Ufugaji wa Kuku aina ya Kuchi na masoko yake ndani na nje ya Tanzania

Ufugaji wa Kuku aina ya Kuchi na masoko yake ndani na nje ya Tanzania

Wapo call 0779420000

hivi mitetea ya kuchi inatamia? je nikimchukua jogoo nikachanganya na hawa mitetea ya kienyeji ya kawaida kuku atakayetoka atakua chotara je naye kama ni wa kike atatamia kweli mana kuna vitu nasikiasikia ambavyo ndivyo sivyo
 
hivi mitetea ya kuchi inatamia? je nikimchukua jogoo nikachanganya na hawa mitetea ya kienyeji ya kawaida kuku atakayetoka atakua chotara je naye kama ni wa kike atatamia kweli mana kuna vitu nasikiasikia ambavyo ndivyo sivyo

ngoja nikufafanulie kutoka na uzoefu nilio nao.
kuch majike hawawi wakubwa sana wanataga na wanaatamia
ila tu wengi wao hawajui kutunza vifaranga.
katika hao vifaranga ndipo wanapotoka majogoo ambayo hukua sana tofauti na kuchi wa kike.
 
ngoja nikufafanulie kutoka na uzoefu nilio nao.
kuch majike hawawi wakubwa sana wanataga na wanaatamia
ila tu wengi wao hawajui kutunza vifaranga.
katika hao vifaranga ndipo wanapotoka majogoo ambayo hukua sana tofauti na kuchi wa kike.

je hao kuchi ndio wale wa malawi? je hao kuchi wanataga mayai mangapi kwa siku? na kama hao kuchi siyo hao wa malawi je hao wa malawi nao wanatamia?
 
je hao kuchi ndio wale wa malawi? je hao kuchi wanataga mayai mangapi kwa siku? na kama hao kuchi siyo hao wa malawi je hao wa malawi nao wanatamia?

kuku wa Malawi ni hybrid nadhani ambao ni weusi na upanga mwekundu uliokolea.
kuch wazuri ni wa kienyeji hawajachanganyika na ni wakubwa sana wanataga yai moja kawaida.
na hao wa Malawi wanataga na kuatamia kawaida japo si wazuri sana kama kuku wa kienyeji pure.
Malawi na kuch wanatofautiana kwa kiwango kikubwa kuanzia umbo na tabia zao.
 
Wana JF.
Ingia katika business segment mpya katika ufugaji kwa kufuga kuku aina ya kuchi ambao pure wa kienyeji.
Angalia picha kwa kujiridhisha.
Kuku hawa wana bei nzuri na soko kubwa na vile supply yake ni ndogo sana, so unaweza ukatengeneza abnormal profit ya eneo uliopo.
Kwa ubora vizuri uagizie kutoka zanzibar
 
Picture.
 

Attachments

  • 1429253859579.jpg
    1429253859579.jpg
    94.5 KB · Views: 1,021
  • 1429253876405.jpg
    1429253876405.jpg
    61.9 KB · Views: 816
  • 1429253901854.jpg
    1429253901854.jpg
    70.9 KB · Views: 794
Bei ukweli ni kubwa kuliko tunavo fikiria, yani km ntaamia kuuza basi ni Tsh 1,700,000
 
Mimi nashindwa kuelewa kinachompa kuchi hii thamani ni nini hasa....kwa bei iyo si bora ukanunue ng'ombe.

Watu wana inflate sana bei za huyu kuku. Naanza uzalishaji mkubwa wa kuchi. Ntakuwa nauza kifaranga kwa sh 1800 na wa mwezi 3000..
 
Hivi huyo kuku anakipi cha ziada hadi kuuzwa hiyo bei? Mwenyewe nataka kuanza kuwafuga
 
Bei yake haijakosewa, na ndio market price ya huyo kuku mmoja.
Kama unao km hawa niuzie niwekeeni picture mm na wahitaji lkn wawe na ubora km nilionesha kwenye pictures, km nyie mnaona hana thamani hio
 
Mm nahitaji hao kuku lakini asiwe ana mdomo mrefu km picture ya tatu, kwani hao bei yake ni ndogo na hawanivutii sana.
 
Mleta mada nna wasiwasi na wewe!!! Yaani bila aibu kuku mmoja million moja na laki saba?!!!? Huyo kuku anadhahabu ndani ama?!
 
Salaaam wadau....Kuchi ni ghali lakini sio kwa bei hiyo...Mimi ninao nilinunua dume kwa laki na ishirini....Vifaranga wanauza elf 25 mpaka 40
 
Back
Top Bottom