Ufufuaji wa Misukule: Ina tofauti gani na Maigizo?


Hapa ninachokiona ni ule uzima wa milele hayo ndio maisha yanayozungumziwa na kwamba Sio maisha baada ya Kifo!
 

Yesu,Elisha, Elijah, Paul and Peter!
Kuna wengine tena Mkuu!
 
Hapa ninachokiona ni ule uzima wa milele hayo ndio maisha yanayozungumziwa na kwamba Sio maisha baada ya Kifo!

[SUP]25[/SUP]Yesu akamwambia, ``Mimi ndiye ufufuo na uzima; mtu akiniamini mimi, hata akifa ataishi; [SUP]26[/SUP]na ye yote anayeishi akiwa ananiamini hatakufa kamwe. Je, unaamini haya?'' Yohana 11:25-26
 
Misukule a.k.a Mitunga

Ha haa haaaa... mkuu umenichekesha sana hapo kwenye mitunga, hao nadhani ni wale wanaoaminika wamekufa katika mazingira ya kichawi hasa kule mikoa ya Mwanza, Singida, Shinyanga n.k hiyo lugha inatumika sana...... Hilo jina lako linamaana gani mkuu?
 
Ha haa haaaa... mkuu umenichekesha sana hapo kwenye mitunga, hao nadhani ni wale wanaoaminika wamekufa katika mazingira ya kichawi hasa kule mikoa ya Mwanza, Singida, Shinyanga n.k hiyo lugha inatumika sana...... Hilo jina lako linamaana gani mkuu?

Ntuzu, msukuma wa bariadi.
 
Last edited by a moderator:
[SUP]25[/SUP]Yesu akamwambia, ``Mimi ndiye ufufuo na uzima; mtu akiniamini mimi, hata akifa ataishi; [SUP]26[/SUP]na ye yote anayeishi akiwa ananiamini hatakufa kamwe. Je, unaamini haya?'' Yohana 11:25-26

Sorry Mkuu Ebu iweke wazi kwa mujibu wa Maandiko hayo!
Maana yake kuna maisha baada ya Kifo au Yesu alikua akizungumzia kile Kifo cha pili kwamba hawatakufa wataishi milele?
Mafungu yanaelewaka lakini Yesu Hapo anazungumzia kutokufa Vipi wakati tuko na miili ya kuharibika?
Ebu tujaribu kuangalia haya kwanza
 
Ha haa haaaa... mkuu umenichekesha sana hapo kwenye mitunga, hao nadhani ni wale wanaoaminika wamekufa katika mazingira ya kichawi hasa kule mikoa ya Mwanza, Singida, Shinyanga n.k hiyo lugha inatumika sana...... Hilo jina lako linamaana gani mkuu?

Mitunga: ndio Misukule au kwa Maeneo ya Tabora na Kigoma wanaita Visoke! Au Ng'angwa. Mitunga;
Hii ni Lugha ya kwetu Bariadi!
 
Ntuzu, msukuma wa bariadi.

Wabheja mwanawane getegete
Mwambieni Gwajima aje na huku kwetu Gamboshi kuna Mitunga wengi sana aje atufufulie! Maana huku kwetu bila ya hiyo tecnology maisha yanakua magumu sana! Yani lazima kufuga Mitunga kwa ajili ya shughuli mbalimbali na Fisi kwa ajili ya usafiri!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hivi unaelewa juu ya ufufuo wa Gwajima?
mfano mdogo tu, misukule iliyofufuliwa Arusha hiyo hiyo ndiyo imefufuliwa moshi..

Misukule hawana origin yoyote ile, bado unataka niamini?

Taarifa yako haipo sahihi hata kidogo.

1. Kwanza mkutano wa Injili haujaanza bado mjini Moshi hadi tarehe 20/10/2013

2. Watu waliofikwa na majanga makubwa ya kuchukuliwa misukule. Kanisa huchukuwa jukumu la kuwahudumia Kiroho na kumwili hadi wafikie kiwango cha kusimama wenyewe kwa maombi.
 
Thx kwa Hilo!
Je nje ya biblia kwa Hawa watumishi wapo waliowahi kufufua Wafu Kama Wafu?

Kusema ukweli nje ya Biblia takatifu, sijabahatika kushuhudia hiyo miujiza ya kufufua wafu. Hii haimaanishi kwamba Mungu hawezi kutenda hayo, narudia tena nje ya Biblia sijabahatika!
 

Kama utakumbuka mwanzoni nilisema kwamba maadam tunaishi na miili hii iharibikayo ambayo ni ya muda, mavumbini tutarudi. Sehem zingine Yesu anaita kufa katika miili hii ya kawaida kulala (rejea kifo cha Lazaro). Kifo kinachoongelewa hapa ni ile kukosa uzima kwa njia ya kumpokea Bwana Yesu. Ameshinda mauti lakini bado tuna kufa (miili kutengwa na roho), ila tunapomwamini, tunakua na tumaili la kuishi nae milele.
 

Kwanza wanatakiwa kufahamu kuwa mtu ni roho, mtu sio mwili bali ni roho. Roho ambayo ndio mtu mwenyewe anaishi ndani ya nyumba ya udongo na nyumba hiyo inaitwa mwili, hilo la kwanza.

Nyota au mafanikio ya mtu yanaanzia katika ulimwengu wa roho kisha yanadhihirika katika ulimwengu wa mwili. Hakuna jambo linalotokea duniani ambalo halijaanza kwenye ulimwengu wa roho. Mungu alitamka neno na dunia ikaumbwa, neno ni roho. Mungu alimwambia Nuhu atengeneze safina maana dunia itaangamia, Mungu ni roho na gharika ilianza rohoni ikadhihirika katika ulimwengu wa mwili.

Shetani ana uwezo wa kuingia kwenye nyumba ambayo ni mwili na kumchukua mtu (roho) aliyemo ndani ya nyumba (mwili) na kwenda kumuweka nyumbani kwa mganga wa kienyeji. Na mtu atakayekwenda kwa mganga wa kienyeji kutafuta utajiri anatoa kafara na anapewa nyota ya mafanikio yatokanayo na ile roho (mtu) aliyeibiwa.

Kumbuka mtu (roho) anaweza kuibiwa, soma Isaya 42:22... Lakini hawa ni watu walioibiwa, wamefichwa kwenye mashimo, wamekuwa mawindo, wala hapana asemaye rudisha.

Shetani ni mfanyabiashara, anauziana mali na wanadamu, wao wanatoa roho na miili ya watu na yeye anawapa mali, utajiri, uongozi, umaarufu n.k. Ufunuo 18:11.. And the merchants of the earth shall weep and mourn...; for no man buyeth their merchandise any more: the merchandise of gold, and silver... and slaves, and souls of men.

Shetani anauziwa miili na roho za watu na yeye anawapa utajiri, yamefichwa haya kwa wanadamu wamekalia kushabikia matajiri wa dunia hii wasijue wanatoa utajiri wapi.
 

Kwahiyo Kumbe fundisho la Yesu alikua akilenga kile Kifo cha pili sio Kifo hichi Kama cha Razaro!
Na kwa Maana hiyo hakuna maisha baada ya Kifo hichi cha kwanza ila ni namna gani waweza kufa! Ukifa katika tumaini Ile mauti ya pili haitokukuta na Ukifa nje ya tumaini mauti ya pili!
 
Kusema ukweli nje ya Biblia takatifu, sijabahatika kushuhudia hiyo miujiza ya kufufua wafu. Hii haimaanishi kwamba Mungu hawezi kutenda hayo, narudia tena nje ya Biblia sijabahatika!

Kwa Maana hiyo kwa watumishi Hawa hakujawahi na hakuna aliewahi kufufua pamoja na Maandiko yanawapa mamlaka wanafunzi wa Yesu kufanya makuu!
Sasa kwa hili swala la Gwajima tunasemaje?
 
Ni tapeli huyu!
kwa kigezo cha matumizi wa misukule(the same) in different events!!
Arusha na Moshi misukule wale wale!!
Huyu ni tapeli.

Your credibility is highly tarnished with this statement. Ni uongo kusema Gwajima amefanya mkutano Moshi, ni uongo wa shetani huo, Gwajima hajafanya mkutano Moshi.

Unakaribishwa utakapoanza mkutano wa Moshi in one week's time. Anafundisha kwanza halafu anatenda kazi, na huwa anafundisha hadharani wala hajifichi. Tena kuna DVD zinauzwa kila baada ya mahubiri. Nakuhakikishia you have never heard anyone in your lifetime teaching the word of God like Gwajima, na i know kuwa it is not Gwajima doing that, it is God himself using Gwajima like you have never seen it before.
 
Kwa Maana hiyo kwa watumishi Hawa hakujawahi na hakuna aliewahi kufufua pamoja na Maandiko yanawapa mamlaka wanafunzi wa Yesu kufanya makuu!
Sasa kwa hili swala la Gwajima tunasemaje?

Ntuzu, nimesema mimi binafsi sijawahi kushuhudia. Kuhusu suala la Gwajima sipendi sana kuongelea kitu ambacho sina detaila zake vizuri na hasa watumishi wa Mungu. Ila nimeuliza kama ameshawahi kwenda mochwari akaombea maiti zikafufuka..........
 

Huenda tunaongelea kitu kimoja kwa maneno tofauti, tufanye ni transformation kwamba kifo katika mwili huu ndio njia pekee ya kuelekea huo u milele. Kwa ufupi roho ina asili ya uungu ndani yake kwa hiyo haifi (endless, infinity, eternity)!

Kifo ni graduation, unaenda hatua nyingine ya maisha yasiyo na miili tuliyonayo sasa hapa duniani na kuna makundi mawili tu, kuzimu na kwenye uzima wa milele.Ni heri wafao katika Kristo!

Pamoja na hayo, nadhani nadharia yako ya kutumia neno kifo cha mara ya pili imekaa vizuri zaidi kama tunavyotumia kuzaliwa mara ya pili kumaanisha kumpokea Bwana Yesu. Hatuchagui kuzaliwa au kufa mara ya kwanza ila kuzaliwa na kufa mara ya pili tumepewa kuchagua.

11 Na ushuhuda wenyewe ndio huu: Mungu ametupatia uzima wa milele, na uzima huu umo kwa Mwanae. 12 Aliye naye Mwana anao uzima; asiye naye Mwana wa Mungu hana uzima.

1 Yohana 5:11-12
 

Ok nafikiri Hapo tuko Sawa! Unajua mauti ya pili ndio hiyo ya kuzingatia kwasababu mauti hii ya kwanza ni Kama kulala tu usingizi! Kitu cha kuangalia katika mauti hii ya kwanza ni kufa katika tumaini la uzima wa milele au ni kufa katika dhambi!

Kwa Sasa kutokana na watumishi Hawa wa dini kufanya miujiza mikubwa Je kuna ata mmoja anaweza kukufua Wafu? Maana Maandiko yako wazi na Tumeona wale kumi na wawili wakiagizwa kufanya makuu! Sasa kwa kipindi hiki tunaweza tukawa na watu Kama Hao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…