Asante
JF-Expert Member
- Dec 18, 2009
- 2,086
- 1,081
Ndugu wataalamu wa nyuki hebu tupe maelezo kidogo ya maswali yangu haya hapa chini.
Karibu FBY 2013
- Wapo nyuki wadogo na nyuki wakubwa. Je ni aina ipi hasa ina faida nyingi na rahisi kufuga?
- Ni maeneo gani ya nchi yetu yenye malisho mazuri na mengi kwa kufuga nyuki?
- Je gharama za kufuga nyuki hadi kuvuna asali ziko vipi?
- Mizinga ya aina gani inahitajika kwa nyuki wakubwa na nyuki wadogo na inapatikana wapi na kwa gharama gani?
- Soko la asali liko vipi hapa nchini?
- Ni changamoto zipi wanazokabiliana nazo wafugaji wa nyuki?
Karibu FBY 2013