Ufuatao ndiyo mtiriroko wangu mzima wa Matumizi ya Fedha Nono ya Ushindi wa Jukwaa la Michezo JamiiForums

Ufuatao ndiyo mtiriroko wangu mzima wa Matumizi ya Fedha Nono ya Ushindi wa Jukwaa la Michezo JamiiForums

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
1. Nitahesabu idadi ya Moderators wote wataokuwepo Ofisini Siku nitakayoenda Kuchukua Zawadi yangu na Wote watakunywa Soda Mpya, Tamu na niipendayo ya Super Commando kutoka Kampuni ya Pepsi.

2. Nitamtolea Mungu (siyo Mungu wa Mwamposa) Sadaka yake ama kwa kuitoa Kanisani au kuwapa Zawadi Watoto wadogo.

3. Nitanunua Zawadi kwa Dingi na Bi Mkubwa ili wajue kuwa Walizaa Mwamba na wamenikuza vyema.

4. Nitapunguza baadhi ya Madeni hasa kwa Kuwalipa wale Wanaonidai Wababe na ninaowamudu watasubiri hadi nikishinda tena Shindano lingine.

5. Naweza kusafiri kwenda Kutembelea Mizimu ya Kizanaki kwa Baba Mkoani Mara na ile ya Kimakuwa kwa Mama Mkoani Mtwara.

6. Nitawatafuta Watani zangu wote Wahaya, Wanyaturu, Waha, Wanyiramba, Warangi, Wakerewe na Wanyamwezi ili niwakalishe Baa Moja wale Mbuzi mzima ili waniombee Baraka Njema kwa Mwenyezi Mungu na Mizimu yao ikiwezekana.

7. Nitanunua Laptop ya Mtumba (ila Imara) na Simu Mpya ya Kuringishia Mademu ndani ya DalaDala za Kawe - Mbezi Louis (kupitia Goba) ili nisiwe na Kazi ya Kutongoza / Kuwatongoza bali Wajitongoze / Wanishobokee wenyewe.

Hivi Members wa JamiiForums mnajua kuwa licha ya Kuupenda huu Mtandao wa JamiiForums ila ninawapendeni hakuna mfano?

Haya muwe na Usiku Mwema Saa 7 Kamili (juu ya Alama) na Log Out kwani Shemeji yenu anasema anahitaji sasa nimpe kile kilichomtoa Kwao kwani kama Kula alikuwa Akila, Akilala vyema na hata Pesa akipata ila Kimoja tu ninachokimiliki Mafichoni Kwangu Uvunguni ndicho anakitaka na muda umeshafika.

Kesho nayo ni Siku. Akhsanteni Wote.
 
1. Nitahesabu dadi ya Moderators wote wataokuwepo Ofisiini Siku nitakayoenda Kuchukua Zawadi yangu na Wote watakunya Soda Mpya, Tamu na niipendayo ya Super Commando kutoka Kampuni ya Pepsi.

2. Nitamtolea Mungu ( siyo Mungu wa Samjo Samjo Mwamposa ) Sadaka yake ama kwa kuitoa Kanisani au kuwapa Zawadi Watoto wadogo.

3. Nitanunua Zawadi kwa Dingi na Bi Mkubwa ili wajue kuwa Walizaa Mwamba na wamenikuza vyema.

4. Nitapunguza baadhi ya Madeni hasa kwa Kuwalipa wale Wanaonidai Wababe na ninaowamudu watasubiri hadi nikishinda tena Shindano lingine

5. Naweza kusafiri kwenda Kutembelea Mizimu ya Kizanaki kwa Baba Mkoani Mara na ile ya Kimakuwa kwa Mama Mkoani Mtwara

6. Nitawatafuta Watani zangu wote Wahaya, Wanyaturu, Waha, Wanyiramba, Warangi, Wakerewe na Wanyamwezi ili niwakalishe Baa Moja wale Mbuzi mzima ili waniombee Baraka Njema kwa Mwenyezi Mungu na Mizimu yao ikiwezekana.

7. Nitanunua Laptop ya Mtumba ( ila Imara ) na Simu Mpya ya Kuringishia Mademu ndani ya DalaDala za Kawe - Mbezi Louis ( kupitia Goba ) ili nisiwe na Kazi ya Kutongoza / Kuwatongoza bali Wajitongoze / Wanishobokee wenyewe.

Hivi Members wa JamiiForums mnajua kuwa licha ya Kuupenda huu Mtandao wa JamiiForums ila ninawapendeni hakuna mfano?

Haya muwe na Usiku Mwema Saa 7 Kamili ( juu ya Alama ) na Log Out kwani Shemeji yenu anasema anahitaji sasa nimpe kile kilichomtoa Kwao kwani kama Kula alikuwa Akila, Akilala vyema na hata Pesa akipata ila Kimoja tu ninachokimiliki Mafichoni Kwangu Uvunguni ndicho anakitaka na muda umeshafika.

Kesho nayo ni Siku. Akhsanteni Wote.
Milioni ngapi
 
mimi shabiki yako lialia nitakuwa pale getini nje ya ofisi za jf na kisimu changu cha tecno ili nikupige picha wakati unaingia na wakati unatoka.

picha nitakupiga kwa kutumia mbinu za kimedeni, so hutoniona wala hutogundua.

picha nitaifadhi kwa matumizi ya siku za usoni.
 
Tunaomba radhi Kwa wote watakao kwazika, mwandishi ni mmoja wa wagonjwa wetu katika hospital ya crazy for life.

Ndugu GENTAMYCINE alifanikiwa kutoroka Jana na kuiba simu ya ofisi na Sasa anaropoka hovyo tu.

Tunashukuru kwa ushirikiano wenu, na tuna ahidi tuta lishughulikia hivyo mvumilieni.

Nina ambatanisha ushahidi wa vyeti vyake alivyo vipata kutoka crazy for life hospital
FB_IMG_16664248584906725.jpg
 
mimi shabiki yako lialia nitakuwa pale getini nje ya ofisi za jf na kisimu changu cha tecno ili nikupige picha wakati unaingia na wakati unatoka.

picha nitakupiga kwa kutumia mbinu za kimedeni, so hutoniona wala hutogundua.

picha nitaifadhi kwa matumizi ya siku za usoni.
Nimecheka sana Wewe Pimbi unajua Unanitisha kweli na utanifanya hata Niogope kwenda Kuchukua hiyo Zawadi yangu Tukuka JamiiForums?
 
Genta ebu ngoja kwanza kwani na hela mnapewa [emoji1787] mkipewa hela fanya utume muamala
Nitapewa Milioni Tano na kwa ninavyokupenda, kwa Kuniroga Kwako vizuri na kunipa Raha Mzanaki Mimi nitukupa Tsh 4,700,000/= na Mimi GENTAMYCINE nitabakia na Tsh 300,000/= tu sawa Sweety?

Mimi kwa Mwanamke huwa nakuwa Zoba, Popoma na Lofa kweli kweli na hili Unalijua vyema tu Mpenzi.
 
1. Nitahesabu idadi ya Moderators wote wataokuwepo Ofisini Siku nitakayoenda Kuchukua Zawadi yangu na Wote watakunywa Soda Mpya, Tamu na niipendayo ya Super Commando kutoka Kampuni ya Pepsi.

2. Nitamtolea Mungu (siyo Mungu wa Mwamposa) Sadaka yake ama kwa kuitoa Kanisani au kuwapa Zawadi Watoto wadogo.

3. Nitanunua Zawadi kwa Dingi na Bi Mkubwa ili wajue kuwa Walizaa Mwamba na wamenikuza vyema.

4. Nitapunguza baadhi ya Madeni hasa kwa Kuwalipa wale Wanaonidai Wababe na ninaowamudu watasubiri hadi nikishinda tena Shindano lingine.

5. Naweza kusafiri kwenda Kutembelea Mizimu ya Kizanaki kwa Baba Mkoani Mara na ile ya Kimakuwa kwa Mama Mkoani Mtwara.

6. Nitawatafuta Watani zangu wote Wahaya, Wanyaturu, Waha, Wanyiramba, Warangi, Wakerewe na Wanyamwezi ili niwakalishe Baa Moja wale Mbuzi mzima ili waniombee Baraka Njema kwa Mwenyezi Mungu na Mizimu yao ikiwezekana.

7. Nitanunua Laptop ya Mtumba (ila Imara) na Simu Mpya ya Kuringishia Mademu ndani ya DalaDala za Kawe - Mbezi Louis (kupitia Goba) ili nisiwe na Kazi ya Kutongoza / Kuwatongoza bali Wajitongoze / Wanishobokee wenyewe.

Hivi Members wa JamiiForums mnajua kuwa licha ya Kuupenda huu Mtandao wa JamiiForums ila ninawapendeni hakuna mfano?

Haya muwe na Usiku Mwema Saa 7 Kamili (juu ya Alama) na Log Out kwani Shemeji yenu anasema anahitaji sasa nimpe kile kilichomtoa Kwao kwani kama Kula alikuwa Akila, Akilala vyema na hata Pesa akipata ila Kimoja tu ninachokimiliki Mafichoni Kwangu Uvunguni ndicho anakitaka na muda umeshafika.

Kesho nayo ni Siku. Akhsanteni Wote.
Ila Genta huja sema hiyo zawadi milioni ngapi😂.Hata hatuna sababu ya kupiga virungu🤔
 
Ila Genta huja sema hiyo zawadi milioni ngapi😂.Hata hatuna sababu ya kupiga virungu🤔
Nasikia ni Tsh Milioni 5 au 7 Mkuu na tayari nimeshaanza Mazoezi ya Kuendesha Pikipiki ( Bodaboda ) kwani hapo nitazinunua Mbili ( Dabali ) kwa mpigo. JamiiForums watakuwa wameniokoa kutoka kafika Lindi Kubwa na Umasikini / Ukapuku unaonikabili 24/7 GENTAMYCINE Wenu.
 
Nasikia ni Tsh Milioni 5 au 7 Mkuu na tayari nimeshaanza Mazoezi ya Kuendesha Pikipiki ( Bodaboda ) kwani hapo nitazinunua Mbili ( Dabali ) kwa mpigo. JamiiForums watakuwa wameniokoa kutoka kafika Lindi Kubwa na Umasikini / Ukapuku unaonikabili 24/7 GENTAMYCINE Wenu.
Sema uko wapii l??, Ili tukurudishe hospital ya crazy for life
 
Back
Top Bottom