Alijua alikuwa na mapungufu ndo maana alitaka kila mtu amuogope ili wasimuulize hayo madudu yake. Yule alikuwa tapeli na msanii na alifanikiwa kwa kiasi kikubwa kuwalaghai watu hasa wasiojielewa.Awamu ya Ngosha kulikuwa na upigaji sana... Sema watu walikuwa wanaogopa kusema ili jemedari aonekane kadhibiti wizi...