Ufufukaji wa uchumi wa China kunufaisha uchumi wa dunia unaokabiliwa na changamoto

Ufufukaji wa uchumi wa China kunufaisha uchumi wa dunia unaokabiliwa na changamoto

Na hawajawahi kukiri kwamba ulikufa, ni kwamba uko china, local government zina madeni makubwa kinoma, hadi wanashindwa kulipa baadhi ya madai ya watu,

Kuna wimbi kubwa la unemployment na matatizo makubwa ya real estate majumba yamejengwa lakini hayakaliki ni kwamba watu hawawezi kuafford gharama zake.

Lakini hili jambo hautolisikia kwa mawakala kama HAWA wa CCP
Wewe mama, mimi sijui chochote kuhusu uchumi. Ila umeandika ukiwa na chuki moyoni dhidi ya Uchina. Sijajua hizo riport za WB na IMF zilizotolewa, walioziandaa ni hao CCP au ni nani. Kubali kataa. Mabadiliko ni lazima.

China kwa sasa uchumi wao unakuwa kwa kasi ya kimbunga. Nyie wenye mahaba na USA roho zinawauma.
 
A
Achana na huyo mjinga ,hajui hata real estate bubble iliyopo China Kwa sasa , kama unafuatilia mambo mwaka jana kuna kampuni kubwa la masuala ya real estate china worth more than 400billons (Evergrande) USD lilikuwa kwenye ukata wa kufirisika na hata sasa kuna tatizo sana kwenye hiyo sector na ndio inayobeba Gdp asilimia 60 ya china ,na wanasema hiyo real estate inaenda kucollpase muda si mrefu huku China yenyewe ikiwa kwenye debt crisis na mdororo wa uchumi ,ikicollapse real estate tu ni uchumi wa china site kwishney , ukiachilia covid lockdowns zinazoendelea china toka mwaka 2020 hadi sasa hivi kuna makampuni hayafanyi uzalishaji kama ilivyo takiwa na ,protests za covid lockdowns ni nyingi mno China Ila huwezi ona hawa wachina weusi wa bongo wanaongelea hilo .

Exodus ya. Wachina kukimbilia nchi nyingine hasa United States ,Canada na Europe ni kubwa sana kwa sasa ,mwenye akili atajua how bad Chinese economy is right now ,CCP ni manipulators WA data na hawapendi ziwe exposed hata siku moja ,nchi inayosanction mitandao ya kijamii tu kama facebook nk hiyo ni nchi au concentration camp ? .
Wachina wenyewe wanajua jinsi serikali yao ilivyo bingwa wa kucover up na kupiga propaganda
chuki. Kukimbilia vietnam ni kama kuama mkoa tu. Vietnam ni china.
 
Ripoti Ukuaji wa asilimia 4.5 ya uchumi wa China haijaripotiwa na IMF mzee wala WB imeripotiwa na National Bureau Statistics of China..,

Inaonyesha ni kwa jinsi gani hata ulivyo sio mfatiliaji wa mambo.

Dah, unanichosha ndugu naomba nikuage, bye!
Najua imetolewa na National Bureau of Statistics ya China

Kwani IMF na WB wameipinga?
 
Ww embu soma vizuri iyo ni projection jamaa dah unanichosha

Projection sio tafiti halisi, CCP imeset malengo ya kukuza uchumi wao kwa asilimia 5 mwaka huu na ndicho hicho IMF wamekiripoti

Soma iyo paragraph ya chini inayoanza na accordingly as we not from China... it means tafiti hazijafanywa na wao. Tumia akili....
Achana nae huyo. Mtu ana kichwa kigumu kuelewa kama jiwe.
 
Una akili nzito mkuu
Usiishie kuniambia nina akili nzito

Km nimetipwika unapaswa kuniweka sawa ili kuweka utofaut kati ya mim mwenye akili nzito km kokoto na ww mwenye akili nyepes km pamba
 
Bora uwaeleze mana nimejitahidi lakini naona hawaelewi.

Tatizo hawafatilii international political issues na economy.

Unamwelewesha mtu unaona kabisa kichwani hamna kitu, dah
Halafu mtu huyo huyo asiyeelewa anajiita mtaalamu wa Uchumi, Jf tumekuwa na watu wa ajabu sana siku hizi.
 
Ripoti hizo zinatolewa kutokana na taarifa zinazopelekwa na selikari husika.
Sasa jiulize iwapo CCP iliyapiga ban makampuni ya kimataifa ya finance na auditing kama Deloitte, Ernst & Young (EY), KPMG, and PricewaterhouseCoopers (PwC) yasifanye kazi main land China unategemea utapata ukweli wowote hapo?
Jf mumejazana wapumbavu kibao ! Sasa ndio umeandika nini hiki ,hivi munavyoandika munakijua kweli na uhakika nacho au ilimradi tu nawe uchangie? . Kwa haya maelezo yako bc kungekua hakuna nchi masikini duniani kila serikali ya nchi husika mfano Tanzania wangeziandaa data zao wakazipeleka WB na IMF ili watangazwe , hivi uongozi wa serikali ipi inapenda kuambiwa uchumi wake unakufa ikiwa data wanaandaa wenyewe na ukae ukijua hizo taarifa zina impact kubwa na serikali iliyopo madarakani katika kutafuta kuendelea kusalia madarakani si kila mwaka wangekua wanajiwekea asilimia kubwa tu kisha wanapelekwa wakatangazwe uchaguzi ukija wapite bira kupigwa
 
China wana tabia ya kutoa data ambazo si sahihi
 
Mbona umenitukana boss..?

Dah,

ok anyway tuanzie hapa...., kipindi cha korona ni nani alikuwa anatoa taarifa za maambukizi ya korona Tanzania? Na ni nani aliestopisha kutoa taarifa za maambukizi ya korona Tanzania?

Naomba nijibu kwanza haya maswali,
Tofautisha kati ya colona na uchumi ,colona ni ugojwa wa mripuko kama kipindu pindu ulivyolipuka kila nchi ilikua na njia zake za kupambana na ugonjwa huo wa mripuko tofauti na uchumi ambao unasimamiwa na hizo tasisi kubwa toka miaka hiyo . ukumbuke hizo taarifa za kukua kwa uchumi zinasimamiwa na WB ktk kutoa mikopo inasaidia katika makampuni kufanya uwekezaji pia ktk siasa sasa na WB na IMF vinaaminika Sana duniani wakisema wao kila kampuni inaamini sidhan kama watakubali uwapelekee karatasi lako lakujipangia wakutangaze wakupe umaarufu wa bure.
 
Back
Top Bottom