x - mas
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 931
- 612
salaam greathinkers!
sasa nimeamua kuacha woga, na nataka kuanza kufuga kuku wa kienyeji rasmi. Kwa sasa najenga banda litakamilika next saturday (26/4), kwa kuanzia banda langu lina ukubwa wa mita 25 kwa 11.
Je kwa ukubwa huo naweza kufuga mpaka kuku wangapi wa kienyeji?
kwa ufugaji wa huria kila mita moja mraba kuku kumi hadi kumi na tano na kwa ufugaji wa nusu huria kwa kila mita ya mraba kuku wanne hadi watano