji kumaliza kutekeleza ibada ya hija na ndio kuchinja kunafuatia

Kwahiyo naona umepata picha kwamba hii ni ibada maalumu na haihusiani na kufanya matendo mengine nje ya hapo


Kwahiyo nyama inatolewa kama sadaka tu lkn ibada ipo kwenye kuchinja

Asante
Ahsante sana mkuu 'Etugrul' kwa elimu hiyo uliyo itoa tena bila ya mihemko. Nakupongeza kwa hilo.

Lakini pia nadhani hata nawe bado hujanielewa vyema kuhusu hoja yangu.
Huyu 'Mungu/Allah' binaadam mara nyingi tunamtwisha hata mzigo uhusio husika naye kabisa.

Tendo tu hili la "Kuchnja", lisipo fanywa, na badala yake, kwa uamini ule ule unaolingana na 'kuchinja' ibada hiyo ikafanywa kwa manufaa ya hawa watu waliotakiwa kufaidika nayo, hili litabadilisha maana ya ibada?

Kwa maoni yangu mkuu, binaadam tuna tabia ya kumtwisha Mwenyezi mambo ambayo kwake hayana maana kubwa.
Lakini, sitaki unielewe vibaya, au kuwa napingana na imani, la hasha. Haya ni maoni binafsi tu, na naomba hata huyu Mungu/Allah anisamehe kama namkosea adabu.

Heshima kwako mkuu, kwa moyo wa dhati kabisa, kwa maelezo yako. Unanikumbusha rafiki mpendwa mwenye asili ya huko linakotumika jina lako. Yeye anaitwa Nadar.
 
Ukiacha ulechango wa harusi ambapo naibu waziri Ridhiwani alichangia million 30 leo ameposti kuwa wamechinja zaidi ya Ng'ombe 1500 kwa ajili ya idi.

Chalinze hakuna maji, kumejaa umaskini hasa huko ndani ndani ,shule zipo hovyo zimejaa nyufa hakuna madarasa ila mbunge anajisifia kuchinja Ng'ombe 1500+


USSR
sio shida zake
 
Hii JF naona kila siku inapoteza watu Makini wa kuwaza na kudadavua Mambo...Liziwani sio kama wewe Mkuu, yule ni mbunge na wabunge kwenye kampain zao uwa wanaomba kura huku wakitoa ahadi wakichaguliwa watayatimiza hayo aliyoyaandika Mleta Mada.
Tujifunze kutumia Akili na kichwa kuwaza sio kukimbilia kureply ujinga ujinga tu .
Anaahidi kuwa atatumia pesa zake au atawasemea wananchi bungeni serikali iwaletee maji?? Kama wenye akili jf ni kama wewe basi haikuwa na wenye akili bali vipofu wanaopongezana. Jitahidi sana kuhoji wakati wa kampeni kuhusu uletaji wa hayo maji. Umuulize ataleta kwa kutumia pesa zake au za nani? Usikalie kupiga vigelegele tu kwenye kampeni bila kuchuja. Mtaibiwa sana
 
Back
Top Bottom