Ufugaji wa kisasa wa Nyuki: Faida, Utaalam na Masoko

Ufugaji wa kisasa wa Nyuki: Faida, Utaalam na Masoko

Vipi ukihitaji Nyuki wadogo inakuaje? Na mizinga 50 inaweza kuchukua eneo kiasi gani?

Eneo la square meter 1200 litatosha vizur kabisa na kubaki nafasi. Mizinga yetu haiihitaji kutundikwa juu ya miti, unaweza kuipanga katika stand au ukajenga bee house ya kuingia mizinga 50 yote


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Habari,

Kampuni yetu ya Central Park Bees inakuja na KIT iliyokamilika ya kukuwezesha wewe kuingia katika biashara ya ufugaji wa nyuki kwa njia ya kisasa na yenye mafanikio makubwa.

Kwa wateja wetu tutaweza kutoa msaada kwa mwaka mzima pale utapoitajika pia kuhakikisha mizinga yako iko katika hali nzuri wakati wote na mteja hatotakiwa kuwaza kuhusu soko kwasababu kampuni yetu itahusika na kununua asali yote toka kwa mteja na kufanya malipo mara moja bila kuchelewesha.

KIT yetu itakua na orodha ya vitu vifuatavyo:-
  1. Langstroth bee hives
  2. Bee smoker
  3. Protective bee suits with gloves
  4. Hive tool
  5. Bee brush
  6. Fork
  7. Stainless steel sieve
  8. 3 frame manual honey extractor
  9. Practical training in our farm

Kupitia training yetu utaweza kujifunza jinsi ya kutumia vifaa vyote hapo juu na pia kujifunza ufugaji bora wa nyuki kwa vitendo katika shamba letu na jinsi gani utajiingizia pesa nyingi kupitia hii biashara.

Sababu za kutuchagua sisi:-
  1. Uhakika wa soko
  2. Vifaa vya kisasa hivyo kupekea asali yenye kuhitajika katika soko la kimataifa
  3. Bei za ushindani za vifaa

NB: Kwa sasa shamba letu la mfano lipo Dodoma ila tuko katika mchakato wa kuanzisha katika mikoa tofauti.

Gharama ya KIT nzima nimeainisha katika PDF hapo chini na marejesho ya mtaji wako ni ndani ya mwaka mmoja tu, miaka inayofuata ni faida kwako.

Mizinga yetu ina guarantee ya kuishi zaidi ya miaka 20 bila shida yoyote.

Mawasiliano:
0655003510
Mkuu embu tupe faida za kufuga nyuki, je kama mie ni mfugaji mkubwa kabisa wa nyuki kwa mwezi ntakua naingiza shillingi ngapi?
 
by Baraka 607
Kwa ufugaji wa kibiashara nashauri angalau mtu kuwa na mizinga kuanzia 50 kwenda mbele.

Hesabu yake:
1hive = 12kgs/harvest (Minimum)
Ndani ya mwaka 1 unaweza kuvuna mara 5, hivyo;

50 Hives = 600kgs

600Kgs * 5 harvest = 3000Kgs

Wholesale price:
1kg = 7000 Tshs
3000Kgs = Tshs 21,000,000/=

Napata shida kidogo kukubaliana na mahesabu haya. assumption ni kwamba once utakapoweka mizinga yako 50, nyuki wataingia mara moja tena katika mizinga yote, Je katika hali halisi ndio ilivyo? mara ngapi watu mpaka wanahamisha mizinga baada ya kukaa mahala bila nyuki kuingia kwa muda mrefu? probably unisaidie kuna mbinu gani ya kuhakikisha nyuki wanaingia kwenye mzinga mbali na kupaka nta ndani ya mzinga! manake watundika mizinga wote hupaka nta ndani yake but still hukaa miaka nyuki hawajaingia.
 
Habari,

Kampuni yetu ya Central Park Bees inakuja na KIT iliyokamilika ya kukuwezesha wewe kuingia katika biashara ya ufugaji wa nyuki kwa njia ya kisasa na yenye mafanikio makubwa.

Kwa wateja wetu tutaweza kutoa msaada kwa mwaka mzima pale utapoitajika pia kuhakikisha mizinga yako iko katika hali nzuri wakati wote na mteja hatotakiwa kuwaza kuhusu soko kwasababu kampuni yetu itahusika na kununua asali yote toka kwa mteja na kufanya malipo mara moja bila kuchelewesha.

KIT yetu itakua na orodha ya vitu vifuatavyo:-
  1. Langstroth bee hives
  2. Bee smoker
  3. Protective bee suits with gloves
  4. Hive tool
  5. Bee brush
  6. Fork
  7. Stainless steel sieve
  8. 3 frame manual honey extractor
  9. Practical training in our farm

Kupitia training yetu utaweza kujifunza jinsi ya kutumia vifaa vyote hapo juu na pia kujifunza ufugaji bora wa nyuki kwa vitendo katika shamba letu na jinsi gani utajiingizia pesa nyingi kupitia hii biashara.

Sababu za kutuchagua sisi:-
  1. Uhakika wa soko
  2. Vifaa vya kisasa hivyo kupekea asali yenye kuhitajika katika soko la kimataifa
  3. Bei za ushindani za vifaa

NB: Kwa sasa shamba letu la mfano lipo Dodoma ila tuko katika mchakato wa kuanzisha katika mikoa tofauti.

Gharama ya KIT nzima nimeainisha katika PDF hapo chini na marejesho ya mtaji wako ni ndani ya mwaka mmoja tu, miaka inayofuata ni faida kwako.

Mizinga yetu ina guarantee ya kuishi zaidi ya miaka 20 bila shida yoyote.

Mawasiliano:
0655003510

Hiyo bei mbona imekaa kimbwiga mbwiga hivi? Ungeainisha bei ya kila kifaa badala.ya kuweka lump sum! Haiingii akilini eti nikihitaji mizinga 10 lazima na hivyo vifaa viwe 10, kwa jinsi ninavyoona kuna vifaa labda utanunua mara moja. Hiyo bei yako siyo halisi!
 
Sio lazma kusubiri nyuki waingie katika mizinga yote hamsini, ipo njia ya kuwezesha mizinga yote kuwa na nyuki kwa muda mmoja. Hayo yote utayafahamu ukifika ofisi zetu
 
Hiyo bei mbona imekaa kimbwiga mbwiga hivi? Ungeainisha bei ya kila kifaa badala.ya kuweka lump sum! Haiingii akilini eti nikihitaji mizinga 10 lazima na hivyo vifaa viwe 10, kwa jinsi ninavyoona kuna vifaa labda utanunua mara moja. Hiyo bei yako siyo halisi!

Sio lazima ununue hiyo kit, ukiona huna mahitaji na vifaa vilivyopo ndan ya hiyo kit basi ni ruksa kununua mizinga pekee.
 
Sio lazima ununue hiyo kit, ukiona huna mahitaji na vifaa vilivyopo ndan ya hiyo kit basi ni ruksa kununua mizinga pekee.
Ndo maana mimi nikasema bei ilivyokaa kimbwiga mbwiga, sasa mkuu si ungeweka bei ya kitu kimoja kimoja? Ili iwe rahisi kwa mdau kuchagua vifaa anavyohitaji, sasa wewe unaweka milioni 3 jumla jumla tu!!
 
natumsini muwazima wa afya. wapendwa wanajimii forum, mimi naitwa simon nipo njombe. nina lengo la kufanya ufugaji wa nyuki sasa sina ujuzi wa kutosha. Kwahivyo nime kuja kwenu wana jamii kutafuta ujuzi hivyo naomba kama kuna mtu ana uzoefu au ujuzi huo
au anajua ni wapi naweza pata ujuzi huo naomba tuwasiliane kwa email.sregnald53@gmail.com
 
Karibu Central Park Bees Ltd - the home of beekeepers, advanced beekeeping equipments and training in Tanzania.
Contact: +255 753 196 849

Email: info@centralparkbees.co.tz

Website Link: Central Park Bees Ltd - Home of Beekeepers | Beehive Management, Swarm Removal, Training, Site Survey, Pollination Services Bees Products
screenshot-centralparkbees pe hu 2015-01-03 12-25-12.jpgscreenshot-centralparkbees pe hu 2015-01-03 12-27-14.jpg
 
Ndugu wataalamu wa nyuki hebu tupe maelezo kidogo ya maswali yangu haya hapa chini.


  1. Wapo nyuki wadogo na nyuki wakubwa. Je ni aina ipi hasa ina faida nyingi na rahisi kufuga?
  2. Ni maeneo gani ya nchi yetu yenye malisho mazuri na mengi kwa kufuga nyuki?
  3. Je gharama za kufuga nyuki hadi kuvuna asali ziko vipi?
  4. Mizinga ya aina gani inahitajika kwa nyuki wakubwa na nyuki wadogo na inapatikana wapi na kwa gharama gani?
  5. Soko la asali liko vipi hapa nchini?
  6. Ni changamoto zipi wanazokabiliana nazo wafugaji wa nyuki?

Karibu FBY 2013

Habari ndugu yangu,

Naomba nichukue nafasi hii kujibu maswali yako japo ni ya muda mrefu ila inaweza kuwa faida kwako na kwa wengine ambao itakua mara yao ya kwanza kutembelea thread hii.

Majibu:
1. Nyuki wakubwa wana faida zaidi kwani zaidi ya kupata asali utapata mazao mengine ya nyuki kama pollen, propolis, beewax na royal jelly ambayo bei yake ni zaidi ya asali katika market.
2. Nchi yetu tumebarikiwa kwani tuna zaidi ya 33.2 hectares ambazo ni forests na woodlands mahususi kabisa kwa ufugaji wa nyuki, pia maeneo mengi ya nchi yana hali ya hewa nzuri hovyo kufanya uoto wa asili kuwepo muda mwingi.
3. Kuhusu swala la gharama inategemea na wewe umeamua kuwekeza kiasi gani cha pesa na una matajio ya kutaka kuwa unapata kiwango gani cha asali kwa mwaka.
4. Mizinga aina ya Langstroth ndo mizinga mizuri kwa ufugaji wa nyuki kwa faida kwani ni rahisi kuimudu na uzalishaji wake ni wa kiwango kikubwa sana. Una uwezo wa kuvuna hadi 20kgs kwa mzinga kwa kila mvuno. Tembelea website yetu http://www.centralparkbees.co.tz kuweza kupata mizinga hiyo na vifaa vingine muhimu.
4. Soko la asali ni kubwa kuliko uzalishaji uliopo, almost asilimia zaidi ya 50% ya asali inayozalishwa hutumika hapa nchini kwa viwanda vya vinywaji na binadamu.
5. Changamoto wanazokabiliana nazo wafugaji ni nying ila kubwa ni uwezo wa kumudu vifaa vya kisasa ili kupata product inayoendana na hitaji la soko, uelewa duni wa faida za nyuki katika maisha yetu ya kawaida ya kila siku, uelewa duni wa jinsi ya kujikinga na magonjwa na wadudu wanaoweza shambulia nyuki na kukupunguzia kipato.

Karibu.
 
Je kila sehemu unaweza fuga nyuki ama.kuna maeneo /mikoa maalum ya ufugaji nyuki?
 
Back
Top Bottom