Ufugaji wa kisasa wa Nyuki: Faida, Utaalam na Masoko

Ufugaji wa kisasa wa Nyuki: Faida, Utaalam na Masoko

mimi nnazalisha makundi yangu mwenye ya nyuki na muda si mrefu ntaanza uza kwa yeyote anaehitaji,ishu ya kutundika mizinga miezi 6 unagoja nyuki kuingia ndani yake ni mambo ya mwaka 47
 
mimi nnazalisha makundi yangu mwenye ya nyuki na muda si mrefu ntaanza uza kwa yeyote anaehitaji,ishu ya kutundika mizinga miezi 6 unagoja nyuki kuingia ndani yake ni mambo ya mwaka 47

utauza bei gani mkuu?, nyuki wa aina gani? ukubwa wa mzinga na matarajio ya urinaji wa asali ni kiasi gani kwa lita?
 
habari wana jf....
Nyuki wanaong'ata na wasio ng'ata wana tofauti katika kuzalisha asali.....
 
utauza bei gani mkuu?, nyuki wa aina gani? ukubwa wa mzinga na matarajio ya urinaji wa asali ni kiasi gani kwa lita?
WADOGO NA WAKUBWA wakubwa ni mpaka liter 60 mzinga mmoja kwa mwaka
 
Nawashukuru sana wadau mliochangia hoja,nimefaidika sana na nataka kuanza shughuli za ufugaji wa nyuki ila sijui ni kiasi gani cha mtaji kinahitajika kwa mmfano nikitaka kuanza na mzinga mmoja, na je? Nikiwa na mtaji naweza kumuachia mtu akaendelea kuusimamia?nauliza hivyo kwa sababu bado nasoma chuo
 
pia tunashauri ili kuongeza thamani unaweza kuprocess na kupack asali. Pia ukichemsha lakini isiwe juu ya centigrade 80
 
Hongera mkuu kwa kuelimisha kuhusu Nyuki,Natumai elimu hii wangeipata pia wale jamaa wa kwa PM kule Zuzu - Dom ingewasaidia sana.Shamba lina zaid ya mizinga 100 lakin ni mizinga mi 5 tu ndo ina Nyuki.
 
Hongera mkuu kwa kuelimisha kuhusu Nyuki,Natumai elimu hii wangeipata pia wale jamaa wa kwa PM kule Zuzu - Dom ingewasaidia sana.Shamba lina zaid ya mizinga 100 lakin ni mizinga mi 5 tu ndo ina Nyuki.

Katika kuandaa business plan,hakikisha unajua gharama za uendeshaji na uwekezaji, pia tambua vyanzo vya mapato yako! Hakikisha mapato yanazidi gharama!
 
kuna aina ngapi za mizinga? na kila mmoja unaweza kutoa lita ngapi kwa mwaka? kuna mwenye maujuzi atufahamishe?
 
Wadau (wataalamu) naomba ushauri wenu kuhusu hii biashara.
Nataka ni-invest 25,000,000 Tshs ktk mradi wa ufugaji wa nyuki wa kisasa.
Je, ufugaji huu unafaa ktk mikoa ya Pwani km vile Bagamoyo (Fukoyasi/ Kiwangwa)?
Nahitaji nitafute eneo la kama ekari 25 ambapo nitatumia ekari 5-15 ktk mradi huu.
Kama inawezekana, naweza kuweka mizinga mingapi kwa hiyo 25M (hii haihusishi gharama za kununua shamba na kupata hati miliki.
 
Wadau (wataalamu) naomba ushauri wenu kuhusu hii biashara.
Nataka ni-invest 25,000,000 Tshs ktk mradi wa ufugaji wa nyuki wa kisasa.
Je, ufugaji huu unafaa ktk mikoa ya Pwani km vile Bagamoyo (Fukoyasi/ Kiwangwa)?
Nahitaji nitafute eneo la kama ekari 25 ambapo nitatumia ekari 5-15 ktk mradi huu.
Kama inawezekana, naweza kuweka mizinga mingapi kwa hiyo 25M (hii haihusishi gharama za kununua shamba na kupata hati miliki.

Si mtalaam wa nyuki, ila kwa kiasi ninachojua, mikoa ya pwani huwezi kupata mavuno mazuri, yaani hata asali inayopatikana inaweza isitoshe hata kuwalisha nyuki wenyewe, pili unaweza pata taabu kupata makoloni ya kutosha mizinga yako kwa sababu deswarming haifanyiki.

Mkoko Bagamoyo kuna nyuki wengi, sijui uzalishaji wake, pia nimeona mizinga mipya ya kisasa michache Madesa Msata juzi hapa.Sijui kama imepata nyuki au la.

Morogoro/Iringa/Tanga, hii ni mikoa ya karibu kama uko Dar ambako unaweza kuwekeza kwa mafanikio sababu chakula cha nyuki ni kingi. Lindi pia nimewahi kuona mitaa ya Malendego. Ila kama unataka kupata asali organic nenda Uvinza Kigoma,Mkinga tabora nk.
 
mkuu Malila napenda kujua jinsi ya kuwafanya nyuki waingie kwenye mzinga mpya,na pia wakati wowote katika mwaka nyuki wanaweza kuhamia kwny mzinga mpya au huwa wana kipindi chao maalum.....naomba msaada juu ya hayo japo bado nina maswali
 
Nyuki kuhamia kwenye mizinga kuna nta maalumu ya kuwaita .Kikubwa shambani kwako unatakiwa ulime mzao ya maua kama alizeti pia kuwepo ma bwawa la maji karibu .Kama unahitaji elimu zaidi ya nyuki pm
mkuu Malila napenda kujua jinsi ya kuwafanya nyuki waingie kwenye mzinga mpya,na pia wakati wowote katika mwaka nyuki wanaweza kuhamia kwny mzinga mpya au huwa wana kipindi chao maalum.....naomba msaada juu ya hayo japo bado nina maswali
 
Si mtalaam wa nyuki, ila kwa kiasi ninachojua, mikoa ya pwani huwezi kupata mavuno mazuri, yaani hata asali inayopatikana inaweza isitoshe hata kuwalisha nyuki wenyewe, pili unaweza pata taabu kupata makoloni ya kutosha mizinga yako kwa sababu deswarming haifanyiki.

Mkoko Bagamoyo kuna nyuki wengi, sijui uzalishaji wake, pia nimeona mizinga mipya ya kisasa michache Madesa Msata juzi hapa.Sijui kama imepata nyuki au la.

Morogoro/Iringa/Tanga, hii ni mikoa ya karibu kama uko Dar ambako unaweza kuwekeza kwa mafanikio sababu chakula cha nyuki ni kingi. Lindi pia nimewahi kuona mitaa ya Malendego. Ila kama unataka kupata asali organic nenda Uvinza Kigoma,Mkinga tabora nk.
Asante sana Malila.
Nitauzingatia ushauri wako.
 
mkuu Malila napenda kujua jinsi ya kuwafanya nyuki waingie kwenye mzinga mpya,na pia wakati wowote katika mwaka nyuki wanaweza kuhamia kwny mzinga mpya au huwa wana kipindi chao maalum.....naomba msaada juu ya hayo japo bado nina maswali

Kuna njia tatu zinazowafanya nyuki wahamie ktk mzinga mpya.

1. Deswarming, hii ni njia ambayo hutokea kwa sababu nyuki wamekuwa wengi hivyo hujigawa nusu kwa nusu, koloni moja huhamia sehemu nyingine na malikia mpya.Njia hii mara nyingi iko sana ktk maeneo ambayo chakula cha nyuki ni kingi.

2. Njia ya pili ni ya kuwawekea nta au pro polis ktk mzinga mpya. Watahamia mzinga huu kwa deswarming au kutafuta usalama zaidi.

3. Kutafuta usalama wao. Pamoja na ukali wao wote, lakini nao wanaogopa kufa. Kama kutakuwa na mazingira mabovu na yasiyo salama nyuki watahama na kuhamia airtel !!!!!!!. Hapa kuna mambo kama ukosefu wa chakula,vurugu,maji hakuna,moto, wanyama kama paka pori nk.

Kwa ufupi hizi ndio njia zilizozoeleka kwa wengi.
 
Nyuki kuhamia kwenye mizinga kuna nta maalumu ya kuwaita .Kikubwa shambani kwako unatakiwa ulime mzao ya maua kama alizeti pia kuwepo ma bwawa la maji karibu .Kama unahitaji elimu zaidi ya nyuki pm

Kuna maua gani mengine ya kupanda zaidi ya alizeti?
Na mizinga inatakiwa kuwa iwe na umbali gani toka ardhini?
Vipi kama shamba lina kisima, inaweza kuwa mbadala wa bwawa?
Inachukua muda gani mpaka mavuno ya kwanza?
 
Kuna njia tatu zinazowafanya nyuki wahamie ktk mzinga mpya.

1. Deswarming, hii ni njia ambayo hutokea kwa sababu nyuki wamekuwa wengi hivyo hujigawa nusu kwa nusu, koloni moja huhamia sehemu nyingine na malikia mpya.Njia hii mara nyingi iko sana ktk maeneo ambayo chakula cha nyuki ni kingi.

2. Njia ya pili ni ya kuwawekea nta au pro polis ktk mzinga mpya. Watahamia mzinga huu kwa deswarming au kutafuta usalama zaidi.

3. Kutafuta usalama wao. Pamoja na ukali wao wote, lakini nao wanaogopa kufa. Kama kutakuwa na mazingira mabovu na yasiyo salama nyuki watahama na kuhamia airtel !!!!!!!. Hapa kuna mambo kama ukosefu wa chakula,vurugu,maji hakuna,moto, wanyama kama paka pori nk.

Kwa ufupi hizi ndio njia zilizozoeleka kwa wengi.

Hii njia inakuwa applied hata kwa nyuki wasiouma?
 
Kuna maua gani mengine ya kupanda zaidi ya alizeti?
Na mizinga inatakiwa kuwa iwe na umbali gani toka ardhini?
Vipi kama shamba lina kisima, inaweza kuwa mbadala wa bwawa?
Inachukua muda gani mpaka mavuno ya kwanza?

Nyuki walikuwepo kabla ya alizeti kuenea nchini kwetu, na kuna sehemu alizeti hakuna na nyuki wapo na wana asali bomba. Cha msingi sana kuwe na maua umbali usio pungua 4km kutoka kwenye mzinga. Nje ya umbali huo nyuki hupotea njia ya kurudia kwao. Kumbuka pollination theory.

Hakuna kipimo rasmi, ila mzinga ukiwa juu kama mita moja na kuendelea juu ni bora zaidi, hasa kwa usalama. Kuna wadudu,wanyama wadogo, maji pia yanaweza kuozesha. Kumbuka pia nyuki hukaa mashimoni !!! Maji ni muhimu sana ili wasitumie muda mwingi kutafuta maji. Ukiwa na kisima chenye maji na kiko wazi itakuwa vizuri, sio kisima kina kina kirefu, nyuki hawezi ingia huko kuteka maji, ndio maana wanapendekeza bwawa/ponds kwa sababu maji yako at ground level.

Mavuno hutegemea chakula na majira ktk eneo husika. Kuna sehemu wanavuna mara mbili kwa mwaka, may na november kama Iringa. sehemu nyingine mara moja, na kwingine hakuna kuvuna. Factor kubwa ni uwingi wa chakula na majira ya mwaka. Kukiwa na baridi na maua hakuna nyuki nao hawawezi kuwa na asali. Kwa hiyo waweza ona kwamba jibu la swali lako haliwezi kuwa sawa kwa kila sehemu. Kama msosi ni mwingi, ndani ya miezi mitano kitu kinajibu.
 
Back
Top Bottom