Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

Du... Kuna Kirusi Kimekula file la uzi huu kwenya PC ya Mleta Uzi... na hakumbuki alichoandika.
 
ndo nimemaliza kujenga banda, mbinu zako zitanisaidia mbeleni
 
Kusema kweli jf ni zaidi ya chuo kikuu! Najifunza mengi humu ndani. Mbarikiwe nyote mnaotoa elimu bure!
 
Kwanza kabisa napenda nikupongeze kwa kuchukua uamuzi wa kutuelimisha namna ya kufuga kuku kwa lengo la kuongeza tija, nilitamani sana kupata mwongozo wa namna gani nifuge kwa muda mfupi nikawa na idadi kubwa ya kuku, kwa mwongozo huu nimeanza kupata picha kamili kuwa ipo siku n'takuwa 'millionaire'. Ombi langu kwako nikwamba kama inawezekana, naomba kila 'EPISODE' unipatie maelekezo kwenye E-mail yangu( lukubayunge@gmail.com) kisha n'takuwanakupa mrejesho wa mafanikio. Kila la kheri
 

Kweli wewe ni mwalimu, nimenufaika nawewe Kubota. Ubarikiwe sana
 

Sawa Mkuu nitajitahidi kufanya hivyo mrejesho wako ndiyo manufaa makubwa kwa wanajamii hapa JF.
 
Wadau hadithi yangu bado inaendelea, sijasimulia bado kuhusu ujenzi wa mabanda yangu na mpangilio wake ulivyokuwa, nitakuja pia na kitu kinaitwa grazing pattern. Kwa wanaotaka kufuga maeneo makubwa ufugaji huria, kwa wale watakaopata nguvu na kujipanua kufuga maeneo makubwa kuku kuanzia miatano na hadi zaidi ya alfu moja, kuna design inakuja. Hakuna haja ya kukata tamaaa, Tanzania yetu fursa zipo nyingi sana tatizo fursa ya kupata elimu hii ndiyo finyu, tumieni JF hapa ni zaidi ya chuo. Ninakuja kivingine. Hata nikichelewa maana nimeanzisha tena kuchoma mikaaaa, STAY TUNED..................!!!!!
 

Mkuu Pole na majukumu hakika tuko pamoja bega kwa bega. thanks.
 
Mungu akubariki Mama Joe! Bado kuna watu wema katika Taif Letu! Idumu Jamii Forums!
 
Last edited by a moderator:
apo Kubota ndio nilikuwa nasubiri kwa hamu coz nakosa usingiz na hesab za ujenzi
 
Last edited by a moderator:
Oh asante sana ila umshukuru Kubota kwa kujitoa toka mwanzo kuturithisha ujuzi wake. Sie wengine wanafunzi tu, pamoja tunawezeshana. Karibu sana ndugu tujifunze.
Mwl wetu Kubota tunalusubiri kuhusu grazing kwa hamu. Asante Reti kwa somo la ndui, vipi hakuna chanjo ya kunywa? Hii ya mmoja naona ngumu.
Mungu akubariki Mama Joe! Bado kuna watu wema katika Taif Letu! Idumu Jamii Forums!
 
Last edited by a moderator:
ndugu yangu mm nataka sana kuwa tajiri ila jambo 1 nikuulize sasa kwa sisi watu tuliopanga kwenye nyumba za watu tutafanyeje ili tuweze kuanzisha huo mradi wa kuku uliotuorodheshea namna ya kufanya hapo maana wenye nyumba wengi hawapendi kuharibu mazingira yao nisaidie nifanyeje ilia nami niondokane na hali hii ya kimaskini na nnijikwamue kivipi mkuu msaada pls
 

Mkuu Kubota mbona umetuachia njiani mkuu...
Tunaomba hii knowledge ya kujenge mabanda ya kufuga maeneo makubwa mfano hekari kumi...

Tuko pamoja sana mkuu....
 
Last edited by a moderator:
Ladyfurahia naomba nikujibu swali lako hapo juu, nyumba ya kupanga kama ina fence unaweza kufuga kuku kwa kutumia vile vibanda vidogo vya kuwalaza usiku kisha mchana unawaachia nje kama kuna fence haina neno ila tatizo wanaharibu vimimea vidogo kama mboga na hata maua ila miti mikubwa haitaadhirika. Kuna mtu alitoa hapa tangoza anaviuza vile nimobile unahama nacho na ni vya ghorofa kiasi wanakaa kuku wengi. wenye nyumba jawapendi ujenge mabanda wanasema yanaharibu mwonekano na pia yaweza leta ugomvi na majirani kama si msafi. Endapo huna fence basi nakushauri tafuta eneo lako taratibu uweke mtu akutunzie.
 
Mkuu asigwa ulipotea kabisa jamvini kwetu, ngoja naweka sawa picha na michoro maana picha na michoro zinaongea maneno zaidi ya maelezo matupu, afu mvua zikizidi ile biashara ya mkaa inachanganya sana, mgodi unatema kiaina. Nitaleta somo hilo punde. Tuko pamoja.
 
Mimi jukwaa la siasa halina faida kwangu.,napenda sana hili jukwaa wa wajasiriamali,bsness &econmy.
I like it,yani mtu unapat vitu vya kukukomboa,afu hili jukwaa watu wapo serious na kazi,halina waropokaji na wazozaji kama kuuule politics forum.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…