Ufugaji nyuki wa kisasa

Ufugaji nyuki wa kisasa

Nahitaji malkia wa nyuki asie mkali.ili niweze kuwa na makundi yasio kuwa makali..utanisaidiaje? Ufugaji wangu utakuwa Morogoro
Je una makundi mangapi?? Lakini pia tunaweza kuzalisha makundi kupitia makundi yako ayo ayo kama unalo hata moja ambalo ni pole. Tuwasiliane tujue cha kufanya
 
napenda Sana ufugaji wa nyuki ishu ni mtaji eneo ninalo Kubwa Sana
hata usijali kuhusu mtaji sababu shughuri ya ufugaji Nyuki huwa inaanza na kuendelea taratibu taratibu. Rafiki Asali tunatoa nafasi ya kumuanzishia na kumsimamia mradi wake mkulima na kumshauri nini cha kufanya katika miradi ya ufugaji Nyuki.

Lakini pia kutokana na Mfuko wa Misitu kutoa ruzuku Rafiki Asali huwa tunasaidia na kukuelimisha jinsi ya kufanya mpaka kupata iyo ruzuku. Tukumbuke kua shughuri ya ufugaji Nyuki ni shughuli ya utaunzaji mazingira uku ukijiongezea kipato.
 
Nahitaji kufanya ufugaji wa nyuki {wakubwa na wadogo} .... Naomba mchanganuo na mazingira ya ufugaji huo.......... Wataalam karibun.....
Rafiki Asali tunakusaidia kwanza kukagua eneo lako na kukuelimisha jua mizinga gani inayotengenezwa kwenye miti inayopendwa na Nyuki kwaajili ya mizinga. wasiliana nasi kupitia mamba 0758789956. kumbuka si kila mti unaweza kutumia kutengenezea mizinga
 
Rafiki Asali tunakusaidia kwanza kukagua eneo lako na kukuelimisha jua mizinga gani inayotengenezwa kwenye miti inayopendwa na Nyuki kwaajili ya mizinga. wasiliana nasi kupitia mamba 0758789956. kumbuka si kila mti unaweza kutumia kutengenezea mizinga
Nataman kupata kitu kama guide book hv au journal inayoelezea namna kuanza kufuga nyuki....... Maana mara nyingi wadau kama ninyi huwa mnaingiza consulting fees au any others cost wakat tunasaidiana kuunyanyua uchumi wa nchi...... Kama nawezapata mwongozo free of charges plz available WhatsApp 0718-321418

Sent using Jamii Forums mobile app
 
changia maarifa wew sio kila kitu bure changia upate utaalamu vizuri kama kweli unataka kufanya kitu kizur kina gharama sas we unataka consultation bure
 
Nataman kupata kitu kama guide book hv au journal inayoelezea namna kuanza kufuga nyuki....... Maana mara nyingi wadau kama ninyi huwa mnaingiza consulting fees au any others cost wakat tunasaidiana kuunyanyua uchumi wa nchi...... Kama nawezapata mwongozo free of charges plz available WhatsApp 0718-321418

Sent using Jamii Forums mobile app
Nitakutumia vipo.
Ufugaji wa nyuki ni kilimo bora na cha kisasa zaidi kwa karne pia huku kikiwa na faida kemkem kiuchumi na kijamii bila kusahau kimazingira.
 
Habari.
Unahitaji shamba la miti yenye maua kwaajili ya kuwavutia nyuki au kama miti haina maua unaweza kupanda mazao yenye maua umbali usiozidi km 5 kutoka mizinga ilipo.
Unahitaji mizinga bora
Nta
Na vifaa vitakavyokusaidia kipindi cha kilimo chako kama vile mavazi ya uvunaji asali.

Gharama kwa mzinga mmoja.
Mzinga 70000
Nta 1 kg 15000
Kundi la nyuki 30000 (hii ni kwa ufugaji wa kisasa huitaji kusubiri nyuki waje wenyewe)
Hapo utakua umeanza ufugaji.

Wasiliana nasi kwa maelezo zaidi na huduma.
Call/text/whatsapp
0766006128
0655715184
Je naweza kufuga Nyuki kwenye shamba la mikorosho?
Note; Kwenye mikorosho huwa tunapulizia dawa ya salfa, Je haidhuru nyuki? ama kupunguza ubora wa Asali?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lazima utambue kwanza solo la asali Luna changamoto zake kwa maana zingine uwa si asali Bali ni sukari iliyotengenezwa na kuchanganya na asali kidogo. Soko la asali Tanzania linakua kadri Siku zinavyoenda na watu wanajua umuhimu wa asali. Na kuhusu soko la nje ni lazima kwanza kufuata ule ubora wa asali unaotakiwa na RAFIKI ASALI tunakuakikishia kwa maana tutakushauri cha kufanya katika project yako ili upate ubora wa asali inayotakiwa. Rafiki Asali ni wataalamu katika sayansi na teknologia ya Nyuki na mazao yake. Vlevile Tunauza asali katika vipimo tofauti tofauti na kufanya miradi ya watu, vikundi na taasisi ya ufugaji Nyuki.
Je naweza kufuga Nyuki kwenye shamba la mikorosho?
Note; Kwenye mikorosho huwa tunapulizia dawa ya salfa, Je haidhuru nyuki? ama kupunguza ubora wa Asali?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je naweza kufuga Nyuki kwenye shamba la mikorosho?
Note; Kwenye mikorosho huwa tunapulizia dawa ya salfa, Je haidhuru nyuki? ama kupunguza ubora wa Asali?
Pole sana kwa kuchelewa kujibu;

Mizinga yetu inakufikia hapo ulipo.
Aidha kama Tenda ni kubwa, tutaandaa vifaa vyote na kuja kuvionganishia hapo site kwako.

Kuna huduma ya Starter Kit kwa Wafugaji wapya;
Kwa huduma hii utalipia 3.5M.
Utapewa;
- Mizinga 10 ya kisasa iliyo na nyuki.
- Mavazi pair 2 yaliyo kamili kwanzia juu hadi chini.
- Vifaa vyote vya kulinia asali; brush, folk and hive tools.
- Bomba la moshi (Smoker)
- Tutakupatia Mtaalamu wa kuusimamia mradi wako kwa mwezi mmoja akikupatia mafunzo.
- Vifaa vya kuhifadhi asali
- Package za asali.

Na ushauri na saha.

Pia, tutakupatia soko la asali.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mafunzo haya yanatolewa Katika viwanja vya Makao Makuu ya PRA - Tanzania, yaliopo Leganga, Usa River - Meru, Arusha - Tanzania.
Gharama kwa Full Package imepunguzwa hadi 100,000 kwa Training Nzima.

Piga: 0759543133 kwa maelezo zaidi.
Training nzima inachukuwa muda gani mpaka mtu awemufuzu na kujua hayo yote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa Dar yanafanyikia wapi Mku
Tunayo Mafunzo Mikoa Mbalimbali Nchi nzima kwa Mwaka 2019.

Kwa mfamo:

Zanzibar = 03/02/2019 hadi 08/02/2019
Moshi = 11/02/2019 hadi 16/02/2019
Tanga = 18/02/2019 hadi 22/02/2019
Dar = 03/03/2019 hadi 09/03/2019
Mara = 11/03/2019 hadi 15/03/2019
Singida = 08/04/2019 hadi 12/04/2019
View attachment 995506View attachment 995507View attachment 995508View attachment 995510

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Write your reply...inawezekana kufuga cha msingi ni kujua msimu wa mikorosho kuchanua maua na muda wa mikorosho kupuliziwa dawa
 
Mizinga ipo ya bei tofauti tofauti, ukinunua Mizinga yetu nyuki tunatoa kama huduma.
Ila usiponunua Mizinga yetu, Tunauza Makundi ya Nyuki Tshs.30,000/=.

Mizinga ipo ya;
A. 75,000/=
B. 120,000/=
C. 150,000/=
D. 180,000/=
Tofauti ni idadi ya Mazao ambayo utavuna kwani kuna vifaa mbalimbali vinaongezeka ili kukuwezesha kuvuna hayo mazao.

Uzuri ni kwamba, Tunatengeneza Mizinga inayoingiliana. Yaani hata ukinunua Mzinga A, tunaweza kukuletea vifaa vya kuongezea ikawa B, au C na hadi kuwa D, ambao ni Mzinga kamili unaoweza kuvuna mazao yote 7 na kukuzalishia Malikia wengi kwa muda mfupi.

Malkia 11 - 49 wanazalishwa kwa hali ya kawaida (Naturally), ila kama ukitumia Tevhnolojia unaweza kuzalisha Malkia hata zaidi ya 300 kwa muda wa miezi 6 tu.


Sent using Jamii Forums mobile app
Hii nimeipenda sana Mkuu, hebu weka picha za hiyo Mizinga kwa kila aina (A,B,C na D) ili tufanye biashara.
 
Tafadhali mkiwa Singida au Dodoma naomba unipm ilinihudhurie
 
Nahitaji kufanya ufugaji wa nyuki {wakubwa na wadogo} .... Naomba mchanganuo na mazingira ya ufugaji huo.......... Wataalam karibun.....
Rafiki Asali. kama kuna chanzo salama cha kuaminika mnaweza kuchukua Asali? Bei mnanunua kiasi gani kama mnanunua?
 
Upo wapi Kama uko Dar!ukitaka mizinga yenye sitiki ndani nayofunikwa na bati ni Pm Bei 30000.
 
Lazima utambue kwanza solo la asali Luna changamoto zake kwa maana zingine uwa si asali Bali ni sukari iliyotengenezwa na kuchanganya na asali kidogo. Soko la asali Tanzania linakua kadri Siku zinavyoenda na watu wanajua umuhimu wa asali. Na kuhusu soko la nje ni lazima kwanza kufuata ule ubora wa asali unaotakiwa na RAFIKI ASALI tunakuakikishia kwa maana tutakushauri cha kufanya katika project yako ili upate ubora wa asali inayotakiwa. Rafiki Asali ni wataalamu katika sayansi na teknologia ya Nyuki na mazao yake. Vlevile Tunauza asali katika vipimo tofauti tofauti na kufanya miradi ya watu, vikundi na taasisi ya ufugaji Nyuki.
Kwa nini msianzishe soko la asali la ndani na nje ya nchi, na muwe mnanunua kutoka kwa Wafugaji?

Mkatengeneza mfumo mzuri wa kuhakiki ubora wa asali na mkawahakikishia Wanunuaji kwamba wakinunua asali kwenu zina ubora wa asilimia 100%.
 
Back
Top Bottom