azzurre
Senior Member
- Apr 14, 2013
- 107
- 96
Salaaam wadau....Kuchi ni ghali lakini sio kwa bei hiyo...Mimi ninao nilinunua dume kwa laki na ishirini....Vifaranga wanauza elf 25 mpaka 40
Hizo ndo bei yake, ktk market ya Zanzibar, sasa km ww unao, nioneshe picha mm nipo tayari kununua kwa laki mbili na hamsini.
Bila kupatana