Ufugaji wa kisasa wa Nyuki: Faida, Utaalam na Masoko

Ufugaji wa kisasa wa Nyuki: Faida, Utaalam na Masoko

Samahan mkuu ila hizo kilo 12 ni kila unapo vuna ama ni total ya hizo mara tano unazo vuna.??
 
Aisee wakuu mnapatikana wapi kwan na mm natafuta eneo la kufugia nyuki..
Shukran.
 
Wadau mm ninaomba kujua namna nzur ya kufuga Nyuki na soko la Asali na Nta.
 
Habari wana JF mimi ni kijana ambaye naingia chuo mwaka wa pili ila nilifikiria mradi wa kunisaidia kuongeza kipato wakati nasoma nikawa interested na ufugaji wa nyuki(ufugaji wa kisasa) kwa ajili ya kuuza a asali ila nimepata detail kidogo tu ambazo hazitoshi kuanzisha mradi huu.Nilikuwa naomba kwa anayejua au mwenye uzoefu atueleze kuhusu gharama za kuanzisha na kurun hi business pamoja na changamoto na hali ya soko..asanten
 
Me nina Diploma ya ufugaji nyuki kutoka Beekeeping Training Institute-Tabora
Sim:0764 458 513
npo tayar kukusaidia

Sasa kuliko kusema hivyo bwana mkubwa si bora ungesema hapa ili kila mtu aweze kupata hiyo elimu na utakuwa umegusa watu wengi kwa wakat mmoja
 
Kapate uzoefu kwa Waziri Mkuu aliyemaliza muda wake Mizengo Kayanza Peter Pinda aka mzee wa kulia
 
Habari wana JF mimi ni kijana ambaye naingia chuo mwaka wa pili ila nilifikiria mradi wa kunisaidia kuongeza kipato wakati nasoma nikawa interested na ufugaji wa nyuki(ufugaji wa kisasa) kwa ajili ya kuuza a asali ila nimepata detail kidogo tu ambazo hazitoshi kuanzisha mradi huu.Nilikuwa naomba kwa anayejua au mwenye uzoefu atueleze kuhusu gharama za kuanzisha na kurun hi business pamoja na changamoto na hali ya soko..asanten
 
Samahan mkuu ila hizo kilo 12 ni kila unapo vuna ama ni total ya hizo mara tano unazo vuna.??

Habari,
Samahani kwa kuchelewa kukupa jibu natumai tutakua hatujachelewa. Naitwa Christopher Kadendula kutokea Central Park Bees Limited na ntaendelea kujibu maswali yenu.
Kwa jibu la swali lako, hizo kilo 12 ni kwa kila vuno moja. Karibu tuwasiliane zaidi 0789898939/0718513302
 
Karibu CENTRAL PARK BEES LIMITED, wauzaji wa vifaa vya kisasa vya ufugaji wa nyuki. Pia tunatoa mafunzo ya ufugaji nyuki kwa wateja wetu na watu wengine wa kawaida.

Hapo chini imeambatanishwa PDF ambayo inalist ya vifaa vyote vinavyopatikana kwetu na bei zake.

Punguzo la bei linapatikana kulingana na idadi ya vifaa utakavyonunua..

Kwa mawasiliano zaidi:
Christopher J. Kadendula
+255 789 898 939 au +255 718 513 302
ckadendula@centralparkbees.co.tz
ckadendula@yahoo.com

Kwa taarifa zaidi tembelea tovuti yetu Central Park Bees Ltd - Home of Beekeepers | Beehive Management, Swarm Removal, Training, Site Survey, Pollination Services Bees Products
 

Attachments

Habar wadau,

Jamani kwanini uadilifu ni neno tata kwa viongozi wetu yani waziri mkuu ni rahis kuanzisha mradi wowote sababu pesa anazo sasa kwanini isiwe kwa wahitimu wetu wa vyuo vikuu wakawezeshwa maana wengine hatq kuinyaka milion ni mtian huko mtaani kama tempo la uticha ndo balaa kabisa.
 
Magufuli katika hotuba yake bungeni amezungumzia suala la kuwawezesha wahitimu kulingana na fani zao kwa mitaji!
 
Mbali na hilo wahtimu wenyewe hujiona kama ni watu wakubwa saaaana
Kuna mashamba kibao ya watu binafsi na wawekezaji ambao wao kama wao wangeenda kujitolea kwa muda ili kupata mtaji wa kuanzisha mashamba yao madogo na uzoefu kutokana na viposho.

Wengi wamekimbilia mjini na ukiwauliza makwao huko wameacha mashamba tena ya bure ya familia zao,sasa wanataka kuishi Dar ili walime lami?

Hivi nani hapa ambae familia yake haina shamba kwao huko,na naninani anataka kurudi kwao,utumwa wa akili.

Hata Raisi afanye vipi,akama akili zetu wenyewe hazitabadilika na usomi kuwa kwa uhalisia basi tutafeli,na hatimae wale wasio na elim ndio wanaonekana sana kufanikiwa kwenye kilimo kwa kuelekezana wao kwa wao
 
Mbali na hilo wahtimu wenyewe hujiona kama ni watu wakubwa saaaana
Kuna mashamba kibao ya watu binafsi na wawekezaji ambao wao kama wao wangeenda kujitolea kwa muda ili kupata mtaji wa kuanzisha mashamba yao madogo na uzoefu kutokana na viposho.

Wengi wamekimbilia mjini na ukiwauliza makwao huko wameacha mashamba tena ya bure ya familia zao,sasa wanataka kuishi Dar ili walime lami?

Hivi nani hapa ambae familia yake haina shamba kwao huko,na naninani anataka kurudi kwao,utumwa wa akili.

Hata Raisi afanye vipi,akama akili zetu wenyewe hazitabadilika na usomi kuwa kwa uhalisia basi tutafeli,na hatimae wale wasio na elim ndio wanaonekana sana kufanikiwa kwenye kilimo kwa kuelekezana wao kwa wao

Mkuu wapi yanapatikana hayo mashamba ya kujitolea ya watu banafsi au wawekezaji yanayotoa viposho? Mimi nayasaka sana bila mafanikio. Nahitaji kuongeza utaalamu kwenye kilimo na hatimaye kumiliki mashamba yangu. Kama una maelekezo nisaidie nifuatilie.
 
Sio kila mtu kwao kuna ardhi ya kulima mfano uchagani ardhi ni ngumu sana ndo maana tunatapakaa kila mkoa.
 
Back
Top Bottom