salaam greathinkers!
sasa nimeamua kuacha woga, na nataka kuanza kufuga kuku wa kienyeji rasmi. Kwa sasa najenga banda litakamilika next saturday (26/4), kwa kuanzia banda langu lina ukubwa wa mita 25 kwa 11.
Je kwa ukubwa huo naweza kufuga mpaka kuku wangapi wa kienyeji?
Ahsante kwa mrejesho mkuu.Napenda kuchukua frusa hii kumushukuru Mungu kwa kunipa uwezo wa kusoma na kuelewa! pia naushukuru uongozi wa jamii forum na members wote! nieleze kwa nn nimeamua kutoa shukrani zangu. Mwaka jana tar 8/4/2014 nilikutana na mada inayo zungumuzia kuhusu ufugaji wa kuku wa kienyeji. nilihamasika sana! tar 15/4/2014 nilianza kufuga kuku. nilianza na kuku 15 lakini hadi sasa ninapoandika habari hii! nina kuku mia 200 wakubwa. pia nimenunua mashine ya kutotoresha vifaranga yenye uwezo wa kuchukua mayai mia 900. kwa sasa nauza vifaranga. asanteni sana wadau wa jamii forum wakimo akina Gazeti na wengine Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Napenda kuchukua frusa hii kumushukuru Mungu kwa kunipa uwezo wa kusoma na kuelewa! pia naushukuru uongozi wa jamii forum na members wote! nieleze kwa nn nimeamua kutoa shukrani zangu. Mwaka jana tar 8/4/2014 nilikutana na mada inayo zungumuzia kuhusu ufugaji wa kuku wa kienyeji. nilihamasika sana! tar 15/4/2014 nilianza kufuga kuku. nilianza na kuku 15 lakini hadi sasa ninapoandika habari hii! nina kuku mia 200 wakubwa. pia nimenunua mashine ya kutotoresha vifaranga yenye uwezo wa kuchukua mayai mia 900. kwa sasa nauza vifaranga. asanteni sana wadau wa jamii forum wakimo akina Gazeti na wengine Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Sawa mkuu lakini kuweka namba ni ngumu kwa sababu huo ni mwongozo tu