SUASO
JF-Expert Member
- Oct 19, 2017
- 770
- 1,192
Asantee mkuu, japo umejibu kwa kuchelewa lakini ninasaidiwaje Mimi ninayetoka mkoani(Moro)?Naomba nikutoe hofu,
Gharama zetu za mafunzo ni rahisi kabisa.
Utapewa Mafunzo kwa vitendo, chakula, cheti, Kitabu kwa bei kati ya 50,000/= - 75,000/= kulingana na muda.
Kumbuka sisi ni Shirika lisilo la faida, hivyo lengo letu mi kusaidia jamii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Daima toa bila kukumbuka na Pokea bila kusahau