karibu mkuu,Asanteee muungwanaaa kwasasa nipo moshi ila ntakuja dar soon mana kila kitu business, ukitaka kujifunza business.. Uuh! ............ Unatkea uchira nn!??.... Mana mm napandia kawawa road (moshi huku).... Joking...
Kama uko karibu na Jkt Ruvu nenda pale ,utapata somo zuri sana na ukiitaji mizinga utauziwa pia,hautojutia.NAHITAJI KUFANYA UFUGAJI HUO PIA MWENYE UZOEFU WA TARATIBU AU HATUA ZA KUFUATA (HATA GUIDE JORNAL PDF HIVI) TUPIA HAPA
Kama unalipa basi ngoja tufanye mpango asante.Habarini za mchana wapendwa, natumaini kuwa mu wazima wa afya njema kabisa,
niende moja kwa moja kwenye maada;-
Nahitaji kufanya biashara ya ufugaji wa nyuki kwa kuanza na mizinga 100, kutokana na ufinyu wa eneo nililo nalo pamoja na mtaji nilio nao na hapa kuna mtaalamu wa kutengeneza mizinga pamoja na kuita nyuki ameshapatikana.
Kwa kuwa sina elimu yoyote ya ufugaji wa nyuki nimekuja kwenu kuomba ushauri kwa yeyote mwenye utaalamu kuhusiana na biashara hii anisaidie hatua ninazotakiwa kuzifuata ili niweze kufanya biashara hii kihalali.
JKT Ruvu iko wapi vile mkuu!Kama uko karibu na Jkt Ruvu nenda pale ,utapata somo zuri sana na ukiitaji mizinga utauziwa pia,hautojutia
Iko Pwani, Kibaha MlandiziJKT RUVU iko wap vile mkuu!
Mizinga kwa ufugaji wa nyuki wadogo mnayo?Habari.
Unahitaji shamba la miti yenye maua kwaajili ya kuwavutia nyuki au kama miti haina maua unaweza kupanda mazao yenye maua umbali usiozidi km 5 kutoka mizinga ilipo.
Unahitaji mizinga bora
Nta
Na vifaa vitakavyokusaidia kipindi cha kilimo chako kama vile mavazi ya uvunaji asali.
Gharama kwa mzinga mmoja.
Mzinga 70000
Nta 1 kg 15000
Kundi la nyuki 30000 (hii ni kwa ufugaji wa kisasa huitaji kusubiri nyuki waje wenyewe)
Hapo utakua umeanza ufugaji.
Wasiliana nasi kwa maelezo zaidi na huduma.
Call/text/whatsapp
0766006128
0655715184
Basi naomba tuwasiliane kupitia simu 0758789956 nipe namba yakoNahitaji malkia wa nyuki asie mkali.ili niweze kuwa na makundi yasio kuwa makali..utanisaidiaje? Ufugaji wangu utakuwa Morogoro
Mazingira ya ufugaji Nyuki lazima yawe salama kwa Nyuki wenyewe ili waweze kuishi kwa kipindi chote au msimu wrote.Nahitaji kufanya ufugaji wa nyuki {wakubwa na wadogo} .... Naomba mchanganuo na mazingira ya ufugaji huo.......... Wataalam karibun.....
Nazani sijachelewa sana. RAFIKI ASALI ni kampuni ya kijasiliamali iliyoanzishwa na mtaalamu na mwenye uzoefu wa ufugaji Nyuki waliomaliza kutoka chuo Kikuu cha Mlimani. Tunafanya shughuli zote za ufugaji Nyuki kisasa na kusimamia mradi mpaka unapata matokeo chanya. Wasiliana nasi kupitia 0758789956Habarini za mchana wapendwa, natumaini kuwa mu wazima wa afya njema kabisa,
niende moja kwa moja kwenye maada;-
Nahitaji kufanya biashara ya ufugaji wa nyuki kwa kuanza na mizinga 100, kutokana na ufinyu wa eneo nililo nalo pamoja na mtaji nilio nao na hapa kuna mtaalamu wa kutengeneza mizinga pamoja na kuita nyuki ameshapatikana.
Kwa kuwa sina elimu yoyote ya ufugaji wa nyuki nimekuja kwenu kuomba ushauri kwa yeyote mwenye utaalamu kuhusiana na biashara hii anisaidie hatua ninazotakiwa kuzifuata ili niweze kufanya biashara hii kihalali.
Soko la asali lipo vipi ndani na nje ya nchi kwa sasa?Mazingira ya ufugaji Nyuki lazima yawe salama kwa Nyuki wenyewe ili waweze kuishi kwa kipindi chote au msimu wrote. Kuwapo kwa Maya ya kutosha si lazima Nyuki kuweza kuishi maeneo hayo Bali inategemeana na aina ya uoto au kilimo kilichokuwepo apo au umbali usiozidi kilomita 5. Karibu RAFIKI ASALI uweze kupata utaalamu wa kisasa kabisa kuhusu ufugaji Nyuki na mazao take. RAFIKI ASALI ni wajasiliamali na wataalamu wenye elimu ya juu kutoka chuo kikuu katika ufugaji Nyuki. Nao wanafanya kazi Tanzania nzima zinazousu ufugaji Nyuki. Wasialiana nasi kwa namba 0758789956. Tunapatikana Kigamboni DSM tunafanya kazi Tanzania nzima
Lazima utambue kwanza solo la asali Luna changamoto zake kwa maana zingine uwa si asali Bali ni sukari iliyotengenezwa na kuchanganya na asali kidogo.Soko la asali lipo vipi ndani na nje ya nchi kwa sasa?
Nina eneo kubwa la kufuga nyuki na mazingira wezeshi sema nilipata mashaka kuhusu hii project baada ya kuona vijana wakitembeza ndoo za asali {frequently} mitaani na kuziuza kwa kipimo cha robo, nusu lita na kuendelea, hapo nilipata picture tofauti.
Hapana uwa hawaumi.
Mzinga unatoa 30kg ambazo ni sawa na 20ltr kwa Mwaka.Mzinga mmoja unatoa asali lita ngapi na unauzwaje
Ha ha ha ha,Sura zenu zinaonesha kuwa nyie kweli wafuga nyuki [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Naomba nikutoe hofu,Mkuu naomba ufafanuzi vipi kuhusu gharama za mafunzo na yanafanyikia WAP?
Lita 10 asali mbichi naweza pata kwa sh ngapiHa ha ha ha,
Sisi ni wafugaji wakongwe na mahiri. Ni wataalamu waaminifu. View attachment 995528
Sent using Jamii Forums mobile app