Ufugaji nyuki wa kisasa

Ufugaji nyuki wa kisasa

WeChat Image_20191209194747.jpg
Salama wakuu,

Nimekuwa nikikabiliwa na changamoto ya nyuki kufa kwenye mizinga kwa sababu ambazo sijazielewa mpaka sasa.

Kwa wazoefu wa nyuki, ni mambo gani hasa yanaweza kupelekea nyuki kufa?
WeChat Image_20191209194707.jpg
 
Habari.
Unahitaji shamba la miti yenye maua kwaajili ya kuwavutia nyuki au kama miti haina maua unaweza kupanda mazao yenye maua umbali usiozidi km 5 kutoka mizinga ilipo.
Unahitaji mizinga bora
Nta
Na vifaa vitakavyokusaidia kipindi cha kilimo chako kama vile mavazi ya uvunaji asali.

Gharama kwa mzinga mmoja.
Mzinga 70000
Nta 1 kg 15000
Kundi la nyuki 30000 (hii ni kwa ufugaji wa kisasa huitaji kusubiri nyuki waje wenyewe)
Hapo utakua umeanza ufugaji.

Wasiliana nasi kwa maelezo zaidi na huduma.
Call/text/whatsapp
0766006128
0655715184
Hapo kwenye nta hapo!! Naweza kushirikiana nanyi na hatimaye kuliongezea zao la asali thamani!! Ningependa nipate mawasiliano na wahitaji wa nta na asali mbichi.. karibuni sana namba yangu ni 0762044550
 
Kuna nyuki wanaitwa "HORNET", wanafanana na nyigu/dondola wadogo, hawa ni mabingwa na vinara wa kuua nyuki wa asali. Ni maadui wakubwa wa nyuki wa asali. Wakivamia mzinga wa nyuki wanauwa mzinga mzima halafu wanakula asali iliotengenezwa na nyuki wa asali na kula mizoga ya nyuki waliowaua (wanapenda mteremko).

Hawa wakivamia hata mizinga 10, ndani ya dakika 20 wanafanya mauwaji ya halaiki. Ni hatari sana hawa, wanaweza kukutia umasikini kama vile TRA.
GettyImages-144366130.jpeg
An-Asian-hornet-feasting--007.jpeg
 
Duuh kumbe.
Nyumbani kwetu kuna nyuki wameamia naombeni muongozo niweze kuvuna asali
 
Sina Neno Ila Sasa Acha Niufutilie Haraka Huu Uzi
 
Kuna nyuki wanaitwa "HORNET", wanafanana na nyigu/dondola wadogo, hawa ni mabingwa na vinara wa kuua nyuki wa asali. Ni maadui wakubwa wa nyuki wa asali. Wakivamia mzinga wa nyuki wanauwa mzinga mzima halafu wanakula asali iliotengenezwa na nyuki wa asali na kula mizoga ya nyuki waliowaua (wanapenda mteremko).

Hawa wakivamia hata mizinga 10, ndani ya dakika 20 wanafanya mauwaji ya halaiki. Ni hatari sana hawa, wanaweza kukutia umasikini kama vile TRA.View attachment 1284608View attachment 1284609
Dah! mkuu, hii inaweza kuwa jibu labda inahitaji utafiti Zaidi. Hawa nao hutembea kama kundi au mmoja mmoja, na wanakuwa wanatokea wapi? na ni kwa vipi unaweza kuwatambua na kuwadhibiti?
 
Kuna nyuki wanaitwa "HORNET", wanafanana na nyigu/dondola wadogo, hawa ni mabingwa na vinara wa kuua nyuki wa asali. Ni maadui wakubwa wa nyuki wa asali. Wakivamia mzinga wa nyuki wanauwa mzinga mzima halafu wanakula asali iliotengenezwa na nyuki wa asali na kula mizoga ya nyuki waliowaua (wanapenda mteremko).

Hawa wakivamia hata mizinga 10, ndani ya dakika 20 wanafanya mauwaji ya halaiki. Ni hatari sana hawa, wanaweza kukutia umasikini kama vile TRA.View attachment 1284608View attachment 1284609
Hornet ukuje ujibu haya mashambulizi
 
Nyuki huwa wana athiriwa sana na dawa za kuuwa wadudu zinazopuliziwa kwenye mimea mbali mbali ya mazao ya biashara.

Kumbuka nyuki anapokuwa anatafuta material ya kutengeneza asali huwa anapapasa karibu kila mmea. Kwa bahati mbaya hii mimea ya kisasa huwa inapuliziwa dawa za kuuwa wadudu waharibifu ambazo hizi dawa huwa ni sumu hat kwa mwanadamu.

Nyuki wanapopita especially maeneo yenye hiyo mimea na kuigusa, huwa wanarejea na ile sumu katika mikono yao na wanaingia nayo kwenye mzinga bila kujua madhara yake. Na inapotokea wakawa wengi na wakaisambaza, ikamfikia hadi malkia ndipo hapo huwa ni mwisho wa hilo koroni.

Hii tafiti niliifanya miaka mitatu iliyopita kwa kutazama video za kimazingira huko YouTube. Na nilishaizungumza kipindi fulani kuwa haya madawa na mbegu za kibiashara zitakuja kuwa na madhara kwenye mazingira siku zijazo, ila sikupata ushirikiano mzuri nikaonekana kama mtu anayejifanya mjuaji.

Leo huyu mwenzetu ameshaanza kuona madhara.....

Kama unabisha nenda katazame mizinga iliyopo kwenye misitu au maporini, uone kama inakutwa na hili tatizo.
 
Kuna nyuki wanaitwa "HORNET", wanafanana na nyigu/dondola wadogo, hawa ni mabingwa na vinara wa kuua nyuki wa asali. Ni maadui wakubwa wa nyuki wa asali. Wakivamia mzinga wa nyuki wanauwa mzinga mzima halafu wanakula asali iliotengenezwa na nyuki wa asali na kula mizoga ya nyuki waliowaua (wanapenda mteremko).

Hawa wakivamia hata mizinga 10, ndani ya dakika 20 wanafanya mauwaji ya halaiki. Ni hatari sana hawa, wanaweza kukutia umasikini kama vile TRA.View attachment 1284608View attachment 1284609

Hivi Hornet na Africa wapo?
Maana najua wanapatikana Asia na Europe sana
Hawa ni balaaa
 
Nyuki huwa wana athiriwa sana na dawa za kuuwa wadudu zinazopuliziwa kwenye mimea mbali mbali ya mazao ya biashara.

Kumbuka nyuki anapokuwa anatafuta material ya kutengeneza asali huwa anapapasa karibu kila mmea. Kwa bahati mbaya hii mimea ya kisasa huwa inapuliziwa dawa za kuuwa wadudu waharibifu ambazo hizi dawa huwa ni sumu hat kwa mwanadamu.

Nyuki wanapopita especially maeneo yenye hiyo mimea na kuigusa, huwa wanarejea na ile sumu katika mikono yao na wanaingia nayo kwenye mzinga bila kujua madhara yake. Na inapotokea wakawa wengi na wakaisambaza, ikamfikia hadi malkia ndipo hapo huwa ni mwisho wa hilo koroni.

Hii tafiti niliifanya miaka mitatu iliyopita kwa kutazama video za kimazingira huko YouTube. Na nilishaizungumza kipindi fulani kuwa haya madawa na mbegu za kibiashara zitakuja kuwa na madhara kwenye mazingira siku zijazo, ila sikupata ushirikiano mzuri nikaonekana kama mtu anayejifanya mjuaji.

Leo huyu mwenzetu ameshaanza kuona madhara.....

Kama unabisha nenda katazame mizinga iliyopo kwenye misitu au maporini, uone kama inakutwa na hili tatizo.
Dah, mkuu shukurani sana. Hii ndio nguvu ya JF. hii inaweza kujibu maswali mengi sana.

Vipi kuhusu kupata makundi mapya ya nyuki? kuna watu wanaweza kuzalisha makundi kweli na ku supply kwa wengine au story, maana kuna kipindi kuna jamaa alisema anazalisha lakini lilivyomtafuta akaonekana kama ana story nyingi kuliko matokeo.

Hilo linawezakana kweli?
 
Back
Top Bottom