Kama Dar Hakuna Ulazima wa Kukaa nakushauri hii Shughuli itapendeza zaidi Mikoani na 2.2M ni Kiasi Kikubwa sana Kama haujaoa hauna Kazi yeyote unaweza ukaachana na Dar na Kwenda hata hapo Mkurunga Utafanikiwa.
Kaka Troll na wana jf mliomo humu naomba munipe mawazo yenu katika hili,,,
Mimi niko chuoni, nimeona nianze ufugaji kupitia boom langu, nimeamua ninunue kuku kumi huku mbeya but mimi nyumbani ni mwanza, mbeya ni kwa dada yangu, dada yeye ana uwanja mkubwa sana hivyo nilipomtem
Kama Dar Hakuna Ulazima wa Kukaa nakushauri hii Shughuli itapendeza zaidi Mikoani na 2.2M ni Kiasi Kikubwa sana Kama haujaoa hauna Kazi yeyote unaweza ukaachana na Dar na Kwenda hata hapo Mkurunga Utafanikiwa.
Kaka Troll na wana jf mliomo humu naomba munipe mawazo yenu katika hili,,,
Mimi niko chuoni, nimeona nianze ufugaji kupitia boom langu, nimeamua ninunue kuku kumi mbeya but mimi nyumbani ni mwanza, mbeya ni kwa dada yangu, dada yeye ana uwanja mkubwa sana hivyo nilipomtembeea nikaona nimuulize kama naweza kuweka mifugo yangu kwake akaitunza , alikubali, yeye dada ni mkulima hivo ni mtu wa shambani sana, naombeni mnipe ujuzi jinsi navoweza kumwelekez ili kuku wakue vizuri mimi nikiwa mbali na ukizingatia pia ndio kwanza nimeanza ufugaji, na mawazo haya ni kutokana na inspiration kubwa niliyoipata hapahapa jf, hivyo naombeni sana ndgu zangu, mdogo wenu nimeamua nifanye kufuga hivyo mawazo yenu ni muhimu sana, naombeni msinikatishe tamaa ikiwa ndio niko stage za mwanzoni…!!