Ufugaji wa kisasa wa Sungura: Ushauri wa masoko na faida za ufugaji

Mnao nunua sungura msisahau na kununua mifuko ya cement kwa ajili ya kuzibia mashimo.

shimo 1 = mfuko 1 = sungura 1
eee weee jamaa wewe umenichekesha sana na hyo equation yako. mi ninae sungura mmoja mkorofi balaa
 
Tanzania ya viwanda me ndio naisubiria hiyo tuu[emoji119] sungura pita mbali na mimi
 
Pole kwa masahibu na changamoto za biashara nakushauri usiache hiyo biashara kwa sababu ya changamoto bali endelea kukomaa kwani changamoto zipo kila mahali penye mafanikio.
 
Njoo kisutu jengo la red cross ghorofa ya kumi uliza I charity Global vision kila J5, Ijiumaa na Jmosi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…